Habari kuhusu Uchumi na Biashara kutoka Machi, 2009
Papa Nchini Kameruni (1): Utata wa Safisha-safisha Jijini Yaounde
Papa Benedikti wa XVI anazuru Kameruni kuanzia tarehe 17 mpaka tarehe 20 Machi 2009. Ziara hii imepelekea serikali kuchukua hatua kali za usafi, ambazo zimezua utata mkubwa katika ulimwengu wa blogu nchini Kameruni.