Habari kuhusu Uchumi na Biashara
Vyombo vya Habari Tanzania Vyapotosha Mgogoro wa Serikali na Kampuni ya Madini
Mwenyekiti wa kampuni ya madini Barrick Gold amesema jambo moja, lakini vyombo vya habari vimeandika jambo tofauti kabisa.
Sri Lanka Yaingia Hasara Kufidia Gharama za Matumizi Mabaya ya Serikali
Kiasi kikubwa cha fedha kilichotumika kuvunja mkataba wa manunuzi ya ndege mpya za Airbus kingetumika kwa mambo mengine mengi.
Je, Waziri Mkuu wa Malaysia Ndiye Mhusika Mkuu wa Kashfa ya Ufisadi wa Dola Bilioni Iliyotajwa na Marekani?
"Nina hasira kwamba fedha za wananchi zinatumiwa kama vile ni za mtu binafsi. Hazira yangu inakuwa kali kwa sababu huyu 'Afisa wa Malaysia1' hakamatiki hapa"
Wananchi wa Uganda Wanataka Serikali Isaidie Kunusuru Shule, Sio Matajiri
Kubinafsisha faida na kuchangia hasara. Lazima wote tuchangie hasara ya biashara za matajiri lakini lini tulichangia faida wanayopata?
Kuwa na Shahada Hakukuhakikishii Ajira Nchini China
"Kupata ajira ni kazi ngumu sana kwa kuwa yakupasa kuanguka na kuinuka tena mara nyingi iwezekanavyo."
Yaliyojiri Wiki Hii Global Voices: Yeyote ni Kipaumbele?
Wiki hii tunakupeleka hadi China, Mexico, Jamaica, Macedonia na Uganda, ambapo tunaongea na Prudence Nyamishana ambaye anatusimulia ni kwa nini Raia wa Uganda hawakufurahishwa na vipaumbele vya serikali yao.
Liberia Kukabidhi Elimu ya Msingi kwa Mwekezaji Binafsi wa Kimarekani
"Kuzifikiria shule kama sehemu tu ya kujifunza kusoma yaweza kuwa wazo la manufaa katika nchi ambayo watoto wake wengi hawawezi kufikia angalau hatua hiyo."
Wajapani Wanajamiiana?
Ni kwa kiasi gani wajapani wanajamiana, na pia, kujamiana ndio kutasaidia kuongeza kiwango cha kuzaliana?
Michoro Yaonesha Harakati za Raia wa Ufilipino Wakipambana na Ukandamizaji
Nchi ya Ufilipino ina idadi ya raia wazawa wanaokadiriwa kufikia milioni 14. Wengi wa raia hawa wanaoishi maeneo ya vijijini wapo katika hatari kubwa ya kuathiriwa na uharibifu unaotokana na shughuli za uchimbaji madini, harakati za utafutaji maendeleo pamoja na matumizi ya nguvu za kijeshi.
Makampuni ya Teknolojia Nchini Kenya Yaliyofadhiliwa Mwaka 2014
Je, unayajua makampuni ya teknolojia nchini Kenya yaliyopata ufadhili kwa mwaka 2014? Erik Hersmann anayaorodhesha kwenye blogu yake: Fedha za mtaji wa awali Angani – Huduma za mtandao wa umma wa kompyuta BRCK – Huduma za mtandao wa Si-Waya za WiFi CardPlanet – Mfumo wa malipo kwa njia ya simu...