<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; French</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/languages/french/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Ufaransa: Tuzo ya Fasihi Yaja na Masharti</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 19 Nov 2009 06:32:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[France]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=700</guid>
		<description><![CDATA[Mwanzo wa msimu wa Fasihi ya Kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya Kisenegali na Kifaransa Marie N’Diaye akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya Prix Goncourt. Lakini, N’Diaye na familia yake walikwishahamia mjini Berlin miaka miwili iliyopita, hasa kutokana na siasa za rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy. Mwaka jana, jopo la tuzo hii yenye hadhi walizusha hisia kali pale walipomchagua mwandishi wa Kiafghani Atim Rahimi, kwa kitabu chake cha Kifaransa, Syngué Sabour. Je hii itakuwa ni fursa nyingine ya kusherehekea mchanganyiko wa aina mbalimbali katika jamii inayobadilika ya Kifaransa? Au itakuwa ni wasaa utakaoharibiwa na utete wa tukio?]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/suzanne-lehn/">Suzanne Lehn</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/france-does-prestigious-literary-award-entail-a-duty-of-restraint/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mwanzo wa msimu wa Fasihi ya Kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya Kisenegali na Kifaransa <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Marie_NDiaye">Marie N’Diaye</a> akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Goncourt_Prize">Prix Goncourt</a>. Lakini, N’Diaye na familia yake walikwishahamia mjini Berlin miaka miwili iliyopita, hasa kutokana na siasa za rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy. Mwaka jana, jopo la tuzo hii yenye hadhi walizusha hisia kali pale walipomchagua mwandishi wa Kiafghani Atim Rahimi, kwa kitabu chake cha Kifaransa, <em>Syngué Sabour</em>. Je hii itakuwa ni fursa nyingine ya kusherehekea mchanganyiko wa aina mbalimbali katika jamii inayobadilika ya Kifaransa? Au itakuwa ni wasaa utakaoharibiwa na utete wa tukio?</p>
<p>DW-World <a href="http://www.dw-world.de/dw/article/0,,4884146,00.html">anaeleza</a>:</p>
<blockquote><p>Katika mahojiano na gazeti la “Inrockuptibles” kiangazi kilichopita, N’Diaye alisema kuwa aliamua kuondoka Ufaransa na kuhamia Berlin mwaka 2007 ‘kwa kiwango kikubwa kutokana na Sarkozy”</p>
<p>Sakata hilo lilianza baada ya Eric Raoult, mtungasheria na mwanachama wa chama tawala cha Sarkozy, UMP, aliandika barua kwa waziri wa utamaduni wiki iliyopita akishauri kuwa N’Diaye akumbushwe “wajibu wa kujiheshimu” ambao unaambatana na tuzo ya Goncourt. </p>
<p>Katika kutoa majibu, wenye nguvu katika sekta ya utamaduni walishutumu kuwa kuna uchujaji katika malumbano haya. Bernard Pivot, mwanachama katika jopo la Goncourt, alimshutumu Raoult kuwa hafahamu chochote katika uwanja wa fasihi.</p></blockquote>
<p>N’Diaye, aliyezaliwa mwaka 1967 na mama Mfaransa na baba Msenegali, alishinda tuzo ya Goncourt kutokana na riwaya yake “Trois femmes puissantes” (”Wanawake watatu wenye nguvu”), hadithi inayohusu wanawake waliojikuta katikati ya Ufaransa na Senegal na katika mkasa wa dhiki mbaya ya uhamiaji usio halali kutokea Afrika.</p>
<p>“Hadithi ya hawa wahamiaji imesimuliwa mara nyingi kabla, lakini kama hii itawasaidia watu kufahamu hatima yao vyema zaidi, basi nitafurahi,” alisema N’Diaye.</p>
<p>Ni kitu gain kilichochochea hasira ya Eric Raoult? Si pungufu ya mahojiano ya mwanamke huyu mwandishi, wakati alipojibu swali la <a href="http://www.lesinrocks.com/actualite/actu-article/t/1257862620/article/raoultndiaye-on-nest-plus-en-1942/">gazeti la Les Inrocks</a>: “Je unajisikia vizuri katika Ufaransa ya Sarkozy?” alisema [Fr]:</p>
<blockquote><p>« Je trouve cette France-là monstrueuse. Le fait que nous (avec son compagnon l’écrivain Jean-Yves Cendrey, et leurs trois enfants – ndlr) ayons choisi de vivre à Berlin n’est pas étranger à ça. (…) Je trouve détestable cette atmosphère de flicage, de vulgarité… »</p></blockquote>
<div class="translation">Naiona aina hiyo ya Ugfaransa kuwa mbaya isiyovumilika. Ukweli kuwa sisi (N’Diaye, mpenzi wake, mwandishi Jean-Yves Cendrey, pamoja na watoto wao watatu) tuliamua kuishi mjini Berlin unahusiana na hili. (…) Naiona hali hii ya ulinzi mkali na tabia chafu inakifu…”</div>
<p>Mwanablogu wa sheria anayejulikana <em><a href="http://www.maitre-eolas.fr/post/2009/11/12/Prix-Busiris-pour-Éric-Raoult">Maître Eolas</a></em> anayabomoa bomoa madai ya Bw. Raoult katika makala ya kejeli iliyoandikwa kwa mantiki nzuri [Fr], na hatimaye anamtunukia tuzo ya “Prix Busiris” (“buse” inaweza ikatafsiriwa kama “upumbavu”)</p>
<p>Kwanza anasahihisha makosa ya sarufi:</p>
<blockquote><p>Tout d’abord, et le ministre de la culture et de la communication aura rectifié de lui-même, le devoir de réserve ne peut en tout état de cause être dû aux lauréats mais dû par les lauréats : cette erreur de préposition fait du lauréat le créancier alors que dans  la tête du député, il en serait évidemment le débiteur.</p></blockquote>
<div class="translation">Kwa kuanzia, na Waziri wa Utamaduni na Mawasiliano hawezi kusahau kujisahihisha, wajibu wa kujizuia hauwezi katika mfano wowote kuwapa wajibu waliopokea tuzo, lakini badala yake huwajibika kwa waliopokea tuzo; mapendekezo haya yenye makosa yanamfanya aliyepokea tuzo kuwa kama mkopaji wakati katika mawazo ya mbunge anakuwa kama vile ni mkopeshaji.</div>
<p>Na kisheria? Kati ya maandishi, mwanablogu ananukuu <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Declaration_of_the_Rights_of_Man_and_of_the_Citizen">Tamko la Haki za Mtu na za Raia la mwaka 1789 </a>pamoja na <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/European_Convention_on_Human_Rights">Makubaliano ya Haki za Binaadamu ya Nchi za Ulaya</a>. Na “Wajibu wa Kujizuia au Kujiheshimu” huwa unawawajibisha watumishi wa umma?</p>
<blockquote><p>Le devoir de réserve est souvent invoqué à tort et à travers par des gens qui n’y ont rien compris comme interdisant à un fonctionnaire de s’exprimer, y compris parfois sur des affaires purement privées.</p></blockquote>
<div class="translation">Wajibu wa Kujizuia auKujiheshimu huwa unatolewa hovyo hovyo na watu ambao hawafahamu lolote juu ya wito huo, kama vile kumkataza mtumishi wa umma asiongee, mara nyingine hata kuhusu  mambo binafsi.</div>
<p>Mwanasheria anahitimisha kwa kutoaminika kwa mbunge, kabla ya kutoa pigo la mwisho:</p>
<blockquote><p>Ajoutons à cela qu’en 2005, en tant que maire du Raincy, lors des émeutes de l’automne, il fut le premier à proclamer l’état d’urgence dans sa commune pourtant épargnée par les actes de violence afin de griller la politesse au premier ministre, ce qui montre une certaine tendance à la gesticulation inutile pour attirer l’attention sur lui.<br />
Ce qui établit en même temps le mobile d’opportunité politique, et emporte la décision.</p></blockquote>
<div class="translation">Hebu tuongeze juu ya yote haya ukweli kwamba mnamo mwaka 2005, kama Meya wa Le Raincy, wakati wa machafuko ya kipupwe, alikuwa wa kwanza kutoa tamko la hali ya dharura ndani ya mji wake, na aliponusurika na machafuko hayo, alimzunguka Waziri Mkuu, jambo ambalo linanyonyesha tabia yake ya vitendo visivyo na maana ili watu wamuangalie.</p>
<p>Jambo ambalo wakati huo huo linathibitisha kuwa sababu kubwa ya kuchukua uamuzi ni kutaka kunufaika kisiasa. </p></div>
<p>Wanablogu wengine pia walikuwa na maneno makali.</p>
<p>Kwenye <em>Art contemporain, la peau de l&#39;ours</em>, Philippe Rillon <a href="http://rillon.blog.lemonde.fr/2009/11/10/marie-ndiaye-eric-raoult-et-le-devoir-de-reserve/">anaandika </a>[Fr]: </p>
<blockquote><p>Nous comprenons fort bien que le devoir de réserve s’impose à tout serviteur de l’Etat; mais depuis quand la littérature et les auteurs sont ils assimilés aux fonctionnaires avec leurs droits et devoirs?<br />
Nous avions déjà une “Culture administrée”, nous voici maintenant “artistes fonctionnaires” comme si Paris était Berlin-est d’avant la chute du mur…<br />
(…)<br />
Il serait quand même étonnant qu’au lendemain d’une hyper-médiatique commémoration de la chute du mur, ce godillot vienne gâcher le spectacle idylique des dominos qui tombent.</p></blockquote>
<div class="translation">Tunaelewa vyema kuwa wajibu wa kujizuia ni sheria kwa kila mfanyakazi wa dola; lakini tangu lini fasihi na waandishi wamewekwa kwenye kundi sawa na watumishi wa umma pamoja na haki na wajibu wao?<br />
Tayari tunao “utamaduni wa serikali”, na sasa tumegeuka kuwa “wasanii wa dola”, kana kwamba mji wa Paris umekuwa Berlini ya Mashariki kabla ya ukuta kuvunjwa…<br />
(…)<br />
Je isingekuwa jambo la ajabu siku baada ya kusherehekea kuanguka kwa ukuta, mshabiki huyu angeliweza kuharibu muonekano mzuri wa kete zilizokuwa zinaanguka.</div>
<p>Wakati huo huo, Marie N’Diaye baada ya jitihada za kushusha ukali wa maneno yake katika <a href="http://www.europe1.fr/Culture/Ndiaye-revient-sur-ses-propos-excessifs-sur-Sarkozy/%28gid%29/253818">mahojiano na Radio Station Europe 1</a>, ambayo katikati ya mzozo watu hawakuyaona, alimuomba Waziri wa Utamaduni wa Ufaransa, Frederic Miterrand. Waziri huyo <a href="http://www.leparisien.fr/flash-actualite-culture/marie-ndiaye-persiste-et-signe-frederic-mitterrand-juge-la-polemique-anecdotique-et-ridicule-12-11-2009-708919.php">ameuchukulia</a> mzozo huo kuwa ni kitu kigogo na cha kijinga” [Fr], na <a href="http://www.lefigaro.fr/flash-actu/2009/11/13/01011-20091113FILWWW00566-ndiaye-raoult-ne-regrette-rien.php">wahusika wakuu </a>wameshikilia <a href="http://www.marianne2.fr/Marie-NDiaye-ou-la-fable-de-l-ecrivain-rebelle_a182772.html?com">misimamo yao</a>. [Fr]</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Karibea: Tuzo za Fasihi ya Kifaransa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/karibea-tuzo-za-fasihi-ya-kifaransa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/karibea-tuzo-za-fasihi-ya-kifaransa/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:20:17 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Canada]]></category>
		<category><![CDATA[Diaspora]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[France]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Guadeloupe]]></category>
		<category><![CDATA[Haiti]]></category>
		<category><![CDATA[Language]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Martinique]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Senegal]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=680</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naFabienne Flessel  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Wiki hii, waandishi wawili wenye asili ya Kiafrika wanaoandika kwa Kifaransa walipewa tuzo mbili zenye kuheshimika sana katika fasihi ya Kifaransa: Ulimwengu wa blogu za wanaozungumza Kifaransa katika Karibea umekuwa ukinguruma juu ya kutosheka kwao mara mbili kwa mpigo, [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/fabienne-flessel/">Fabienne Flessel</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/06/caribbean-french-literary-prizes/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wiki hii, waandishi wawili wenye asili ya Kiafrika wanaoandika kwa Kifaransa walipewa tuzo mbili zenye kuheshimika sana katika fasihi ya Kifaransa: Ulimwengu wa blogu za wanaozungumza Kifaransa katika Karibea umekuwa ukinguruma juu ya kutosheka kwao mara mbili kwa mpigo, <a href="http://www.alterpresse.org/spip.php?article8952">katika makala hii kutoka Haiti</a>, na <a href="http://indiscretions.over-blog.fr/article-le-goncourt-pour-marie-n-diaye-04-11-09-38785480-comments.html#comment50651606">hii kutoka Guadeloupe</a> na <a href="http://www.montraykreyol.org/spip.php?article3183">hii kutoka Martinique</a> [Fr]. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/karibea-tuzo-za-fasihi-ya-kifaransa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Algeria-Misri: Ugomvi Juu ya pambano la Mpira kwenye Mtandao</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/algeria-misri-ugomvi-juu-ya-pambano-la-mpira-kwenye-mtandao/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/algeria-misri-ugomvi-juu-ya-pambano-la-mpira-kwenye-mtandao/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 15 Nov 2009 10:52:06 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Algeria]]></category>
		<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Sport]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=659</guid>
		<description><![CDATA[Hali tete kati ya mashabiki wa mpira wa miguu wa Misri na Algeria inazidi kukua kabla ya pambano litakalofanyika mjini Cairo tarehe 14 Novemba. Mchuano huo utaamua ipi kati ya timu hizo zitafaulu kwenda kwenye Kombe la Dunia la FIFA Afrika ya kusini mwaka ujao. Misri inahitaji japo ushindi wa magoli mawili ili kulazimisha mchezo wa kukata shauri katika uwanja wa nchi nyingine ambapo Algeria, ambayo imeshindwa kufaulu kwenda kombe la dunia tangu 1986, itapambana ili kutunza nafasi yake ya sasa ya kuongoza katika kundi la wanaogombania nafasi ya kufaulu. Wakati wa kuelekea pambano la Jumamosi, mashabiki washindani wamekuwa wakijiandaa nje ya mtandao wa intaneti, kadhalika katika malumbano makali ya mtandaoni, ambayo yamekua na kugeuka “vita-vya-mikwara-kwenye-mtandao” ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/hisham/">Hisham</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/12/algeria-egypt-online-feud-over-football-match/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Hali tete kati ya mashabiki wa mpira wa miguu wa Misri na Algeria inazidi kukua kabla ya pambano litakalofanyika mjini Cairo tarehe 14 Novemba. Mchuano huo utaamua ipi kati ya timu hizo zitafaulu kwenda kwenye Kombe la Dunia la FIFA Afrika ya kusini mwaka ujao. Misri inahitaji japo ushindi wa magoli mawili ili kulazimisha mchezo wa kukata shauri katika uwanja wa nchi nyingine ambapo Algeria, ambayo imeshindwa kufaulu kwenda kombe la dunia tangu 1986, itapambana ili kutunza nafasi yake ya sasa ya kuongoza katika <a href="http://www.fifa.com/worldcup/preliminaries/africa/standings/group=252301/index.html">kundi la wanaogombania nafasi ya kufaulu</a>. Wakati wa kuelekea pambano la Jumamosi, mashabiki washindani wamekuwa wakijiandaa nje ya mtandao wa intaneti, kadhalika katika malumbano makali ya mtandaoni, ambayo yamekua na kugeuka “vita-vya-mikwara-kwenye-mtandao” </p>
<p>Mwanablogu wa Algeria <em><a href="http://adelife.wordpress.com/2009/11/10/football-avant-la-bataille-du-caire%E2%80%A6-une-guerre-pas-tres-nette/">Adel</a> </em>[Fr] anatoa muhtasari wa mlolongo wa matukio ambayo yamesababisha mzozo. Anaandika:</p>
<blockquote><p>Ce n’est pas sur le carré vert que le match a commencé à se jouer mais sur la toile. En attendant l’entrée des 22 joueurs sur la pelouse du fameux Cairo Stadium, la rencontre a débuté de manière assez peu banale entre les «Facebookeurs» (membres du réseau Facebook) algériens et égyptiens. Tout a commencé par de simples discussions dans les forums avant que cela ne prenne de l’ampleur. Voulant montrer leur savoir-faire dans la retouche d’image, les Egyptiens ont été les premiers à ouvrir les hostilités en publiant des photos «anti-algérien».</p>
<p>Les Egyptiens voulaient expliquer à travers un tel acte que leurs joueurs sont «très forts» et qu’ils sont en mesure d’écraser l’équipe nationale algérienne. Cela donna le top à une guerre d’un genre particulier. La guerre des images et des parodies.</p></blockquote>
<div class="translation">Inaelekea kuwa mechi imeshaanza mtandaoni, mbali na uwanja wa mpira. Kabla ya wachezaji 22 kuingia uwanja maarufu wa Cairo, pambano kali limeanza katik ya watumiaji wa Facebook wa Kialgeria na Kimisri. Yote yalianza na majadiliano ya kirafiki katika majukwaa ya mtandaoni, kabla ya mambo kuzidi kipimo. Wakitaka kuonyesha utaalamu wao wa kuhariri picha, Wamisri ndio walikuwa wa kwanza kuanzisha uhasama kwa kuchapisha picha “zinazoipinga Algeria”.</p>
<p>Wamisri walitaka kuonyesha kuwa wachezaji wao ndio “wenye nguvu” na kwamba wana uwezo wa kuiponda timu ya taifa ya Algeria. Hii ilitoa ishara ya kuanza vita ya namna ya pekee. Vita ya picha na utani. </p></div>
<p>Video, zilizoiga picha zilichokuliwa kutoka kwenye filamu maarufu za Hollywood, zilifurika kwenye YouTube, na kuweka ugomvi huu katika ngazi ya…..</p>
<p>Katika video inayofuata [Ar], iliyowekwa na <em><a href="http://www.youtube.com/user/hakemvoip">hakemvoip</a></em> [Fr], Mel Gibson ni <em>Rabah Wallace</em> (Katika filamu ya Braveheart), jemedari wa vita wa Kialgeria ambaye anajaribu kuhamasisha wapiganaji kabla ya vita inayotarajiwa:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/yCtAQ_9XMAE&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/yCtAQ_9XMAE&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Katika video hii, Mmisri <em><a href="http://www.youtube.com/user/ulyesis">ulyesis</a></em> anawakaribisha mashabiki wa Algeria katika kile anachokiita “jehanam” ndani ya jiji la Cairo:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/OZOgyioZxFs&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/OZOgyioZxFs&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mwanablogu <em><a href="http://www.gemyhood.com/2009/11/blog-post_11.html">GEMYOoOD</a> </em>[Ar] katuma picha ya maelfu ya mashabiki wa Misri waliopanga foleni katika sehemu tofauti za Cairo, wakitarajia kupata tiketi kwa ajili ya mechi. <a href="http://www.gemyhood.com/2009/11/blog-post_11.html">Anachapisha</a> picha za mikusanyiko hiyo ya watu:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/Egyptian-Fans-300x225.jpg" title="Egyptian Fans" class="aligncenter" width="300" height="225" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/Egyptian-Fans2-300x225.jpg" title="Egyptian Fans" class="aligncenter" width="300" height="225" /></p>
<p><em><a href="http://www.gemyhood.com/2009/11/blog-post_11.html">GEMYHOoOD</a></em> pia anatuma baadhi ya maoni ya watu wanaoshuhudia:</p>
<blockquote><p>انا خدت اجازة اليوم ونزلت من الصبح لنادي الصيد الساعة 8 الصبح وللاسف لقيت موت ناس وزحمة وطابور فيه حوالي 3000 واحد ودفع وشتيمة والناس كل شوية بتزيد ومش عارف اقف من الزق والعرق بجد مهزلة</p></blockquote>
<div class="translation">Nilichukua ruksa ya siku ili nije kwenye klabu saa 2 asubuhi [kununua tiketi]. Kwa masikitiko nilikuta kundi kubwa la watu na foleni kubwa ya kadri ya watu 3000, huku watu wakisukumana na kutukanana. Sikuweza kusogea. Nilikwama. Nikafikiri, hiini aibu.</div>
<p>Basi rasmi la timu ya mpira wa miguu ya Algeria, ambalo liliwasili mjini Cairo tarehe 12 Novemba, inadaiwa kuwa lilishambuliwa na mashabiki, kama video inayofuata, iliyotumwa katika YouTube na <em><a href="http://www.youtube.com/user/wmcvideotv">Vidéos Mouloudia Club d&#39;Oran</a></em>, inavoelekea kuonyesha:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/XNbZqBTvWBw&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en_US&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/XNbZqBTvWBw&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en_US&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Baraza linalodhibiti mpira wa miguu duniani <a href="http://www.fifa.com/">FIFA</a>, lilihisi umuhimu wa kutoa onyo kwa vyama vya mpira wa miguu vya Algeria na Misri, likiwakumbusha wote kuwa “mashindano ya awali kwa ajili ya kombe la Dunia 2010 yamalizike kama yalivyoanza, katika moyo wa mchezo wenye haki ulio na ushirikiano unaohitajika kutoka kwa washiriki wote.”<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/One-People.jpg" title="One People, One Language One Goal" class="alignright" width="200" height="500" /><br />
Tovuti, <a href="http://www.algerieegypte.com/">Algerie Egypte Match</a> [Ar, Fr], inayoandika kuhusu tukio hili na kufuatilia kila namna ya habari inayohusiana na mechi, iliundwa na washabiki wa Algeria.</p>
<p>Katika hali hii ya ushindani mkali, baadhi ya watu wameunda <a href="http://www.facebook.com/group.php?v=wall&#038;gid=167702883826">kundi</a> kwenye tovuti ya mtandao wa kijamii Facebook, wakiomba hisia mbaya zaidi. <em>Laama Bouchema</em> katuma ujumbe katika ukuta wa kundi hilo unaosema:</p>
<blockquote><p>Pamoja na kukasirika kwangu kutokana na kilichoitokea timu ya Algeria, siihukumu nchi yote kwa kile alichofanya mpumbavu mmoja! Wanachokifanya mashabiki wenye hasira ni upumbavu! kwa ajili ya mungu si jambo kubwa ni nani atakeyeingia katika [kombe la dunia].</p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa Kimisri <em><a href="http://www.lastoadri.com/2009/10/blog-post.html">Lasto Adri</a></em> [Ar] anaeleza kuchukizwa kwake na jinsi kile kilichopaswa kuwa tukio la michezo, kimeshushwa hadhi na kuwa pambano chafu. Anaandika:</p>
<blockquote><p>
مندهشة من التعصب وتدنى مستوى لغة الحوار بين مشجعى منتجب مصر ومنتخب الجزائر والظاهر بوضوح فى التعليقات على المواقع الإخبارية أو الرياضية… ومندهشة أكثر بتغذية هذه المأساه إعلاميا بتعليقات من بعض المذيعين (من كلا الجانبين)…<br />
المشجعون الجزائريون أخطؤوا فى المبارة السابقة.. لكن هل الرد يكون هكذا؟.. هل الرد يكون بطلب البعض تسميم اللعيبة ولا إقلاقهم فى منامهم ولا توليع الإستاد وقت الماتش من التشجيع؟..<br />
ونرفزتنى التعليقات على أغلب المواقع.. وإفتكرت لما الجزائر -بزعامة الرئيس الجزائري هواري بومدين- كانت أكتر دولة ساندت مصر فى حرب 1973، رغم فقرها الشديد..<br />
حزينة ان انتهاء علاقة مابين شعبين تكون بشقاق على كورة…</p></blockquote>
<div class="translation">Ninashangazwa na kiwango cha kutovumiliana na lugha chafu inayotumiwa na mashabiki wa timu za Algeria na Misri, ambayo inajitokeza katika maoni mengi kwenye tovuti za habari na michezo… pia ninashangazwa na jinsi ambayo baadhi ya watangazaji na wanahabari (kutoka pande zote), wanavyochochea dhahama hii kupitia maoni yao makali…<br />
Mashabiki wa Algeria hawakujiheshimu katika mchezo uliopita… lakini je jibu la Wamisri ni sahihi?..<br />
Je jibu linapaswa kuwa (kama baadhi walivyosema) kuwapa sumu wachezaji wa Algeria? Kuwaghasi na kuwanyima usingizi? Kuuchoma moto uwanja siku ya pambano?<br />
Nimeudhika na maoni yaliyo kwenye tovuti nyingi… Ninakumbuka wakati Algeria – ikiongozwa na Rais Houari Boumedienne – bila kujali umaskini wao uliokithiri, alikuja kuiunga mkono misri wakati wa vita ya mwaka 1973…</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/algeria-misri-ugomvi-juu-ya-pambano-la-mpira-kwenye-mtandao/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Gabon: Upinzani waendelea kupinga matokeo ya Uchaguzi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/gabon-upinzani-waendelea-kupinga-matokeo-ya-uchaguzi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/gabon-upinzani-waendelea-kupinga-matokeo-ya-uchaguzi/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 12 Oct 2009 11:43:22 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Elections]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Gabon]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=350</guid>
		<description><![CDATA[Wapinzani wa kisiasa wa Gabon wanaonyesha muungano wa vyama vya siasa kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwezi Agosti, ambayo yalimkabidhi urais mwana wa mtawala wa kiimla aliyepita, Omar Bongo. Wanasiasa na raia wanaikemea Ufaransa kwa kuingilia siasa za nchi hiyo.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jennifer/">Jennifer Brea</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/09/22/gabon-opposition-continues-to-fight-election-result/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Kifo cha Omar Bongo, mmoja wa madikteta wa Kiafrika waliokaa kwa muda mrefu zaidi madarakani, mwezi Juni, kilileta matumaini kwamba Gabon ingeanza namna mpya ya siasa. Lakini, alipotangazwa mtoto wa Bongo, Ali Ben Bongo, mgombea wa chama tawala, kuwa mshindi wa uchaguzi wa tarehe 31 Agosti, wachache walishangazwa. Kama mwanablogu mmoja wa lugha ya kifaransa <em><a href="http://petitimmonde.blogspot.com/2009/09/ya-bon-bongo-au-gabon.html">Le petit Quimonte illustre</a></em> anavyoeleza:  </p>
<blockquote><p>Au Gabon, la Couronne est héréditaire, de mâle en mâle par ordre de primogéniture élue démocratiquement par succession directe au suffrage universel sous protection militaire.</p></blockquote>
<div class="translation">Katika Gabon, Kofia ya uongozi ni ya kurithishana, kutoka kwa mwanamume kwenda kwa mwanamume kwa utaratibu wa kuangalia mzawa wa kwanza, akichaguliwa kidemokrasia kwa kuachiana kwa wazi kupitia haki ya sanduku la kura, chini ya ulinzi wa jeshi. </div>
<p>Na bado wanachama wa upinzani wanakataa kurudi makwao kwa utulivu. </p>
<p>Wiki jana, Vyama vya upinzani vya Gabon <a href="http://www.makatilocal.com/gabon-opposition-calls-for-strike/">viliitisha mgomo wa kitaifa wa siku tatu</a>, kupinga uchaguzi wa mwezi uliopita, na kuonyesha mshikamano na waathirika wa ghasia za baada ya uchaguzi Port Gentil (ingawa kwa mujibu wa habari za kimataifa, wachache sana kama kweli walikuwepo waliitikia wito huo). <em><a href="http://www.gabon-libre-expression.com/article-36052095.html">Gabon Libre Expression</a></em> (kupitia Afrik.com) linaripoti kwamba baadhi ya wagombea wa upinzani wanatoa matokeo yao mbadala yanayomweka mgombea wa chama cha UPG Pierre Mamboundou mbele ya Bongo, kwa zaidi ya asilimia 68% ya kura zilizopigwa. </p>
<p>Siku ya Alhamisi, wagombea wa upinzani <a href="http://www.unifang.org/article-36222685.html">walitoa tamko la pamoja</a> na kwa uchache tisa kati yao wamefungua mashitaka kwenye Mahakama ya Kikatiba ya Gabon wakitoa wito wa kubatilishwa kwa uchaguzi wa Agosti 31, ambapo mgombea wa zamani Runo Ben Moubamba anauita “uchaguzi wa kulazimishia madaraka,” kwa minajili ya udanganyifu wa kura na makosa mengineyo. Mahakama ina mwezi mmoja kufanyia kazi mashitaka hayo, lakini kama makala ya hivi majuzi kwenye Afrik.com inavyosema, kwa jinsi <a href="http://en.afrik.com/article16190.html">mahakama ilivyofungamana kwa karibu na familia ya Bongo</a>, upinzani unajipa matumaini kiduchu mno ya matokeo mazuri. </p>
<p><strong>Idumu Afrika yenye mizizi ya kifaransa! </strong></p>
<p>Ukaribu wa muda mrefu wa Ufaransa na familia ya Bongo, kwa namna fulani unapaswa kubeba lawama. Waandamanaji wa Port –Gentil walikusudia walizilenga mali zilizomilikiwa na Total, kampuni ya mafuta ya Kifaransa , wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi zilizosababisha watu wasiopungua watatu kupoteza maisha yao. </p>
<p><a href="http://moubamba.com/communique-manifestation-a-paris-mercredi-le-24-septembre/">Maandamano ya kupinga uchaguzi huko Paris</a> yamepangwa kufanyika Jumatano hii, na walau kwenye wavuti za habari za ki-Gabon, kuna <a href="http://www.lvdpg.org/Gabon-Les-nouvelles-du-quartier-Boycotte-des-produits-Francais_a1235.html">wito wa kugomea bidhaa za Kifaransa</a>. </p>
<p><em><a href="http://okouetch.canalblog.com/archives/2009/09/13/15060377.html">Pour Un Gabon Meilleur!</a></em> anaeleza historia ya makapuni ya Kifaransa huko Gabon, na uhusiano wake wa karibu na familia ya Bongo: </p>
<blockquote><p>Elf, rebaptisé aujourd’hui Total, est la plus connue des entreprises françaises qui exploite les richesses du Gabon du fait de l’affaire qui à partir de 1994 et jusqu’au procès de 2004 a donné un coup de projecteur sur les liens entre les dirigeants de la société pétrolière, la famille Bongo, la mafia et les sommets de l’appareil d’État français.<br />
Mais en fait, c’est l’ensemble de l’économie du pays qui est sous la coupe de sociétés françaises et il est difficile de toutes les citer. Le clan Bongo est servi au passage, étalant un luxe provoquant au milieu du dénuement. Mais l’essentiel de la richesse produite par les travailleurs du pétrole, des mines, de l’extraction forestière, du transport et des activités portuaires, etc., profite à des patrons et des actionnaires d’entreprises dont le siège est par exemple à Odet dans le Finistère (Bolloré), à la Tour Montparnasse à Paris (Eramet), à La Défense (Areva) ou à Niort (Rougier, pour l’exploitation et le négoce des bois tropicaux).</p></blockquote>
<div class="translation">Elf, ambayo leo imepewa jina la Total, ni kampuni ya Kifaransa inayojulikana zaidi kuliko makampuni mengine ya Kifaransa inayochota utajiri wa Gabon kutokana na utata ulizozuka 1994 mpaka 2004 na ambao umeweka wazi uhusiano baina ya utawala wa kampuni ya mafuta, familia ya Bongo, genge la mafia, na vilele vya vyombo vya kitaifa vya Ufaransa.<br />
Lakini kwa hakika, uchumi wote wa nchi iko chini ya dole gumba la makampuni ya Kifaransa, na ni vigumu kuyataja yote. Ukoo wa Bongo umebaki kuwa na kiburi na majigambo ya ufahari katikati ya ufukara wa kutisha wa wananchi. Lakini utajiri mwingi unaotengenezwa na wafanyakazi (wa Ki-Gabon) wa  mafuta, machimbo ya madini, mbao, usafirishaji na bandari wanaufaidi wamiliki na wanahisa wa makampuni hayo ambayo ofisi zao kuu ziko katika sehemu za, kwa mfano Odet (Bolloré), Tour Montparnasse huko Paris (Eramet), La Defense (Areva) au Niort (Rougier, kwa unyonyaji wa biashara ya mbao za ukanda wa kitropiki).</div>
<p><em><a href="http://anr.typepad.com/anr/2009/09/gabon-l%C3%A9lection-%C3%A9tait-inutile-paris-a-nomm%C3%A9-ali-pr%C3%A9sident.html">Alliance Nationale de la Resistance du Tchad</a></em>, anaonyesha histroria ya muda ambao Ufaransa inahisiwa kujihusisha na uchaguzi, ambayo inapelekea katika nukuu ambayo si maarufu tena ya Robert Bourgi aliyoitoa kwa Le Monde jioni ya uchaguzi: “Nchini Gabon, Ufaransa si mgombea, lakini mgombea wa Robert Bourgit ni Ali Bongo. Sasa, mimi ndiye rafiki ambaye Nicholas Sarkozy anamsikiliza. Bila shaka, wapiga kura wataelewa” [Fr].</p>
<p>Wasomaji wa <em><a href="http://www.lvdpg.org/Gabon-Les-nouvelles-du-quartier-Boycotte-des-produits-Francais_a1235.html">La Voix Du Peuple Gabonais</a></em> wanajadili uwezekano wa kugomea bidhaa za Ufaransa. Ondonza anaandika: </p>
<blockquote><p>je suis entièrement d&#39;accord avec le boycotte, c&#39;est une mesure de pression efficace qui peut amener les francais à revoir leur position, dans la mesure où le chiffre d&#39;affaires de leurs sociétés diminuera à long terme, ils seront obligés de fermer et rentrer chez eux. Pour cela aussi bien les hommes d&#39;affaires, étudiants, touristes et autres ne devraient plus prendre Air france ou Gabon airlines, une alternative sera de prendre la Lufthansa, Ethiopia airlines et autres compagnies. Les automobilistes ne devraient plus consommer le carburant de Total, ni de la Lybian oil. Penser consommer Gabonais maintenant cela fera rehausser le pouvoir d&#39;achat des petits commercants gabonais.<br />
Que Dieu benisse le Gabon</p></blockquote>
<div class="translation">Ninakubaliana kabisa na mgomo huu: Ni zana sawia ya shinikizo linaloweza kuifanya Ufaransa ifikirie nafasi yao…wafanyabiashara, wanafunzi, watalii na wengine kamwe wasipande ndege za Air France au Gabon Airlines, lakini wapande Lufthansa, Ethiopia au makampuni mengine kama mbdala. Madereva wasitumie mafuta ya kampuni ya Total, wala yale ya Lybia. Kufikiria kununua bidhaa zinazotengenezwa na wa-Gabon kutainua uwezo wa manunuzi wa wafanyibiashara wadogo wa ki-Gabon.<br />
Na Mungu aibariki Gabon. </div>
<p>Aligatoire anashangaa namna mgomo huo unavyoweza kufanikiwa, kwa kuzingatia utegemezi uliopindukia wa Gabo kwa mkoloni wake wa zamani: </p>
<blockquote><p>
Boycotter les produits français, je me demande comment? notre économie ne produit rien. Cela suppose boycotter tout les groupes CFAO, CECADIS,TOTAL,SMAG,BNP(bicig) bgfi,crédit lyonnais (ugb), SEEG, LIBERTIS(les bongo). DRAGAGE……commençons donc par créer une banque gabonaise et des entreprises gabonaises. Il faut donc commencer à être décomplexé de l&#39;homme blanc. car bcp d&#39;africains souffrent d&#39;un complexe d&#39;inferiorité face l&#39;homme occidental.Cette lutte doit être d&#39;abord psychlogique et culturelle.Tous nos dirigeants sont à la merci des occidentaux au détriment de leur peuple. Nous sommes dans les mêmes configurations lors de la traite négrière, le chef coutumier et le négrier.</p></blockquote>
<div class="translation">Kugomea bidhaa za kifaransa? Kivipi? Uchumi wetu hauzalishi kitu. Hiyo itamaanisha kugomea makampuni kama CFAO, CECADIS,TOTAL,SMAG,BNP(bicig), bgfi,crédit lyonnais (ugb), SEEG, LIBERTIS, na mengine…tuanze kwa kuanzisha Benki ya Ki-Gabon na makampuni ya ki-Gabon. Tunatakiwa tuanze kwa kujikomboa kwenye vifungo vyetu wenyewe, kwa sababu Waafrika tunateswa na kule kusiona duni dhidi ya mzungu wa kimagharibi. Vita hii ni lazima iwe, kwa kuanzia kabisa, ya kiutambuzi/saikolojia na kiutamaduni. Viongozi wetu wanategemea Magharibi, na kuwaangamiza watu wao wenyewe. Tupo mahali pale pale tulikokuwa enzi za biashara ya utumwa, chifu wa kimila na mfanyabiashara ya watumwa.</div>
<p>Alphonse Obiang, katika maoni aliyoyaacha kwenye <em><a href="http://anr.typepad.com/anr/2009/09/gabon-l%C3%A9lection-%C3%A9tait-inutile-paris-a-nomm%C3%A9-ali-pr%C3%A9sident.html">Alliance Nationale de la Resistance du Tchad</a></em>, anaurudisha wajibu kwa wanasiasa wa Ki-Gabon: </p>
<blockquote><p>Cet article est du grand n&#39;importe quoi!…je ne vois pas ce que paris vient faire là, sauf si vous prétendez que c&#39;est paris qui a contraint les anti-bongo à diviser leurs voix par 22. le résultat est clair: prise en semble, l&#39;opposition dépasse largement les 50%. divisée, ali bongo passe haut la maion. Tout le reste n&#39;est qu&#39;explications facile et foutage dd gueule.</p></blockquote>
<div class="translation">Makala hii imejaa…siwezi kuona kile ambacho Paris imekifanya, labda udai ni Paris ndiyo iliwalazimisha wapinzani wa Bongo kujigawa katika makundi 22. Matokeo yako wazi: kwa pamoja, upinzani ulipata zaidi ya asilimia 50. Ugawanywa, Ali Bongo alishinda kiulaini. Mengineyo zaidi, ni maelezo rahisi na upuuzi. </div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/gabon-upinzani-waendelea-kupinga-matokeo-ya-uchaguzi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kongo Brazzaville: Uchaguzi wa Rais Wakatisha Tamaa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/kongo-brazzaville-uchaguzi-wa-rais-wakatisha-tamaa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/kongo-brazzaville-uchaguzi-wa-rais-wakatisha-tamaa/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 21 Jul 2009 13:16:57 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Elections]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Republic of Congo]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=242</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naElia Varela Serra  &#183; Imetafsiriwa na Christian Bwaya &#183;  Angalia ujumbe mama 

Siku ya Jumapili, Julai 12, watu wa Jamhuri ya Kongo walipiga kura katika uchaguzi ambao ulisusiwa na viongozi wa Upinzani kwa madai kwamba usingekuwa huru wala wa haki. Denis Sassou N’Guesso, ambaye ameitawala Kongo kwa takribani miaka 25 kama [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/elia/">Elia Varela Serra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/07/13/congo-brazzaville-disappointment-at-presidential-election/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/07/sassou-president.jpg" title="Sassoun Nguesso" class="alignleft" width="222" height="220" /><br />
Siku ya Jumapili, Julai 12, watu wa <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Republic_of_the_Congo">Jamhuri ya Kongo</a> walipiga kura katika <a href="http://www.africanews.com/site/Opposition_boycott_Congo_elections/list_messages/25946">uchaguzi ambao ulisusiwa na viongozi wa Upinzani</a> kwa madai kwamba usingekuwa huru wala wa haki. <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Denis_Sassou_Nguesso">Denis Sassou N’Guesso</a>, ambaye ameitawala Kongo kwa takribani miaka 25 kama mkuu wa nchi, anatafuta kipindi kingine cha miaka saba madarakani.</p>
<p>Pamoja na malalamiko kutoka upinzani, waangaliaji wa uchaguzi walisema kuwa upigaji kura ufanyika kwa amani, na kwamba idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ilikuwa ndogo. Kwa mujibu wa chama kikuu cha upinzani, “asilimia 90” ya wapiga kura hawakujitokeza kupiga kura. Rais anayemaliza muda wake <a href="http://www.denisassou.com/">Denis Sassou N’Guesso</a> na chama chake cha <em>Rassemblement de la majorité présidentielle</em> (RMP) <a href="http://allafrica.com/stories/200907131542.html">anatabiriwa kushinda uchaguz</a>i huo wakati ambapo tume ya uchaguzi inajiandaa <a href="http://www.google.com/hostednews/afp/article/ALeqM5iNZDCwisCPAr-BP-KEih_cJStWow">kutangaza matokeo wakati wowote</a> kuanzia Jumatatu jioni.</p>
<p>Mwandishi wa BBC anadai kuwa <a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8146328.stm">alishuhudia </a>fedha zikitembezwa katika vituo vya upigaji kura kusini mwa mji mkuu, kwa watu ambao baadae walisema kuwa waliombwa kumpigia kura Bw. Sassou-Nguesso.”</p>
<p>Mwangalizi mmoja wa uchaguzi, akizungumza kwa masharti ya kutokutajwa jina, aliliambia shirikala habari la Ufaransa (AFP), “Kuna waangalizi wengi kuliko wapiga kura.”</p>
<p>Katika kituocha habari cha Ufaransa cha France 24, watoa maoni wachache kutoka Kongo <a href="http://www.france24.com/fr/20090713-congo-brazzaville-gouvernement-allegations-fraude-opposition-election-sassou-nguesso">wametoa maoni yao</a> kuhusu uchaguzi. Hapa chini ni sehemu ndogo ya maoni hayo:</p>
<p><em>Maloumbi</em> kuhusu kutishiwa kwa wapiga kura:</p>
<blockquote><p>Dans certain villages et districts, les populations ont vote sassou nguesso suite aux intimidations. mon frere Jean Ibinga dans le district de Nyanga a reçu 1.000.000 Cfa de la part de membre de RMP pour convaincre aux vielles personne d&#39;aller vote moyenant une somme de 2500 cfa. Les elections ne ce sont pas passees d&#39;une maniere convenable et certains prefets, deputes ont intimider la population de voter leur maitre Sassou. Pour moi c&#39;est une election qui avait ete deja jouee a l&#39;avance. Je demande a la communaute internationale d&#39;anuler les elections du 12 juillet et oblige a sassou de faire un gouvernement national pouvant debattre les affaires du pays sinon il y&#39;aurait une guerre dans le futur. l&#39;opposition actuellement se prepare pour une eventuelle guerre.</p></blockquote>
<div class="translation">Katika vijiji na wilaya fulani fulani watu walimpigia kura Sassou Nguesso kwa sababu ya kutishwa. Kaka yangu Jean Ibinga katika wilaya ya Nyanga alipokea cfa 1 000 000 [Sawa na dola la kimarekani 1 800] kutoka kwa wafuasi wa RMP ili awashawishi wazee waende kupiga kura kwa kuwapa kiasi cha cfa 2500 [Dola za Kimarekani 4.5]. Uchaguzi haukwenda kwa namna inayokubalika, na baadhi ya viranja na manaibu waliwatisha watu ili wampigie kura mtawala wao Sassou. Kwangu huu ulikuwa uchaguzi wenye matokeo yaliyofahamika kabla ya muda. Naiomba JUmuiya ya Kimataifa iutangaze uchaguzi wa Julai 12 kuwa ni batili na kumlazimisha Sassou kuunda serikali ya Kitaifa itakayokuwa na uwezo wa kujadili masuala ya nchi, vinginevyo vita vitatokea huko mbeleni. Upinzani uliopo unajiandaa kwa uwezekano kwa vita.</div>
<p><em>Yoka</em> kutoka Pointe Noire kuhusu kujtokeza kwa idadi ndogo ya wapiga kura:</p>
<blockquote><p>
je suis congolais et je réside à pointe noire (capitale économique du congo et deuxième ville du pays). Je peux vous dire que les bureaux de vote sont restés vide du matin jusqu&#39; au soir . les habitants de pointe noire sont fatigués, des promesses de mr sassou, alors que de cette ville qu&#39; est tiré le pétrole qui constitue la première richesse du pays. Plus de 95% des congolais n&#39; ont pas voté. c&#39; est une réalité que le régime brutal et absurde de brazza doit reconnaitre. Du coup son régime est illégitime. les congolais du nord, du sud, de l&#39; est et de l&#39; ouest ont dit NON à sassou.</p></blockquote>
<div class="translation">Mimi ni Mkongo na ninaishi Pointe Noire (Mji mkuu wa kiuchumi wa Kongo na jiji la pili kwa ukubwa). Ninaweza kuwaambia kwamba vituo vya upigaji kura vilikuwa vitupu tangu asubuhi mpaka jioni. Wakaazi wa Pointe Noire wamechoshwa na ahadi za Bw. Sassou wakati jiji hili linalozalisha mafuta ni la kwanza kwa utajiri nchini. Zaidi ya asilimia 95 ya wa-Kongo hawakupiga kura. Ni ukweli ambao utawala huu wa kikatili na kijinga nchini Brazzaville wanapaswa kuutambua. Kwa sababu ya hilo, utawala huu ni batili. Wakongo kutoka Kaskazini, Kusini, Mashariki na Magharibi wamesema HAPANA kwa Sassou.</div>
<p>Mtoa maoni aliyeficha jina lake kutoka Kinshasa , Kongo (DRC), alijiuliza:</p>
<blockquote><p>Peut on frauder avec seulement 15% d&#39;électeurs qui, si nous suivons les différentes interventions, ne seraient que les partisans du Candidat Sassou, les autres ayant opté pour le boycot de l&#39;éléction?</p></blockquote>
<div class="translation">
Hivi anaweza kweli mtu kudanganya kwa kutumia asilimia 15 tu ya wapiga kura waliojitokeza ambao, kama tukifuatilia ripoti, walikuwa ndio wafuasi pekee wa Mgombea Sassou, wakati wengine walichagua kuususia uchaguzi?</div>
<p><em>L&#39;Africaniste</em>:</p>
<blockquote><p>Oui tout n&#39;est parfait ! Oui Sasou garde le pouvoir , Oui , il n&#39;a pas fait du congo un paradis ! Mais qu&#39;a fait l&#39;opposition ? Quel projet ou proposition l&#39;opposition congolaise a t&#39; elle soumis au peuple ? rien sauf le boycott ! qui n&#39;est rien d&#39;autre qu&#39;une ouverture à Sassou pour gagner . Alors merci messieurs les opposants d&#39;avoir aider Sassou à gagner sans difficultés . Arrêtez des bruits pour rien sauf pour distraire le peuple!</p></blockquote>
<div class="translation">
Ndio kila kitu kiko sawa sawa! Ndio Sassou anabaki madarakani! Ndio hakuigeuza Kongo iwe ahera? Lakini wapinzani walifanya nini? Mipango ipi ya miradi ambayo wapinzani wa Kongo waliitoa kwa wananchi? Hakuna isipokuwa kususia! Kitu ambacho si kingine zaidi ya kumpa  Sassou ishara ya kushinda. Kwa hiyo asanteni waungwana wa upinzani kwa kumsaidia Sassou kushinda bila ugumu wowote. Acheni makelele yasiyo na kingine isipokuwa kuwachanganya watu!</div>
<p><em>brazza-brazza</em> kuhusu uchaguzi wa amani:</p>
<blockquote><p>Élection bidon, mais nous avons la paix. La paix des miséreux.<br />
Comme Bongo, Sassou sera au pouvoir pour plus de deux générations. C&#39;est normal; nous avons la paix. La paix des soumis.<br />
Sassou pille le Congo. Mais nous avons la paix. La paix des affamés.<br />
Nous vivons dans le caca. Mais nous avons la paix. La paix a plus de valeur que la dignité.<br />
Vous a l&#39;étranger vous ne savez pas ce que la paix vaut.<br />
Je suis d&#39;accord avec vous que la paix permet a Sassou de piller. Et alors? C&#39;est normal qu&#39;il nous pille. Il es africain et il est dictateur qui fait des élections bidon pour rester dictateur.</p></blockquote>
<div class="translation">
Uchaguzi wa uongo, lakini tuna amani. Amani ya walioelemewa na ufukara. Kama Bongo, Sassou atakuwa madarakani kwa zaidi ya vizazi viwili. Ni kawaida; tuna amani. Amani ya wanyenyekevu.<br />
Sassou anaipora Kongo. Lakini tuna amani. Amani ya wenye njaa. Tunaishi katika kinyesi. Lakini tuna amani. Amani ina thamani kuliko utu. Nyie wote mnaoishi ughaibuni hamjui kiasi cha thamami ya amani.<br />
Ninakubaliana nanyi kwamba amani inamwezesha Sassou kupora. Kwa hiyo? Kuporwa ni kawaida. Yeye ni mwafrika na ni Dikteta ambaye amefanya uchaguzi wa uongo ili aendelee kuwa dikteta.</div>
<p>Kwenye <a href="http://www.liberation.fr/monde/0102579148-reaction-sur-election-sur-mesure-pour-sassou-nguesso">Tovuti ya Libération</a> <em>Yanice 18</em> aliileta hotuba ya hivi majuzi ya Obama akiwa Ghana:</p>
<blockquote><p>A peine hier, Obama a tenu un très bon discours sur la bonne gouvernance et la démocratie, aujourd&#39;hui un autre autocrate africain se prépare à renouveler son bail au pouvoir pour 7 ans encore malgré ses déboires judiciaires relatifs à ses biens immobiliers en France. A voir la longévité au pouvoir, 25 ans, de ce président tout laisse à penser qu&#39;Obama a prêché dans le désert.</p></blockquote>
<div class="translation">Ni jana tu Obama alitoa hotuba nzuri kuhusu utawala mzuri na demokrasia, leo dikteta mwingine wa Kiafrika anajiandaa kuandikisha upya dhamana ya madaraka yake kwa miaka mingine 7 pamoja na kushindwa kwake kisheria kuhusu majengo yake nchini Ufaransa. Ukiangalia muda rais huyu aliodumu madarakani,  miaka 25, inaonekana kama vile Obama alihubiri jangwani. </div>
<p>Na S<em>aboun</em> aliongeza:</p>
<blockquote><p>Ré-election de Sassou Nguesso, aucune surprise. Je ne sais pas si vous avez remarqué, Obama n&#39;a évoqué aucun pays d&#39;Afrique francophone dans son discours, pure coincidence? J&#39;en doute.</p></blockquote>
<div class="translation">Kuchaguliwa tena kwa Sassou Nguesso, si ajabu. Sijui kama uliliona hili, Obama hakutaja nchi yoyote ya Afrika iliyowahi kutawaliwa na Wafaransa katika hotuba yake. Hivi kweli hili ni jambo lililotokea bila kukusudiwa? Sidhani.</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/kongo-brazzaville-uchaguzi-wa-rais-wakatisha-tamaa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Togo Yafuta Adhabu ya Kifo</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/06/togo-yafuta-adhabu-ya-kifo/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/06/togo-yafuta-adhabu-ya-kifo/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 28 Jun 2009 10:23:59 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Togo]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=223</guid>
		<description><![CDATA[Bunge la Taifa la Togo limepiga kura ya kukomesha adhabu ya kifo na kuifanya nchi hiyo kuwa mwanachama wa 15 wa Umoja wa Nchi za Afrika kuipiga marufuku adhabu hiyo.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jennifer/">Jennifer Brea</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/06/24/togo-abolishes-death-penalty/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Bunge la Taifa la Togo limepiga kura ya <a href="http://www.amnesty.org/en/news-and-updates/good-news/togo-fifteenth-country-in-africa-to-abolish-the-death-penalty-20090623">kukomesha adhabu ya kifo</a> na kuifanya nchi hiyo kuwa mwanachama wa 15 wa Umoja wa Nchi za Afrika kuipiga marufuku adhabu hiyo.</p>
<p>Japokuwa adhabu ya kifo imekuwa ikitolewa kwa ajili ya makosa hadi kufikia mwaka 2003, Togo haijawahi kuitekeleza adhabu hiyo tangu mwaka 1978.</p>
<p>Ephrem L anaandika katika tovuti ya <a href="http://www.togosite.com/index.php?option=com_content&#038;view=article&#038;id=2584:la-peine-de-mort-desormais-abolie-au-togo-&#038;catid=34:togo&#038;Itemid=53">togosite.com</a>:</p>
<blockquote><p>Le Togo vient d&#39;inscrire son nom dans le livre d&#39;or des pays ayant aboli “la peine de mort” dans leur législation pénale. La solennité, l&#39;enthousiasme et l&#39;unanimité qui a entouré ce vote nous fait penser que les togolais peuvent ensemble faire de grandes choses pourvu que la volonté y est. Ce fut une victoire collective hier au parlement.</p></blockquote>
<div class="translation">
Togo imeandika jina lake katika kitabu cha dhahabu kwa kuifuta adhabu ya kifo katika kitabuchake cha sheria za adhabu. Taadhima, shauku na uamuzi usiopingika vilivyomabatana na kura hii vinatufanya tufikiri kuwa watu wa Togo wanaweza kufanya mambo mengi makubwa kwa pamoja, kama wakiwa na nia. Kilichotokea jana bungeni kilikuwa ni ushindi wa pamoja. </div>
<blockquote><p>
Une question non moins importante aussi et qui est celle de l&#39;IMPUNITE doit également faire l&#39;objet d&#39;une attention particulière. Elle doit être combattue sans concession pour le triomphe des droits de l&#39;homme et des libertés individuelles et collectives. C&#39;est à ce prix que la réconciliation sera possible.</p></blockquote>
<div class="translation">Suala jingine la muhimu ni lile la KUTOKUFUATA SHERIA, ambalo linahitaji kuangaliwa kwa makini zaidi. Linatakiwa kupiganiwa ili kufanikisha ushindi wa haki za binaadamu na uhuru binafsi kadhalika uhuru kwa wote. Suluhisho linawezekana tu kwa gharama hii.</div>
<p>Msomaji katika tovuti ya <a href="http://www.lepost.fr/article/2008/12/11/1354314_la-peine-de-mort-abolie-au-togo.html#xtor=RSS-33">LePost.fr</a> anaandika:</p>
<blockquote><p>
Merci Animariio….Le TOGO…bravo…………………..bon et bien Monsieur OBAMA,<br />
à vous !!!!</p></blockquote>
<div class="translation">Ahsante Animariio… TOGO… Hongera…………. Na sasa Bw. Obama, zamu yako imefika!!!!</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/06/togo-yafuta-adhabu-ya-kifo/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Rwanda: Miaka kumi na tano baada ya mauaji ya Kimbari</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/04/rwanda-miaka-kumi-na-tano-baada-ya-mauaji-ya-kimbari/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/04/rwanda-miaka-kumi-na-tano-baada-ya-mauaji-ya-kimbari/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 30 Apr 2009 13:30:18 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Rwanda]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=140</guid>
		<description><![CDATA[Hivi karibuni zilifanyika sherehe za kitaifa nchini Rwanda kuadhimisha kumbukumbu ya kutimiza miaka 15 tangu mauaji ya Kimbari. Mauaji hayo yaliangamiza maisha ya watu wapatao 800,000. Mnamo tarehe 7 Aprili, maadhimisho yalifanyika katika mji mkuu wa 
Kigali, na pia katika mji wa Nyanza, ambapo watu wapatao 5000 waliuawa kinyama. Katika Uwanja wa Mpira wa Kigali, maelfu ya mishumaa iliwashwa na kupangiliwa katika namna ambayo iliunda neno "Matumaini" katika lugha tatu. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/elia/">Elia Varela Serra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/04/14/rwanda-fifteen-years-after-the-genocide/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Hivi karibuni zilifanyika sherehe za kitaifa nchini Rwanda kuadhimisha kumbukumbu ya kutimiza miaka 15 tangu mauaji ya Kimbari. Mauaji hayo yaliangamiza maisha ya watu wapatao 800,000. Mnamo tarehe 7 Aprili, maadhimisho yalifanyika katika mji mkuu wa Kigali, na pia katika mji wa Nyanza, ambapo watu wapatao 5000 waliuawa kinyama. Katika Uwanja wa Mpira wa Kigali, maelfu ya mishumaa iliwashwa na kupangiliwa katika namna ambayo iliunda neno &#8220;Matumaini&#8221; katika lugha tatu. </p>
<p>Mwanablogu Mrwanda, <em>Negrita&#39;s Chronicles</em>, <a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7988907.stm">alitoa mwito kwa wasomaji wake</a> kushiriki katika mkesha wa kitaifa wa kuwasha mishumaa ili kuwakumbuka wahanga wa mauaji. Alifanya hivyo kupitia blogu yake: </p>
<blockquote><p>Ni miaka 15 sasa tangu Mauaji ya Kimbari yalipopabadilish nyumbani kwangu na watu wangu milele. </p>
<p>Ulimwengu ulikaa kimya wakati ambapo vilio vilipaazwa pasipo kuitikiwa. </p>
<p>Tafadhali unganeni nasi katika tukio la kuwasha mishumaa kwa kumbukumbu ya wale walioporwa maisha yao na kwa matumaini ya mustakabali uliojaa amani, haki na maelewano ya kweli. </p></blockquote>
<p>Katika makala mfululizo, Negrita, alituma <a href="http://inturire.blogspot.com/2009/04/lighting-candle.html">mtandaoni picha ya video </a>ya <a href="http://www.candlesforrwanda.org/">kampeni ya Mishumaa kwa Rwanda</a>, ambayo iliambatana na <a href="http://inturire.blogspot.com/2009/04/lift-every-voice-never-again.html">wimbo &#8216;Hali hii isijirudie tena kamwe&#39; </a>uliotungwa na kuimbwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari. <a href="http://allafrica.com/stories/200904080628.html">Wimbo huo </a>ulitungwa na mwimbaji wa nyimbo za Injili wa Rwanda, Jean Paul Samputu. Ulitungwa kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini viitikio vilikuwa katika lugha tofauti (Kiingereza, Kifaransa, Kiswahili, Kirundi na Kiganda) na uliimbwa na wanamuziki wengi maarufu kutoka eneo la Afrika ya Mashariki. </p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 435px"><img alt="Picha za watoto wahanga wa mauaji ya Kimbari katika Kituo cha Kumbukumbu cha Kigali  (Picha na Elia Varela Serra). " src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/04/kigali-genocide-museum.jpg" width="425" height="319" /><p class="wp-caption-text">Picha za watoto wahanga wa mauaji ya Kimbari katika Kituo cha Kumbukumbu cha Kigali  (Picha na Elia Varela Serra). </p></div>
<p>Martin Leach, ambaye ni mkuu wa Idara ya Uingereza ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID) nchini Rwanda alishiriki katika kumbukumbu zilizofanyika Nyanza, na <a href="http://blogs.dfid.gov.uk/2009/04/the-colour-purple/">anaelezea</a> kwenye blogu yake: </p>
<blockquote><p>Mamia ya watu walitembea polepole kwa huzuni kubwa kupitia njia ndefu iliyoelekea kwenye kilima kwenda Nyanza, wengi wao walivaa chochote chenye rangi ya zambarau, kitambaa cha begani, kanga, au utepe wa mkononi. Rangi ya zambarau ni alama ya maombolezo nchini Rwanda na jana tarehe 7 Aprili, ilikuwa siku ya kuadhimisha Kumbukumbu ya miaka 15 tangu Mauaji ya Kimbari. Pale juu ya kilima niliungana na umati mkubwa katika Maadhimisho ya Kumbukumbu. Nikiwa nimebanwa katikati ya mabalozi wawili, nilisikiliza maelezo binafsi ya watu walionusurika katika mauaji yaliyotendeka mahali hapo tulipoketi, na hakukuwa na hata mtu mmoja wa kuwatetea dhidi ya mashambulizi ya kinyama ya wanamgambo. </p>
<p>Lakini ilikuwa ni vijana ndiyo walionigusa zaidi: wasichana waliovalia mavazi ya rangi ya zambarau na nyeupe walighani mashairi kwa lugha ya Kinyarwanda, hasa wakihimiza umuhimu wa kuvaa ushujaa kwa ajili ya siku za baadaye licha ya huzuni kubw, na pia kwaya ya vijana waliovalia Tii-sheti zenye maneno &#8216;Hali hii isijirudie tena kamwe&#39;, maneno hayo pia yalikuwa kwenye vitambaa walivyojifunga kichwani, huku wakiimba kwa hisia kubwa juu ya umuhimu wa kutosahau kamwe mauaji ya kimbari. Na kwa kweli lilikuwa tukio la kuamsha hisia kali kwani hata mawaziri wa serikali waliokuwepo walitiririkwa na machozi, wakikumbuka yaliyotokea kipindi hicho na hasa kwa kuwapoteza watu waliowapenda. Nashindwa kuiaminisha akili yangu - yaani watu milioni moja kuuwawa katika muda wa siku 100: kama alivyosema mwanamama Meya wa Kigali, akiongeza &#8216;mwovu asiyesemekana&#39; aliinyakuwa nchi.</p></blockquote>
<p>Michael Abramowitz anayetoka katika Makumbusho ya Kumbukumbu ya Mauaji ya huko Marekani naye alikuwepo Kigali kwa ajili ya tukio hili. Katika blogu inayoitwa <em>World is Witness</em>, Abramovitz <a href="http://blogs.ushmm.org/WorldIsWitness/updates/rwandas_genocide_15_years_later/">anasimulia ushuhuda </a>wa aliyenusurika kwenye mauaji ya kimbari aliyeitwa Venuste, ambapo ushuhuda wake uliigusa mno hadhira iliyokuwepo wakati wa maadhimisho hayo:</p>
<blockquote><p>Venuste, aliyeonekana kuwa na umri wa kati ya miaka 50 hadi 60, huku akitembea kwa mwendo wa madaha, aliusimulia umati uliojazana jinsi gani familia yake na majirani zao walivyoamua kukimbilia katika kituo kilichokuwa karibu cha L’Ecole Technique Officielle, wakitumaini kwamba hapo pangekuwa na usalama kwao kwa kuwa kulikuwa na kikosi kidogo cha Wabelgiji chini ya Umaja wa Mataifa. Lakini siku nne baadaye, kwa mshangao mkubwa wa kutisha, kikosi hicho kidogo cha Umoja wa Mataifa, kiliondolewa, huku wakiawaambia watu waliokimbilia pale kwamba &#8220;maaskari polisi&#8221; (gendarmes) wangekuja kuwaokoa. Askari wa Umoja wa Mataifa walipuuzia kubembeleza kwao ili wasiondoke na kuwaacha mikononi mwa makundi ya askari wa serikali na wanamgambo wenye silaha waliokuwa wamewazingira nje ya milango ya shule walipokimbilia.<br />
Mara tu baada ya askari wa Umoja wa Mataifa kuondoka, Venuste na watu wengine wapatao 5000 waliokuwa kwenye viwanja vya shule hiyo walilazimishwa kutembea chini ya ulinzi wa wanamgambo wa Kihutu waliokuwa wakiwadhihaki, pia walikuwepo askari na raia waliobeba mapanga, bunduki na silaha nyingine. Baadhi ya wale waliookoka kufa walieleza matembezi hayo kama &#8220;Matembezi ya kifo&#8221;. Venuste alipoteza mkono wake wa kulia ambao ulikatwa na mmoja wa watesaji. Mateka hao walitembea mpaka kwenye kilele cha kilima hiki ambapo walizingirwa na genge la wauaji na kisha kushambuliwa kwa mabomu, mapanga na marungu. Katika muda mfupi tu, anasimulia Venuste, &#8220;Tulikuwa tumelala kwenye madimbwi ya damu&#8221;.<br />
Kati ya watu wapatao 5000 walioomba ulinzi kutoka kikosi cha Umoja wa Mataifa, ni takribani 100 tu ndiyo walionusurika kufa, ndivyo alivyosimulia Venuste. Yeye anasema alipona kwa sababu alijilaza kimya chini ya maiti kadhaa, wakati huo huo wauaji waliendelea kuzagaa pale ili kuona kama kuna aliyekuwa hai bado. </p></blockquote>
<p>Akiguswa na maendeleo ya uchumi yaliyofanywa na nchi ya Rwanda, Abramowitz haoni kama kuna dalili yoyote inayoonyesha kuwa kuliwahi kutokea mauaji ya kimbari miaka 15 iliyopita: </p>
<blockquote><p>Kama mtu ambaye ndiyo mara yake ya kwanza kwenda Rwanda, ni vigumu mtu kutoshangazwa na kutoshabihiana kati ya matukio ya kutisha sana yaliyotokea miaka 15 iliyopita na hali inayoonekana kuwa ya utulivu mkubwa na ustawi wa aina yake inayotawala sasa nchini humo, ambapo nchi hiyo inaonekana kuwa kiini cha uchumi unashamiri kwa kasi wa Afrika ya Mashariki. Tulipokuwa tukisafiri kwa gari kutoka katikati ya mji kwenda katika moja ya makanisa ambapo mtu unaweza kuona mafuvu na mali za Watutsi waliouwawa, tuliwapita wafanyakazi fulani waliokuwa wakichimba mitaro kandokando ya barabara maalumu kwa ajili ya kutandaza nyaya za mawasiliano ya Intaneti. Kwa mtu mgeni ni rahisi kujiuliza: Inawezekanaje kwamba nchi hii ya kupendeza, ambayo mara nyingi watu wengi barani Afrika huichukulia kama ya kupigiwa mfano kwa namna yake bora ya uendeshaji, inakuwaje kwamba iliingia katika unyama huo mkubwa usiosimulika?</p></blockquote>
<div class="wp-caption alignnone" style="width: 410px"><img alt="Wavuvi wa Uganda wakiopoa miili kutoka Ziwa Victoria baada ya kusafirishwa mamia ya maili kutoka Rwanda (Picha na Dave Blumenkrantz, una ruhusa ya kutumia chini ya utaratibu wa leseni za Ubunifu wa Pamoja)" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/04/rwanda-genocide-victim.jpg" title="rwanda-genocide-victim.jpg" width="400" height="502" /><p class="wp-caption-text">Wavuvi wa Uganda wakiopoa miili kutoka Ziwa Victoria baada ya kusafirishwa mamia ya maili kutoka Rwanda (Picha na Dave Blumenkrantz, una ruhusa ya kutumia chini ya utaratibu wa leseni za Ubunifu wa Pamoja)</p></div>
<p>Colette Braeckman [Fr], ambaye ni mwandishi wa habari wa Ubelgiji na mwandishi wa vitabu kadhaa kuhusu Afrika ya Kati, naye pia alikuwepo kwenye maadhimisho hayo kule Kigali, <a href="http://blogs.lesoir.be/colette-braeckman/2009/04/07/rwandaquinze-ans-et-la-solitude/">naye anaandika</a>:</p>
<blockquote><p>Kutoka katika umati uliokusanyika mbele ya &#8220;Bustani ya Kumbukumbu&#8221; na ilipo kumbukumbu ya mauaji ya kimbari, vilio vinasikika huku na kule, hivyo kukatisha hotuba rasmi zilizokuwa zikitolewa. Wakati wote, watu waliozimia au kupoteza fahamu walinyanyuliwa na kukimbizwa hospitali kwa kutumia magari ya wagonjwa. Wakati Venuste Kasirika aliposimama jukwaani na kusimulia yale yaliyomipata, simulizi lake lilisindikizwa na vilio vya chini kwa chini kutoka kwenye hadhira iliyokuwepo.</p></blockquote>
<p>Akipita huku na huko katika Kigali ya leo, Braeckman <a href="http://blogs.lesoir.be/colette-braeckman/2009/04/06/voici-quinze-ans-le-dernier-genocide-du-siecle/">anasimulia mambo yanayofanana</a> na yale aliyosimulia Abromowitz kuhusu kutofautiana kukubwa na zamani ya kutisha:</p>
<blockquote><p>Katika jiji hili la kisasa, lenye kuleta matumaini, ambapo makazi ya walalahoi yamevunjiliwa mbali na wakazi wake kuhamishiwa mbali zaidi; katikati ya majengo marefu yenye mabenki, maduka na ofisi, unapotazama bustani nzuri za maua zinazotunzwa vizuri na maeneo ya kijani kama zile Bustani za Uingereza, tunawezaje kuamini kwamba miaka kumi na tano tu iliyopita, magari ya taka yalikuwa yakikusanya maiti makundi kwa makundi mitaani na kuzimwaga mbele ya hospitali kama takataka? Mtu unapoona watu hawa waliovalia vizuri, wakiwa wamevaa viatu safi (maana kutembea pekupeku ni marufuku hapa), tunawezaje kuvuta kumbukumbu za wauaji katili kama vichaa, tena waliolewa, waliojaa hasira na chuki, wamejizungushia hirizi, wakipepesapepesa bunduki huku na huko pamoja na mapanga na walikuwa wakiwinda, yaani kama unavyowinda wanyama, wenzao wa kabila la Kitutsi ambao kwa woga walikimbilia kujificha darini, kwenye mitaro na kwenye vichaka?</p></blockquote>
<p>Yves Zihindula, mwanablogu wa Kikongo anayeishi Goma, <a href="http://tumika.congoblog.net/2009/04/07/rwanda-15-ans-apres-le-genocide-le-memento/">anakumbuka</a> mauaji ya kimbari kama hali ilivyokuwa upande wa pili wa mpaka: </p>
<blockquote><p>Miaka 15 kamili iliyopita mamia ya maelfu ya wakimbizi walimiminika kuja Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Tarehe hii inaleta kumbukumbu za kutisha za akina mama na watoto waliochoka kwa njaa waliomiminikia kwenye mitaa ya Goma. Nakumbuka kuona maiti za watu kwenye Ziwa Kivu, upande wa Rwanda wa ziwa na ambazo zilisogezwa polepole kuja upande wa Kongo na mawimbi. Wakati huo niliona magari ya kubebea taka yakiwa yamesheheni maiti za watu na kwenda kuzitupa kwenye makaburi ya halaiki. </p>
<p>Ama kwa hakika hizi si kumbukumbu nzuri hata kidogo. Bado inashangaza kuona msiba huo. Binadamu wakiuwana wao kwa wao. Hata miongoni mwa wanyama jambo hili ni nadra sana kutokea. Ninatumaini tu kwamba jambo hili halitatokea tena na kwamba Afrika (na dunia nzima) nzima imejifunza somo. </p></blockquote>
<p>Ili kusoma taarifa ya kina zaidi kuhusu historia ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda, tazama </p>
<p>makala hizi: Stop Genocide blog: <a href="http://genocide.change.org/blog/view/false_history_real_genocide_the_use_and_abuse_of_identity_in_rwanda">False History, Real Genocide: The Use and Abuse of Identity in Rwanda </a>na <a href="http://genocide.change.org/blog/view/genocide_in_rwanda_a_distinctly_modern_tragedy">Genocide in Rwanda: “A Distinctly Modern Tragedy”. </a></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/04/rwanda-miaka-kumi-na-tano-baada-ya-mauaji-ya-kimbari/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Jamhuri Ya Kidemokrasi ya Kongo: Mahojiano na Kabila Yaamsha Gadhabu</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/04/jamhuri-ya-kidemokrasi-ya-kongo-mahojiano-na-kabila-yaamsha-gadhabu/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/04/jamhuri-ya-kidemokrasi-ya-kongo-mahojiano-na-kabila-yaamsha-gadhabu/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Apr 2009 12:15:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[D.R. of Congo]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=130</guid>
		<description><![CDATA[Wanablogu wa Kikongo wakosoa mahojiano ya hivi karibuni ya  rais Joseph Kabila aliyoyafanya kwenye gazeti la New York times, wanauchambua msimamo wa Kabila juu ya Rwanda, ni nani wa kulaumiwa kuhusu rushwa, na jinsi wanahabari wa Magharibi wanavyoripoti kuhusu Afrika.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jennifer/">Jennifer Brea</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/04/16/dr-of-congo-kabilas-new-york-times-interview/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Ulimwengu wa wanablogu wa Kikongo ulijaa shutuma kali dhidi ya mahojiano ya hivi karibuni ya rais wa Kongo, <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Joseph_Kabila">Joseph Kabila </a><a href="http://www.nytimes.com/2009/04/04/world/africa/04kabilatranscript.html?_r=1&#038;fta=y&#038;pagewanted=all">kwenye gazeti la New York Times</a>. Katika mahojiano hayo, Kabila anaongelea kuhusu Rwanda, AFRICOM, uwekezaji wa China, na upenzi wake wa pikipiki.</p>
<p>Pia aliongelea ugumu wa kupata misaada mizuri; na wanablogu wengi wamemchabanga kwa hilo. Kabila anailaumu rushwa na kuutupa mpira kwenye utawala wa <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Mobutu_Sese_Seko">Mobutu</a> na udhaifu wa maofisa wake yeye mwenyewe, badala ya kukubali wajibu wa matatizo ya serikali yake.</p>
<blockquote><p>Swali: Je una watu wazuri wa kukusaidia?</p>
<p>Jibu: (baada ya kimya kirefu) Mobutu aliiongoza nchi hii kwa zaidi ya miaka 37. Aliunda tabaka la wanasiasa pamoja na fikra na hatujaweza kuzing&#39;oa.  Taratibu za zamani ni mbaya - rushwa, utawala wa hovyo hovyo, utawala mbovu na mambo kama hayo. Kosa letu kubwa ni kuwa hatujapata muda wa kutosha kufundisha na kutengeneza makada wetu wenyewe. Hauhitaji watu elfu moja kuibadilisha nchi. Hapana, unahitaji watu 3, 4, 10, 15 ambao wana imani, wana nia, na wenye azma. Je ninao hao watu 15? Pengine 5, 6, 7, lakini bado hatuna 15.</p></blockquote>
<p>Kwenye mtandao wa <a href="http://realisance.afrikblog.com/archives/2009/04/14/13377640.html"><em>Forum Realisance</em></a> [Fr] Musengeshi Katata anaandika kuwa Joseph Kabila amejeruhi kila Mkongo aliyesoma mahojiano yale:</p>
<blockquote><p>Maprofesa wote wa vyuo vikuu, maofisa wa jeshi, waalimu, mafundi, wakandarasi, madaktari, maofisa wa benki, wafanyakazi wenye ujuzi, wazazi wanaosomesha watoto wao, mawaziri, wanasheria, manaibu… n.k. ambao wanafanya kazi kila siku ili kujenga taifa la kesho; watu wote hao wameshushwa kufikia kundi la ndani la watu 15? Anageuza kibao, je huyu kweli ni mkuu wa nchi anayeongea au ni sawa tu na kocha mbovu wa timu ya mpira wa miguu au mpira wa mabavu? </p>
<p>Inadhihirika, kwamba raisi huyu, ambaye hajapata matokeo yoyote mazuri, anataka kuwafanya wananchi wake - na hili linawafurahisha watu wengi wa Magharibi wakati huu usiotabirika wa misukosuko - kuwa ni wajinga na wasiojua kazi.</p></blockquote>
<blockquote><p>Swali ni kuwa: Anafanya nini madarakani, mchawi huyu, kama hawezi kumuamini mtu yeyote na kama inavyodhihirika kwamba hajui jinsi ya kuchagua watu anaowahitaji ili sera zake zipate matokeo?</p></blockquote>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 235px"><img alt="Joseph Kabila, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tangu mwaka 2002 (Wikipedia)" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/04/225px-joseph_kabila.jpg" title="225px-joseph_kabila.jpg" width="225" height="338" /><p class="wp-caption-text">Joseph Kabila, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tangu mwaka 2002 (Wikipedia)</p></div>
<p><a href="http://congoliberte.canalblog.com/archives/2009/04/10/13336655.html"><em>Congoliberte </em></a>anadhani kuwa kama Kabila kweli anaamini kwamba kuna watu saba tu kwenye serikali yake ambao wana thamani, wakati wa kusafisha nyumba umefika:</p>
<blockquote><p>Kama anaweza kuwategemea watu 6 au 7 pekee, au watu chini ya 10, ili kuendesha nchi, katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 70. Hili ni jambo makini…</p>
<p>… Wakongo wanahitaji maelezo juu ya baraza la mawaziri lenye washauri dazeni, serikali yenye wanachama karibu ya 60, bunge lenye wawakilishi 500 na  maseneta 120..</p>
<p>… Wazalendo na wenye vipaji vilivyojificha, ambao wako kwa maelfu, wanachapa kazi kwenye vivuli vya wale walioliteka taifa nyara. Wanawake na wanaume wa Kongo wamsubiri [Kabila] asafishe &#8220;banda lake la nguruwe&#8221;… Kwa nini asibuni, aunde baraza la washauri wa rais pungufu ya 10 na baraza la mawaziri  pungufu ya watu 15… ni sasa au kamwe haitawezekana, huu ndio wakati wa kufanya uamuzi mzuri…</p></blockquote>
<p><a href="http://mlc-diaspora.hautetfort.com/archive/2009/04/08/pas-plus-de-7-congolais-non-corrompus-autour-du-chef-kabila.html"><em>Mouvement Libération du Congo - Diaspora</em></a> anafikiri kuwa maelezo ya Kabila kuhusu uhaba wa viongozi wanaoweza kazi yanafanana na yale ya wakoloni:</p>
<blockquote><p>Kwa wale miongoni mwetu wanaofahamu kuwa &#8220;uhalifu wa kimipango katika Afrika ya Kati&#8221; umefaidika kwa huduma za Wazungu, inawezekana kuwa Joseph Kabila anatuma ishara kwa &#8220;wakuu&#8221; wake ili kufafanua mbinu anazotumia.</p>
<p>Kusoma majibu ya Joseph Kabila aliyoyatoa kwenye New York Times kulikuwa ni sawa na kuwa kwenye adhira na Karel De Gutch, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ubelgiji, aliyedai kuwa hakuwaona wanasiasa wanaopaswa kupewa cheo cha uanasiasa kati ya wale wanaomzunguka Kabila.  Kama unafahamu manung&#39;uniko ambayo yalisababishwa na tamko la De Gutch na unaposikia maelezo hayo hayo yakitoka kwenye mdomo wa &#8220;rais&#8221; (yaani Kabila) ni lazima utajisemea wewe mwenyewe &#8220;taarifa hii inanifanya nijihisi vibaya&#8221;. Tunakabiliwa na kuanguka kwa sera zilizonzishwa kwenye misingi ya utengano, ghasia, rushwa, na uongo, Joseph haraka anatafuta visingizio: Fikra za Mobutu, za akina mobutu, za wanaoamini U-mobutu.  Mahojiano haya yangekuwa na ushawishi kama Joseph angetaja hatua tatu au nne ambazo zilitekelezwa kwa ajili ya manufaa ya Wakongo katika miaka yake 7 ya kutawala. Hakuna hatua zozote ambazo anaweza kuzitaja.</p></blockquote>
<p>Kuna wanablogu ambao pia walijadili matamshi ambayo Kabila aliyatoa kuhusu Rwanda, nchi ambayo ina mahusiano magumu na Kongo.  Pamoja na mambo mengine, mpaka sasa Rwanda imekataa kumuwasilisha nchini Kongo <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Laurent_Nkunda">Laurent Nkunda</a>, aliyekuwa mkuu wa kundi la waasi wanaowaunga mkono Watusi ambao walikuwa wakifanya vitendo vyao mashariki mwa Kongo. Kabila alimueleza mwandishi wa New York Times:</p>
<blockquote><p>&#8221; Je ni maslahi gani Rwanda iliyonayo nchini Kongo? Ningependa kuamini kuwa ni maslahi sawa. Lakini kama kuna ajenda ya siri, na maslahi ya Rwanda ni kutaka kudhibiti uchimbaji wa madini na mambo kama hayo kinyume cha sheria, na kama wana mkono kwenye kwenye kila jambo linaloendelea Kivu ya kaskazini na Kusini, basi bado tupo mbali sana na kuaminiana. Hebu tuwape faida ya kutofahamu, kwa mara nyingine tena, pengine kwa mara ya mwisho.&#8221;</p></blockquote>
<p>Mwanablogu <a href="http://mushakipager.blogspot.com/2009/04/le-retour-mediatique-du-rais.html"><em>The Mushaki Pager</em></a> anashindwa kuelewa ni nini kilichomfanya Kabila achukue msimamo huo mkali:</p>
<blockquote><p>Hii si Diplomasia. Je anataka kuwakasirisha watawala wa Rwanda? Je alifanya makubaliano na Ufaransa ambayo yalimruhusu kutumia lugha ya uchokozi dhidi ya Warwanda, ambao rais wao hivi karibuni alisema kuwa wana urafiki thabiti baina yao na Kinshasa?</p></blockquote>
<p><a href="http://afrique-des-grands-lacs.blogspot.com/2009/04/commentaire-sur-linterview-de-kabila-au.html"><em>Afrique des Grands Lacs</em></a> alipachika tafsiri ya kifaransa ya mahojiano hayo na anaandika:</p>
<blockquote><p>Bwana Kabila alithibitisha tena kuwa Rwanda itamuwasilisha <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Laurent_Nkunda">Laurent Nkunda</a> na kuwa atafikishwa mbele ya haki nchini Kongo. Hata hivyo, swali ni kuwa ni zana ipi aliyonayo Kabila ambayo itahakikisha kufikishwa kwa Nkunda (nchini Kongo)…</p></blockquote>
<blockquote><p>Ninashangaa kwamba Kabila alitamka wazi kuwa hakuna hati ya kukamkamata Nkunda. Kauli hii inayojipinga kwenye mahojiano hayo ni ishara ya wazi kuwa Kabila hashughulikii tena suala la kumuwasilisha Nkunda nchini Kongo. Kama mkuu wa nchi mwenyewe &#8220;anasahau&#8221; amri ya kimataifa ya kumkamata Nkunda iliyotolewa na vyombo vya sheria vya nchi yake, je ni vipi unategemea amri hiyo kuwa na nguvu?</p></blockquote>
<p>Kwenye <a href="http://realisance.afrikblog.com/archives/2009/04/14/13377640.html"><em>Forum Réalisance</em></a> [Fr], Katata anakosoa mahojiano yale, hasa juu ya matamko ya Kabila kutokuwa na maana. Anavilaumu vyombo vya habari vya magharibi: </p>
<blockquote><p>Inashangaza kwamba rais aliyechaguliwa anaweza kuonyesha uwezo mdogo kwenye mahojiano na gazeti muhimu kama hili la The New York Times:</p>
<p>Wengi watasema: hii inatokana na maswali aliyoulizwa na nini alichokuwa akikitafuta mwandishi katika mahojiano. Nafahamu kuwa hilo linawezekana: zaidi ya yote lile lilikuwa ni tangazo kwa ajili ya rais wa Kiafrika ambaye wanataka kumtengenezea sifa, na si kutaka kupima ukomavu wa mantiki yake na uwezo wake wa kisiasa. Kwani Wamarekani wanayo dhana yao juu ya Afrika: bara la masikini, wadhaifu, na wasiojiweza ambao Wamarekani wanawahitaji ili wajisikie kuwa wao ni watu wenye nguvu kijeshi, kisiasa na kichumi. Bara kongwe la ombaomba ambalo watu hulipatia misaada iliyokithiri, ambayo inatumika kutatua, kwa njia moja au nyingine, matatizo ambayo haifahamu jinsi ya kuyatatua.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/04/jamhuri-ya-kidemokrasi-ya-kongo-mahojiano-na-kabila-yaamsha-gadhabu/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Martinique: Uhuru na &#8220;Ubeberu&#8221; wa Kifaransa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/martinique-uhuru-na-ubeberu-wa-kifaransa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/martinique-uhuru-na-ubeberu-wa-kifaransa/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 26 Feb 2009 01:21:38 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[France]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Guadeloupe]]></category>
		<category><![CDATA[Martinique]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=72</guid>
		<description><![CDATA[Wakati harakati za wafanyakazi zinaendelea huko Martinique na Guadeloupe, wanablogu wa Martinique wanapima uhuru wa Idara za Ng'ambo utamaanisha nini. Le blog de [moi] anaona dhana ya kuwa Martinique haiwezi kujitegemea ni dhana inayotusi na ya kibeberu. Wasomaji wake wanadhani kuwa ukweli wa kisiwa chochote kidogo ni kuwa kila siku kitakuwa katika kivuli cha wengine.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jennifer/">Jennifer Brea</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/02/21/martinique-on-independence-and-french-paternalism/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Bloga wa Kimartinique <a href="http://www.blogdemoi.com/2009/02/20/le-paternalisme-pour-les-nuls/"><em>le blo de [moi]</em></a> [FR], katika makala yake nyingine inayohusu <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/2009_French_Caribbean_general_strikes">harakati za wafanyakazi wa Martinique na Guadeloupe </a>anapambana na Christophe Barbier, mhariri wa maoni katika gazeti la Kifaransa, L&#39;Express. Katika mahojiano ya redio ya <a href="http://www.france5.fr/c-dans-l-air/index-fr.php?page=resume&#038;id_rubrique=1092">C dans l&#39;air</a> hivi karibuni, Barbier alijibu ujumbe wa simu ya mkononi kutoka kwa msikilizaji aliyeuliza, &#8220;kwa nini tusizipe Idara za Ng&#39;ambo uhuru wao?&#8221; Barbier akajibu:</p>
<blockquote><p><em>&#8220;(…) Ikiwa (visiwa hivyo) vitageuka kuwa kiwanda cha utalii cha Marekani, au vitaangukia kwenye udhibiti wa majangili (wa kimafia) ambao watapageuza kweupe, au patakuwa Haiti mpya, uhuru hauwezekani bila ya kushamiri kwa uchumi! Mara moja vitakuwa tegemezi kwa nchi nyingine na (utegemezi huo) utakuwa mbaya zaidi ya kuwa tegemezi kwa Ufaransa.&#8221;</em></p></blockquote>
<p>le blog de [moi] amekasirika:  </p>
<blockquote><p>Kweli? Christopher Barbier??? &#8220;Itakuwa&#8221;?!!! Na hapa, ngoja nikwambie, bila kuficha (na wale wote ambao wamekuwa wakinisoma kwa muda wanajua msimamo wangu kuhusu suala hili): hakuna sababu nzuri ya kuunga mkono uhuru! Maneno haya, na sauti ya dharau iliyotumika, na nyodo… yote yako wazi! Kwa sababu hatimaye siku moja tukiamua kuruka kiunzi na kuwa huru, huo utakuwa ni uamuzi wetu, liwalo na liwe, sawa! Baada yetu [Wafaransa] pataharibika??? Hao watoto wakubwa [Idara za Ng&#39;ambo] hawatajua jinsi ya kujilinda au kuepuka vipingamizi vinavyoambatana na kuwa taifa huru? Hayo ndiyo maneno ya kunadi ili kufafanua kwa nini Idara za Ng&#39;ambo ziendelee kupakatwa na Ufaransa? Yesu wangu!</p></blockquote>
<p>Katika maoni, Elsie anapinga kuwa maoni ya Barbier yalikuwa na dharau:</p>
<blockquote><p>…Pengine alichotaka kusema ni kuwa nchi ndogo kama Martinique (au Guadeloupe), katika mazingira magumu ya visiwa vya Karibeani,  kitakuwa na hali ngumu kujikimu na kuwazuia wauza madawa ya kulevya na magenge yao ambao wamejaa katika kanda hiyo, bila ya msaada wa taifa kubwa (Marekani badala ya Ufaransa?). Hili si suala la kujua kuwa pengine watu watakaoliongoza taifa watakuwa wana uwezo au la, ni kusema tu kuwa nchi ndogo, kutokana na nguvu ndogo za kijeshi, inaweza tu kuishi chini ya kivuli cha taifa kubwa ambalo linailinda…</p></blockquote>
<p>Lakini Elsie hakubaliani na dhana kwamba ni Ufaransa pekee ndiyo inayoweza kutoa ulinzi huo.</p>
<p>wk de l&#39;ile antoa mifano kadhaa ambayo maoni ya Barbier yanadhihirika:</p>
<blockquote><p>Bila kuficha, sifikiri kuwa alichokisema kilikuwa na ubeberu… alizungumza ukweli katika lugha ya dharau, na bila ya shaka, kwa kukurupuka: &#8220;kiwanda cha utalii cha Wamarekani&#8221;: Iangalie St Lucia, Jamhuri ya Dominika na Haiti, Montego Bay katika Jamaika, Barbados…&#8221; chini ya udhibiti wa majangili (wa kimafia) ambao wanapageuza kweupe&#8221;: Angalia St Martin, Anguilla…&#8221; Haiti mpya&#8221;: Sina la kuongeza…</p></blockquote>
<p>wk de l&#39;ile anaendelea:</p>
<blockquote><p>Lazima nikubali kuwa, kutokana na chuki fulani kwa upande wa serikali na ninaposoma maoni ya wasomaji wa magazeti ya Le Monde, Le Figaro, La Liberation… Nachefuka ninapouona ujinga mwingi kuhusu sisi ni nani… Wakaribeani wa Kifaransa… kiasi kwamba nina mgogoro wangu mdogo wa kuunga mkono uhuru…</p></blockquote>
<blockquote><p>Matumaini yangu ni kuwa kwa kufuata mifano ya mafanikio na kushindwa kwa mataifa yaliyoko kwenye kanda yetu, tukitilia maanani historia yetu ya kipekee na uhusiano wetu na Ufaransa Bara, Afrika na Asia, kwamba hatutajipiga risasi mguuni na kuwa tutaziweka taasisi pahala pake na maendeleo ambayo yatazingatia sisi ni nani. Kuufafanua utaifa wetu kwa utambuzi finyu, unaochochewa na itikadi za kitaifa, ni njia hatari kwa maoni yangu. Na tuhuishe jamhuri inayovuka mabara (tujikumbushe ile dhana nzuri ya Marlène Parize)</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/martinique-uhuru-na-ubeberu-wa-kifaransa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Guadeloupe: Hali Tete Yazua Ghasia</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/guadeloupe-hali-tete-yazua-ghasia/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/guadeloupe-hali-tete-yazua-ghasia/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 26 Feb 2009 00:36:05 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Economics]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Guadeloupe]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=69</guid>
		<description><![CDATA[Baada ya wiki za maandamano ya amani katika Idara za Ng'ambo za Ufaransa za Guadeloupe na Martinique, mambo yaligeuka na kuwa ghasia siku ya jumatatu, polisi na waandamanaji walipambana katika jiji kubwa la Guadeloupe, Pointe-a-Pitre. Wafanyakazi wanapinga ukosefu wa ajira unaoongezeka pamoja na kupanda kwa bei za bidhaa muhimu, ambazo nyingi zake huagizwa kutoka Ufaransa.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jennifer/">Jennifer Brea</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/02/18/guadeloupe-escalating-tensions-lead-to-violence/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Baada ya <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/01/29/guadeloupe-we-are-experiencing-lyannaj-kont-pwofitasyon-the-first-social-movement-of-its-kind/">wiki za maandamano ya amani</a> katika Idara za Ng&#39;ambo za Ufaransa za Guadeloupe na Martinique, mambo yaligeuka na kuwa ghasia siku ya jumatatu, polisi na waandamanaji walipambana katika jiji kubwa la Guadeloupe, Pointe-a-Pitre. Wafanyakazi wanapinga ukosefu wa ajira unaoongezeka pamoja na kupanda kwa bei za bidhaa muhimu, ambazo nyingi zake huagizwa kutoka Ufaransa.</p>
<p>Katika tovuti ya uandishi wa kiraia, <a href="http://www.agoravox.fr/"><em>Agoravox</em></a>, <a href="http://www.agoravox.fr/auteur.php3?id_auteur=30093">Illiouchine</a>, metropolitanin [raia wa Ufaransa aliyeko Ufaransa bara], anaelezea hali ilivyokuwa katika Guadeloupe mwishoni mwa juma na utulivu uliofuatia baada ya ghasia za usiku wa Jumatatu. </p>
<blockquote><p>Hali ya hewa ilikuwa nzuri asubuhi hii, jua, hapakuwa na upepo, kadhalika hapakuwa na mawingu angani. Kilele cha Soufrière [volkeno iliyopo kwenye mbuga za taifa za Guadeloupe], kilikuwa kinaonekana wazi kabisa. Uliweza kuuona moshi unavyopaa moja kwa moja kuelekea angani kutokea kwenye matobo yaliyoko juu ya volkeno hiyo.</p></blockquote>
<blockquote><p>Jana usiku hali ilibadilika. Maeneo yanayoizunguka PAP [Pointe-à-Pitre, jiji kubwa katika Guadeloupe] yalikuwa ndiyo kiini cha ghasia: paliwaka moto, na maduka yaliporwa. Maduka ya walaji hayakuguswa, ni maduka ya vifaa vya michezo na spea za magari ndiyo yalidhurika. Kila sehemu, palikuwa na vizingiti asubuhi hii. Kiranja aliendelea kuwa mtulivu na akasema kuwa ataendelea kusafisha barabara. Hivi sasa, Saint Claude imerudia hali ya kawaida, maduka yamefunguliwa, na watu wanaendelea na shughuli zao.</p></blockquote>
<p><a href="http://guadeloupe.blogs.liberation.fr/marina/2009/02/pour-la-premire.html"><em>La Guadeloupe en colère</em></a> anaelezea matukio ya Jumatatu:</p>
<blockquote><p>Jana asubuhi, watu waliogoma walisimika vizuizi kadhaa barabarani katika sehemu muhimu.<br />
… vikosi kadhaa vya polisi, vilivyotumwa kisiwani humo mwanzoni mwa mgogoro, viliendelea na kazi ya kuviondoa vizuizi hivyo. Mambo yasiyoepukika yalitokea.  Huku wakikabiliana na pingamizi kutoka kwa waandamanaji, vikosi vya usalama havikusita kutumia nguvu. Waandamanaji kadhaa walichukuliwa kwa ajili ya kuhojiwa, kiasi cha 50, ambao wote wataachiwa leo baada ya kushikiliwa na polisi kwa muda.</p></blockquote>
<blockquote><p>Nimeudhika na jinsi hali ilivyoharibika, ambapo ghasia zinatawala mazungumzo yameshindwa… Ni makosa ya nani? Dola? Umma? Waajiri? Kila mmoja ana makosa kwa sababu kila mmoja anafahamu matokeo!</p></blockquote>
<blockquote><p>Ilikuwa vigumu kuamka. Nilistuka niliposikia kwamba duka la magazeti, kisiwa hadimu cha utamaduni, lilichomwa moto. Nasikia hofu inaanza kunichukua. Niliamua kwenda kazini; kwa hakika [mimi] nina dhamira kubwa au hamasa. Wanyapara waliwasiliana nasi na kutuambia turejee nyumbani, wakihofu kwamba hali ilikuwa ni tete mno.</p>
<p>Nikaondoka… huku takataka zinazoungua zikiipamba mitaa…<br />
Kwa mara ya kwanza ninajiuliza tunaenda wapi…</p></blockquote>
<p>Katika safu ya maoni, f parfait anaandika:</p>
<blockquote><p>Bila ya kuyahalalisha yote yaliyotukia, ninapata matumaini katika ukweli kwamba jamii ya Waguadeloupe haijakuwepo hata kwa miaka 400, na watu wa Guadeloupe (ni lini utumwa ulikomeshwa?). Sisi ni jamii ambayo bado inajiunda. Ni muda gani Ufaransa ilitumia kufikia hapo ilipo leo?…</p></blockquote>
<p>Caro <a href="http://www.rue89.com/2009/02/17/guadeloupe-paris-doit-eviter-tout-recours-a-la-force">akitoa maoni katika makala moja ya Rue89</a>, anafafanua ni nini chimbuko la mgogoro huu:</p>
<blockquote><p>Kosa kubwa, kwa maoni yangu, lilikuwa ni kujaribu kusuluhisha [vuguvugu] katika Guiana ya Kifaransa mnamo mwezi Disemba (kwa sababu malalamiko ya kwanza yalitokea katika Guiana ya Kifaransa), bila ya kufanya lolote kwa ajili ya Guadeloupe au Martinique, ambako kila mmoja alikuwa anafahamu kuwa walikuwa wanajitayarisha kwa ajili ya mgomo.</p></blockquote>
<blockquote><p>Serikali ikaachia hali iendelee kuharibika, wakati wanazifahamu kero za wananchi, ukosefu wa ajira unaoongezeka, na kwamba bidhaa muhimu zinazoagizwa kutoka taifa mama, zilikuwa zinazidi kuwa ghali.</p></blockquote>
<blockquote><p>Idara ya Ng&#39;ambo inapokea fedha nyingi, siyo tu kutoka kwa taifa mama, bali pia kutoka nchi nyingine za Ulaya (kwani ni sehemu ya Ulaya…), Lakini fedha hizi haziwasaidii watu, ambao wanazidi kuwa masikini…</p></blockquote>
<blockquote><p>Kama hawataki kuziona Idara zote za Ng&#39;ambo zikilipuka (Guiana ya Kifaransa itakuwa tayari kufanya mgomo baada ya tamasha la kanivali, kadhalika mambo yanatukia pia huko Reunion), ni kwa maslahi ya serikali kutafuta suluhisho haraka na kufungua mifuko yao ya fedha katika njia ambayo itawanufaisha watu, na sio waajiri. Lakini hivyo ni kinyume na falsafa za mamwinyi.</p>
<p>Haya yataishia vipi? Tunaweza kuhofu. Tunahitaji kuungwa mkono na umma wote wa Ufaransa bara, kuonyesha mshikamano. Kinachotokea huko kinatudhuru na sisi pia.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/guadeloupe-hali-tete-yazua-ghasia/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
