Habari kuhusu Elimu kutoka Julai, 2012
Tanzania: Mgomo wa Walimu Watikisa Nchi
Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika zoezi la sensa, walimu nchini Tanzania wako katika mgomo kuishinikiza serikali kuwalipa madai yao pamoja na kuboresha mishahara yao. Hatua hiyo imevuta hisia za watumiaji wengi wa mitandao ya kijamii wanaojadili madhara ya mgomo huo.
Afghanistan: Mwanafunzi wa Sekondari Agundua Kanuni ya Hisabati
Mwanafunzi wa Sekondari nchini Afghanistan amegundua kanuni ya kimahesabu inayoweza kutumika kukokotoa milinganyo ya kwadratiki. Watumiaji wa twita wamezipokea habari hizo kama ishara ya maendeleo ya sekta ya elimu nchini humo.
Afrika: Ujuzi wa Matumizi ya Zana za Habari za Kijamii kwa Vijana Wanaoishi na Ulemavu.
Warsha ya vijana walemavu kutoka kote barani Afrika lafanyika Dakar, Senegali. Warsha hii ilipangwa na DRI na YI. Imeandikiwa na Haute Haiku.