· Aprili, 2014

Habari kuhusu Elimu kutoka Aprili, 2014

Bob Marley – Ni Mungu Mpya wa Vijana wa Bhutan?

  29 Aprili 2014

Bob Marley ghafla amegeuka mungu miongoni mwa kizazi kilichochanganyikiwa. bendera ya Rastafari, ikiwa na ama Bob mwenyewe au jani la bangi, inapatikana kokote. Kwa mtu aliyekufa mwaka 1981 na kuendelea kutawala akili za watoto wanaonekana kuwa na akili tena wa karne ya 21 ni jambo gumu kuamini. Passang Tshering, Mwanablogu...

Mradi Wa Kutumia Simu za Mkononi Kuhamasisha Usomaji

Lauri anaandika kuhusu mradi uliopo Afrika Kusini, Mfuko wa Usomaji wa FunDza, unaotumia teknolojia ya simu za mkononi kuhamasisha tabia ya kusoma kwa watoto: Kinachofurahisha, hata hivyo, ni pale Waafrika wanapopata majibu ya kiubinifu kwa matatizo yao. Mradi wa FunDza ni mfano moja wapo. Simu za mkononi zimeenea sana nchini...

Utafiti wa Wenyeji katika Chuo cha Bahamas

  3 Aprili 2014

Akifuatilia posti yake kuhusu “ujinga wa kupunguza bajeti kwa Chuo cha Bahamas”, Blogworld anasema: Si tu kwamba chuo hicho ni taasisi ya taifa ya elimu ya juu, lakini ndio taasisi pekee ya umma kwa wenyeji ambayo inahusiana na aina yoyote ya utafiti unaoendelea katika nchi ya Bahama.