Habari kuhusu Uhuru wa Kujieleza kutoka Septemba, 2014
Vyombo vya Habari Vyaususia Wimbo wa Kupigania Uhuru Ulioimbwa na Msanii Maarufu Nchini Macedonia
Msanii maarufu wa Macedonia wa miondoko ya kufoka foka amejikuta akipoteza umaarufu baada ya kuachia ‘kibao’ kinachojadili masuala ya uhuru wa habari nchini Macedonia.
Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Liberia Wawekwa Shakani Kufuatia Vita Dhidi ya Ebola
Umoja wa wanahabari wa Liberia wasikitishwa na hali ya kukosekana kwa uhuru wa upashanaji habari kufuatia hatua ya serikali ya kuzuia kuenea kwa virusi vya ebola. Umoja huu ulimwandikia barua Waziri wa sheria kumtaka kutafakari upya madhila wanayokabiliana nayo waandishi wa vyombo vya habari. Ufuatao ni muhtasari wa barua yenyewe:...
CPJ Yamtaka Obama Kulinda Haki ya Kutangaza Habari kwenye Enzi za Dijitali
Wakati serikali zaidi duniani zikizidi kuwalenga waandishi wa habari kwa udukuzi, Kamati ya Kuwalinda Waandishi inaitaka Serikali ya Obama kujisafisha
Jinsi Wanablogu Walifikia Gerezani kwa Kuandika Kuhusu Haki za Binadamu Nchini Ethiopia
Melody Sundberg anachambua uhuru wa kujieleza nchini Ethiopia baada ya wanablogu wa Ethiopia waliokamatwa kukaa siku 100 gerezani: Ethiopia ina idadi ya watu 94,000,000 na ni nchi ya pili yenye wakazi wengi katika bara la Afrika. Hata hivyo, hailingani na mahojiano ya Endalkhachew Chala kupitia Global Voices, kuwa na gazeti...
ISIS Yaonesha Video ya Mauaji ya Mwandishi Steven Sotloff
Video ya dakika tatu inayodaiwa kuonesha kuuawa kwa kukatwa kichwa kwa Steven Sotloff, ambaye amekuwa akifanya kazi katika maeneo hatarishi ya Mashariki ya Kati yakiwemo ya nchi za Bahrain, Syria, Egypt, Libya na Uturuki.