· Julai, 2014

Habari kuhusu Uchaguzi kutoka Julai, 2014

Hotuba ya Ushindi ya Rais Mteule wa Indonesia

  29 Julai 2014

Rais mteule wa Indonesia Joko Widodo or Jokowi alitoa hotuba ya ushindi akitambua moyo wa kujitolea ulioonyeshwa na wananchi: Uchaguzi huu wa rais umechochea mtazamo mpya chanya kwetu, na kwa taifa letu kwa ujumla. Uhuru wa watu na uwajibikaji wa kisiasa vinashamiri katika nyoyo za kizazi kipya. Moyo wa kujitolea...