· Disemba, 2011

Habari kuhusu Uchaguzi kutoka Disemba, 2011

Uarabuni: Hongera Tunisia!

Human rights activist Moncef Marzouki, 66, has been elected as Tunisia's new interim president today. His appointment, which was followed by a moving acceptance speech, was noted by netizens from across the Arab world, who cheered on Tunisia's progress towards democracy, wishing the same for their countries.

Zimbambwe: Hasira wakati Mzee Mugabe Anapowania Uchaguzi wa 2012

Chama cha ZANU –PF (Zimbabwe African National Union - Patriotic Front) kimempitisha Robert Mugabe kuwa mgombea wake kwa ajili ya uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao. Kama uchaguzi utafanyika mwakani, Mugabe atakuwa na umri wa miaka 88 na atakuwa Mwafrika wa pili mzee zaidi kugombea katika uchaguzi wa rais. Kupitia Twita na Facebook wa-Zimbabwe wameonyesha hasira na kutokuamini kilichotokea.