<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; Arabic</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/languages/arabic/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Misri: Haki ya Kijerumani kwa Marwa El Sherbini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 11:06:45 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Germany]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Racism]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=669</guid>
		<description><![CDATA[Muuaji wa Marwa El-Sherbini, mwanamke wa Kimisri ambaye alichomwa visu mpaka kufa na muhamiaji mwenye asili ya Urusi na Ujerumani, Alex Wiens,  ndani ya mahakama huko Ujerumani, amehukumiwa kifungo cha maisha, bila uwezekano wa kuachiwa mapema. Haki hatimaye imetolewa na muuaji anaadhibiwa, wanasema wanablogu wa Misri.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/tarek-amr/">Tarek Amr</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/egypt-german-justice-for-marwa-el-sherbini/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Hatimaye, haki imetolewa katika <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/07/06/egyptian-woman-killed-in-german-court-for-being-veiled/">shauri la Marwa El-Sherbini</a>, mwanamke wa Kimisri aliyeuwawa kwa kuchomwa visu na muhamiaji mwenye asili ya Urusi-na-Ujerumani ndani ya mahakama huko Ujerumani. Baada ya karibu miezi mine na nusu, Alex Wiens amehukumiwa kifungo cha maisha, bila ya matarajio ya kuachiwa mapema kabla ya kifungo kumalizika.</p>
<p><em>Bikya Misr</em> <a href="http://bikyamasr.com/?p=5678">ameandika kuhusu kesi hiyo</a>:</p>
<blockquote><p>Baada ya karibu miezi mine na nusu, mkasa wa Marwa el-Sherbini umefikia hitimisho la namna Fulani baada ya mahakama ya Ujerumani kumhukumu kifungo cha maisha bila uwezekano wa kuachiwa mapema mtu aliyemchoma visu “shahidi aliyevaa shela” mara 17 ndani ya mahakama mnamo mwezi Julai. Wamisri, Waarabu na kadhalika Wajerumani wameikaribisha hukumu hiyo na wanatumaini kuwa Ulaya na Mashariki ya Kati zitaanza kupona majeraha ya mauaji hayo na kusonga mbele “kuelekea mustakabali bora zaidi.”</p></blockquote>
<p><em>Hicham Maged </em><a href="http://blog.hichamaged.net/justice-and-stereotype/">ameandika jinsi alivyoridhika na hukumu, na kuwa ana imani na mfumo wa sheria wa Ujerumani</a>:</p>
<blockquote><p>Hakimu alikuwa anazitambua mbinu kadhaa za timu ya utetezi ya muuaji na hapa ninanukuu maneno kwa mujibu wa makala hii: “Aliua… si kutokana na hofu bali kutokana na kisasi. Kwa makusudi alitumia nia njema na udhaifu wake (marehemu). “Ninakubaliana na hili na usisahau kuwa alijaribu pia kumuua mume wake.<br />
Ninafarijika kuwa chumba cha mahakama ambamo usaliti huo ulitokea kimeoshwa kwa mikono na kimaadili kwa kutumia haki. Baada ya hayo, imani yangu kwa mfumo wa sheria wa Ujerumani haupaswi kuelezwa kwani kosa hili lilikuwa ni la kustusha kwetu sote na si kwa Wajerumani pekee. Kwa hivyo basi, ni leo hii Marwa na mwanawe ambaye alikuwa hajazaliwa wanaweza kupumzika kwa amani baada ya malipo kwa muuaji. </p></blockquote>
<p><em>Zeinobia</em> aliifurahia hukumu, naye pia <a href="http://egyptianchronicles.blogspot.com/2009/11/this-is-fair-rule-not-political-rule.html">aliandika kuwajibu wale ambao waliamini kuwa hukumu ile ilikuwa ni ya kisiasa, na kuwa mahakama ya Ujerumani ilitoa hukumu inayomnufaisha Marwa ili kuwaridhisha Wamisri na Waarabu</a>:</p>
<blockquote><p>Sasa nataka kusema jambo, baadhi ya wabaguzi “na si wachache duniani hivi sasa”, watasema kwamba uamuzi huu ni wa kisiasa; ambao mahakama ilibidi iuchukue ili kushinda mioyo na fikra za Waislamu duniani na kuokoa maslahi ya Ujerumani katika ulimwengu wa Kiislamu.<br />
Naam, kwa heshima yangu yote nilikwishasema hapo awali na nitasema tena; usimfikirie Marwa kama mwanamke wa Kiislamu; mfikirie kama mwanamke mjamzito na mama ambaye kwa yakini alichomwa visu mara 18 mbele ya mwanawe mdogo wa kiume. Aliua roho mbili, roho zisizo na hatia kwa sababu ya chuki isiyoona pamoja na ubaguzi. Anastahili kuwa jela kwa maisha yake yote yaliyobaki kwa kutoa maisha ya roho zisizo na hatia na kuota uhai wa mama kutoka kwa mwanawe.</p></blockquote>
<p><em>Aam Mina</em> kwa upande mwingine aliandika makala, ya <a href="http://voice-of-egypt.blogspot.com/2009/11/blog-post_12.html">kuwakebehi wale wanaoamini katika nadharia za njama na waliokuwa wakitarajia Wajerumani kufanya uamuzi utakaompendelea muuaji</a>:</p>
<blockquote><p>
مش عارف ليه من ساعة الجكم مش سامعين صوت الناس اللي فلقتنا وقت الحادث عن عنصرية الألمان و كرههم للعرب و المسلمين و عن إن القضية هتتظبط و الراجل هياخدله سنة أو سنتين و خلاص و انه الحل الوحيد هو الجهاد و محاربة الغرب الصهيوني الفاسد العلماني الكافر </p></blockquote>
<div class="translation">Sijui kwa nini, tangu kutangazwa kwa uamuzi, sijamsikia yeyote kati ya wale waliokuwa wakiongelea juu Wajerumani na jinsi walivyo wabaguzi, na kuwa wanawachukia Waarabu na Waislamu. Pia walidai kuwa mahakama ingetoa uamuzi uanompendelea muuaji na kuwa atafungwa kwa mwaka mmoja au miwili tu, na kuwa tumaini letu pekee ni kutangaza vita takatifu dhidi ya utawala usio na dini, uliooza, Wakizayonisti, na Wamagharibi makafiri.</div>
<p>Kisha aliandika kuhusu mafundisho mengi ambayo tunapaswa kujifunza kutokana na tukio hili:</p>
<blockquote><p>
دي بعض الدروس المستفادة من الغرب الكافر<br />
١- سرعة العدالة.. جريمة القتل تمت في يوليو ٢٠٠٩ يعني من حوالي ٤ شهور.. ماحتاجناش ٢٠ سنة دراسة للقضية زي ما بيحصل عندنا<br />
٢- عدالة الحكم.. تم تطبيق أقصي عقوبة علي المتهم و هي المؤبد (عقوبة الإعدام غير معمول بيها في القانون الألماني) من دون التمييز ما بين مسلم و مسيحي أو عربي و ألماني.. الكل سواسية أمام القانون </p></blockquote>
<div class="translation">Haya ni baadhi ya mafundisho tunayotakiwa kujifunza kutoka kwa makafiri wa Magharibi:<br />
1.	Toeni haki haraka: Mauaji yalitokea mwezi Julai 2009, yaani, takriban miezi 4 iliyopita, na haikuwachukua miaka 20 kulichambua shauri, kama ambavyo hufanyika hapa.<br />
2.	Haki yenyewe: Muuaji amepokea adhabu ya juu – adhabu ya kifo haimo kwenye sheria ya ujerumani – bila ya kubagua kati ya Muislamu, Mkiristu, Mwarabu au Mjerumani. Wote wako sawa mbele ya sheria. </div>
<p>Na mwisho, <em><a href="http://blog.hichamaged.net/justice-and-stereotype/">Hicham Maged</a></em> aliandika:</p>
<blockquote><p>Kilichotokea kwa Marwa kiwe ni mbiu ya ‘kuamsha’ ambayo itawafanya watu wafanye kazi ili kufanikisha, kwa kukosoa vitendo vilivyozidi mipaka ambavyo vinafanywa dhidi ya watu kutokana na imani zao au rangi na kuelewa tofauti zetu na hii inamaanisha kuzizima imani potofu kutoka kwa yeyote dhidi ya yeyote.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Algeria-Misri: Ugomvi Juu ya pambano la Mpira kwenye Mtandao</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/algeria-misri-ugomvi-juu-ya-pambano-la-mpira-kwenye-mtandao/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/algeria-misri-ugomvi-juu-ya-pambano-la-mpira-kwenye-mtandao/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 15 Nov 2009 10:52:06 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Algeria]]></category>
		<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Sport]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=659</guid>
		<description><![CDATA[Hali tete kati ya mashabiki wa mpira wa miguu wa Misri na Algeria inazidi kukua kabla ya pambano litakalofanyika mjini Cairo tarehe 14 Novemba. Mchuano huo utaamua ipi kati ya timu hizo zitafaulu kwenda kwenye Kombe la Dunia la FIFA Afrika ya kusini mwaka ujao. Misri inahitaji japo ushindi wa magoli mawili ili kulazimisha mchezo wa kukata shauri katika uwanja wa nchi nyingine ambapo Algeria, ambayo imeshindwa kufaulu kwenda kombe la dunia tangu 1986, itapambana ili kutunza nafasi yake ya sasa ya kuongoza katika kundi la wanaogombania nafasi ya kufaulu. Wakati wa kuelekea pambano la Jumamosi, mashabiki washindani wamekuwa wakijiandaa nje ya mtandao wa intaneti, kadhalika katika malumbano makali ya mtandaoni, ambayo yamekua na kugeuka “vita-vya-mikwara-kwenye-mtandao” ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/hisham/">Hisham</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/12/algeria-egypt-online-feud-over-football-match/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Hali tete kati ya mashabiki wa mpira wa miguu wa Misri na Algeria inazidi kukua kabla ya pambano litakalofanyika mjini Cairo tarehe 14 Novemba. Mchuano huo utaamua ipi kati ya timu hizo zitafaulu kwenda kwenye Kombe la Dunia la FIFA Afrika ya kusini mwaka ujao. Misri inahitaji japo ushindi wa magoli mawili ili kulazimisha mchezo wa kukata shauri katika uwanja wa nchi nyingine ambapo Algeria, ambayo imeshindwa kufaulu kwenda kombe la dunia tangu 1986, itapambana ili kutunza nafasi yake ya sasa ya kuongoza katika <a href="http://www.fifa.com/worldcup/preliminaries/africa/standings/group=252301/index.html">kundi la wanaogombania nafasi ya kufaulu</a>. Wakati wa kuelekea pambano la Jumamosi, mashabiki washindani wamekuwa wakijiandaa nje ya mtandao wa intaneti, kadhalika katika malumbano makali ya mtandaoni, ambayo yamekua na kugeuka “vita-vya-mikwara-kwenye-mtandao” </p>
<p>Mwanablogu wa Algeria <em><a href="http://adelife.wordpress.com/2009/11/10/football-avant-la-bataille-du-caire%E2%80%A6-une-guerre-pas-tres-nette/">Adel</a> </em>[Fr] anatoa muhtasari wa mlolongo wa matukio ambayo yamesababisha mzozo. Anaandika:</p>
<blockquote><p>Ce n’est pas sur le carré vert que le match a commencé à se jouer mais sur la toile. En attendant l’entrée des 22 joueurs sur la pelouse du fameux Cairo Stadium, la rencontre a débuté de manière assez peu banale entre les «Facebookeurs» (membres du réseau Facebook) algériens et égyptiens. Tout a commencé par de simples discussions dans les forums avant que cela ne prenne de l’ampleur. Voulant montrer leur savoir-faire dans la retouche d’image, les Egyptiens ont été les premiers à ouvrir les hostilités en publiant des photos «anti-algérien».</p>
<p>Les Egyptiens voulaient expliquer à travers un tel acte que leurs joueurs sont «très forts» et qu’ils sont en mesure d’écraser l’équipe nationale algérienne. Cela donna le top à une guerre d’un genre particulier. La guerre des images et des parodies.</p></blockquote>
<div class="translation">Inaelekea kuwa mechi imeshaanza mtandaoni, mbali na uwanja wa mpira. Kabla ya wachezaji 22 kuingia uwanja maarufu wa Cairo, pambano kali limeanza katik ya watumiaji wa Facebook wa Kialgeria na Kimisri. Yote yalianza na majadiliano ya kirafiki katika majukwaa ya mtandaoni, kabla ya mambo kuzidi kipimo. Wakitaka kuonyesha utaalamu wao wa kuhariri picha, Wamisri ndio walikuwa wa kwanza kuanzisha uhasama kwa kuchapisha picha “zinazoipinga Algeria”.</p>
<p>Wamisri walitaka kuonyesha kuwa wachezaji wao ndio “wenye nguvu” na kwamba wana uwezo wa kuiponda timu ya taifa ya Algeria. Hii ilitoa ishara ya kuanza vita ya namna ya pekee. Vita ya picha na utani. </p></div>
<p>Video, zilizoiga picha zilichokuliwa kutoka kwenye filamu maarufu za Hollywood, zilifurika kwenye YouTube, na kuweka ugomvi huu katika ngazi ya…..</p>
<p>Katika video inayofuata [Ar], iliyowekwa na <em><a href="http://www.youtube.com/user/hakemvoip">hakemvoip</a></em> [Fr], Mel Gibson ni <em>Rabah Wallace</em> (Katika filamu ya Braveheart), jemedari wa vita wa Kialgeria ambaye anajaribu kuhamasisha wapiganaji kabla ya vita inayotarajiwa:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/yCtAQ_9XMAE&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/yCtAQ_9XMAE&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Katika video hii, Mmisri <em><a href="http://www.youtube.com/user/ulyesis">ulyesis</a></em> anawakaribisha mashabiki wa Algeria katika kile anachokiita “jehanam” ndani ya jiji la Cairo:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/OZOgyioZxFs&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/OZOgyioZxFs&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mwanablogu <em><a href="http://www.gemyhood.com/2009/11/blog-post_11.html">GEMYOoOD</a> </em>[Ar] katuma picha ya maelfu ya mashabiki wa Misri waliopanga foleni katika sehemu tofauti za Cairo, wakitarajia kupata tiketi kwa ajili ya mechi. <a href="http://www.gemyhood.com/2009/11/blog-post_11.html">Anachapisha</a> picha za mikusanyiko hiyo ya watu:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/Egyptian-Fans-300x225.jpg" title="Egyptian Fans" class="aligncenter" width="300" height="225" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/Egyptian-Fans2-300x225.jpg" title="Egyptian Fans" class="aligncenter" width="300" height="225" /></p>
<p><em><a href="http://www.gemyhood.com/2009/11/blog-post_11.html">GEMYHOoOD</a></em> pia anatuma baadhi ya maoni ya watu wanaoshuhudia:</p>
<blockquote><p>انا خدت اجازة اليوم ونزلت من الصبح لنادي الصيد الساعة 8 الصبح وللاسف لقيت موت ناس وزحمة وطابور فيه حوالي 3000 واحد ودفع وشتيمة والناس كل شوية بتزيد ومش عارف اقف من الزق والعرق بجد مهزلة</p></blockquote>
<div class="translation">Nilichukua ruksa ya siku ili nije kwenye klabu saa 2 asubuhi [kununua tiketi]. Kwa masikitiko nilikuta kundi kubwa la watu na foleni kubwa ya kadri ya watu 3000, huku watu wakisukumana na kutukanana. Sikuweza kusogea. Nilikwama. Nikafikiri, hiini aibu.</div>
<p>Basi rasmi la timu ya mpira wa miguu ya Algeria, ambalo liliwasili mjini Cairo tarehe 12 Novemba, inadaiwa kuwa lilishambuliwa na mashabiki, kama video inayofuata, iliyotumwa katika YouTube na <em><a href="http://www.youtube.com/user/wmcvideotv">Vidéos Mouloudia Club d&#39;Oran</a></em>, inavoelekea kuonyesha:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/XNbZqBTvWBw&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en_US&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/XNbZqBTvWBw&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en_US&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Baraza linalodhibiti mpira wa miguu duniani <a href="http://www.fifa.com/">FIFA</a>, lilihisi umuhimu wa kutoa onyo kwa vyama vya mpira wa miguu vya Algeria na Misri, likiwakumbusha wote kuwa “mashindano ya awali kwa ajili ya kombe la Dunia 2010 yamalizike kama yalivyoanza, katika moyo wa mchezo wenye haki ulio na ushirikiano unaohitajika kutoka kwa washiriki wote.”<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/One-People.jpg" title="One People, One Language One Goal" class="alignright" width="200" height="500" /><br />
Tovuti, <a href="http://www.algerieegypte.com/">Algerie Egypte Match</a> [Ar, Fr], inayoandika kuhusu tukio hili na kufuatilia kila namna ya habari inayohusiana na mechi, iliundwa na washabiki wa Algeria.</p>
<p>Katika hali hii ya ushindani mkali, baadhi ya watu wameunda <a href="http://www.facebook.com/group.php?v=wall&#038;gid=167702883826">kundi</a> kwenye tovuti ya mtandao wa kijamii Facebook, wakiomba hisia mbaya zaidi. <em>Laama Bouchema</em> katuma ujumbe katika ukuta wa kundi hilo unaosema:</p>
<blockquote><p>Pamoja na kukasirika kwangu kutokana na kilichoitokea timu ya Algeria, siihukumu nchi yote kwa kile alichofanya mpumbavu mmoja! Wanachokifanya mashabiki wenye hasira ni upumbavu! kwa ajili ya mungu si jambo kubwa ni nani atakeyeingia katika [kombe la dunia].</p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa Kimisri <em><a href="http://www.lastoadri.com/2009/10/blog-post.html">Lasto Adri</a></em> [Ar] anaeleza kuchukizwa kwake na jinsi kile kilichopaswa kuwa tukio la michezo, kimeshushwa hadhi na kuwa pambano chafu. Anaandika:</p>
<blockquote><p>
مندهشة من التعصب وتدنى مستوى لغة الحوار بين مشجعى منتجب مصر ومنتخب الجزائر والظاهر بوضوح فى التعليقات على المواقع الإخبارية أو الرياضية… ومندهشة أكثر بتغذية هذه المأساه إعلاميا بتعليقات من بعض المذيعين (من كلا الجانبين)…<br />
المشجعون الجزائريون أخطؤوا فى المبارة السابقة.. لكن هل الرد يكون هكذا؟.. هل الرد يكون بطلب البعض تسميم اللعيبة ولا إقلاقهم فى منامهم ولا توليع الإستاد وقت الماتش من التشجيع؟..<br />
ونرفزتنى التعليقات على أغلب المواقع.. وإفتكرت لما الجزائر -بزعامة الرئيس الجزائري هواري بومدين- كانت أكتر دولة ساندت مصر فى حرب 1973، رغم فقرها الشديد..<br />
حزينة ان انتهاء علاقة مابين شعبين تكون بشقاق على كورة…</p></blockquote>
<div class="translation">Ninashangazwa na kiwango cha kutovumiliana na lugha chafu inayotumiwa na mashabiki wa timu za Algeria na Misri, ambayo inajitokeza katika maoni mengi kwenye tovuti za habari na michezo… pia ninashangazwa na jinsi ambayo baadhi ya watangazaji na wanahabari (kutoka pande zote), wanavyochochea dhahama hii kupitia maoni yao makali…<br />
Mashabiki wa Algeria hawakujiheshimu katika mchezo uliopita… lakini je jibu la Wamisri ni sahihi?..<br />
Je jibu linapaswa kuwa (kama baadhi walivyosema) kuwapa sumu wachezaji wa Algeria? Kuwaghasi na kuwanyima usingizi? Kuuchoma moto uwanja siku ya pambano?<br />
Nimeudhika na maoni yaliyo kwenye tovuti nyingi… Ninakumbuka wakati Algeria – ikiongozwa na Rais Houari Boumedienne – bila kujali umaskini wao uliokithiri, alikuja kuiunga mkono misri wakati wa vita ya mwaka 1973…</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/algeria-misri-ugomvi-juu-ya-pambano-la-mpira-kwenye-mtandao/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Vijana wa Kiyahudi na Kipalestina Watumia Video Kuuelewa Mgogoro</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 08 Nov 2009 11:55:38 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Children]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Education]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Film]]></category>
		<category><![CDATA[Hebrew]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Israel]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Religion]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=591</guid>
		<description><![CDATA[Mashirika mawili tofauti nchini Israel na katika Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia vijana wa Kiarabu na Kiyahudi kuuelewa mgogoro na kujenga daraja kati yao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juliana-rincon-parra/">Juliana Rincón Parra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/06/israeli-and-palestinian-youth-use-video-to-understand-the-conflict/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mashirika mawili tofauti katika Israel na Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia wote, vijana wa Kiyahudi na Wakiarabu kuuelewa mgogoro na kutengeneza daraja kati yao, kwa kutengeneza nafasi ya kukutana na kuwasiliana ambamo wanaweza wakaeleza ndoto zao, yanayowagusa na mawazo yao kuhusu hali tata wanayoishi.</p>
<p>Moja ya miradi hiyo ni <a href="http://en.reutsadaka.org/">Sadaka Reut</a>, na <a href="http://en.reutsadaka.org/?page_id=54">haya ndiyo wanayoyasema kuhusu programu yao</a>:</p>
<blockquote><p>Huku vijana wengi wa Kipalestina na Kiyahudi wakiwa wametengwa kimwili mmoja kutoka mwingine (kwenye jamii na shule tofauti) na hofu, ubaguzi wa rangi na mawazo potofu matokeo yake, tunatarajia kujenga namna mbadala za maingiliano kati ya makundi haya mawili. Programu ya ‘kujenga Utamaduni wa Amani’ inakusudia kutengeneza sehemu ambamo vijana wa Kipalestina na Kiyahudi wanaweza kujisikia wako sawa, wanaheshimika na kutambulika kama watu na pia kama ushirika wa kitaifa.</p></blockquote>
<p>Wanachama wa programu hiyo pia wamekuwa wakishiriki katika mradi wa video ya Dakika Moja, ambao kwao wanajifunza kuhusu uanaharakati wa video wakati wa warsha ya wiki moja. Haya ni baadhi ya matokeo, na unaweza kuangalia yaliyobakia kwa kubonyeza ili kufikia <a href="http://en.reutsadaka.org/?p=846">tovuti yao</a>:</p>
<p><a href="ttp://www.youtube.com/watch?v=XkxUC30UNug">Arab</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=US6QtYDVzB8">AM/FM</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=gT9KX9fKgT0">Few love Singing</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mradi mwingine ni <a href="http://www.win-peace.org/home.html">Dirisha la Amani</a>, ambao ulianza tangu mwaka 1991 kama jitihada za kutengeneza jarida la lugha na tamaduni mbili kwa ajili ya vijana kama njia ya kuwawezesha kuungana na kujifunza juu ya mgogoro, kutangaza usawa na kuwawezesha vijana. Hata hivyo, haijakuwa rahisi, <a href="http://www.win-peace.org/about.html">kama wanavyoeleza katika tovuti yao</a>:</p>
<blockquote><p>&#8220;Si kazi rahisi kwa vijana wa Kipalestina na Kiyahudi kushinda idadi kubwa ya taarifa zisizo sahihi na imani potofu ambazo zinafundishwa mmoja kuhusu mwingine. Uwepo mdogo wa makutano, matokeo ya kuishi katika jamii zilizotengana na kuchochewa na mgogoro wenye machafuko mabaya ya kisiasa, vinaendeleza hofu za kihistoria, imani potofu, na chuki ambayo inawagawa jamii hizi mbili. Kwa hiyo, Dirisha (la Amani) linatilia makini kurutubisha mabadiliko makubwa katika namna ambayo vijana wa kiyahudi na Kipalestina wanavyojiona wenyewe, “wengine” pamoja na mgogoro. Washiriki wa programu za Dirisha wanapitia uzoefu ambao unatetea mabadiliko katika mgogoro kati ya jamii hizo mbili, kuelekea kwenye ukweli wa amani ambamo kila upande wanaweza kuishi. Tunaamini kuwa amani ya haki nay a kudumu ni lazima view na msingi katika maadili ya kidemokrasia, haki za binadamu, na ufahamu na kukubalika kwa “mwingine.”</p></blockquote>
<p>Pia wanafanya kazi kwa ajili ya mradi mpya unaoitwa <a href="http://www.win-peace.org/youth%20media%20program.html">Kwa njia ya Lensi</a>, ambao vijana wa umri kati ya miaka 15 mpaka 17 “waliofuzu” kutoka kwenye gazeti wanaendeleza ufundi ili kutengeneza filamu fupi fupi, habari na video nyingine nyingine ili kuendeleza “mazungumzo ya kujenga amani na maingiliano chanya yenye ufanisi.”</p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=zsxLrfzyAIo">Hii ni video </a>ambayo washiriki wa mradi wa Dirisha wanaongelea uzoefu wao ndani ya kikundi na jinsi walivyokabiliana na changamoto zinazojitokeza ili kujiweka nje ya uwanja waliouzoea na kuongelea mada ngumu kama vile mgogoro kati ya Israel na Palestina:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kama watotokatika video wanavyosema kwa kutumia maneno mengi: wanaweza kuwa na wakati mgumu kukabiliana na mengi ya  maoni nba mitazamo ambayo watoto wengine wanaitoa, lakini kuwa na sehemu ya kujadili masuala katika njia salama kunawasaidia kuelewa ulimwengu wanamoishi huku wakiwa na uwezekano wa kukutana, kujifunza na kushiriki na watoto wenzao pamoja na vijana na hata kubadili hiyo mitazamo.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Uchaguzi Tunisia: haki Bila Ya Upendeleo!!?</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/uchaguzi-tunisia-haki-bila-ya-upendeleo/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/uchaguzi-tunisia-haki-bila-ya-upendeleo/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 27 Oct 2009 12:04:47 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Elections]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Tunisia]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=480</guid>
		<description><![CDATA[Rais wa Tunisia Zine Al Abidine Ben Ali ameshinda uchaguzi kwa kipindi cha tano kwa asilimia 89.62 ya kura zote. Chama chake cha Democratic Constitutional Rally kilishinda viti vya bunge 161 katika viti 214. Wanablogu wa Tunisia wanatoa maoni katika makala hii.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/lina-ben-mhenni/">Lina Ben Mhenni</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/26/tunisia-elections-fairness-and-impartiality/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Kama ilivyotabiriwa, rais Zine Al Abidine Ben Ali ameshinda uchaguzi kwa mara ya tano. Ambalo halikutarajiwa ni kuwa angeshinda kwa asilimia 89.62 ya kura zote. Utabiri ulikuwa kwamba angepata kura zaidi.</p>
<p>Chama kinachotawala cha Ben Ali, Democratic Constitutional Rally nacho pia kilifanya vizuri. Kilishinda viti vya bunge 161 katika viti 214. Viti 53 vilivyobaki vilinyakuliwa na vyama sita tofauti: Movement for Democratic Socialists, viti 16; Party of People&#39;s Unity, kinachoongozwa na Mohamed Bouchiha, viti 12; chama cha Union of Democratic Unionists  cha Ahmed Inoubli, viti 9; Social Liberal Party, viti 8; Party of Greens for Progress, viti 6 na chama cha  Ettajdid  cha and Ahmed Brahim, viti 2.</p>
<p>Chama tawala kilitangaza haki na usawa katika uchaguzi wa 2009. Lakini viongozi wa upinzani na wanablogu wana maoni mengine: wanafikiri kuwa vitendo vya ukandamizaji na udhibiti mkali kwenye taratibu za uchaguzi vilitawala uchaguzi wa rais na wabunge nchini Tunisia mnamo tarehe 25, Oktoba 2009.</p>
<p><em><a href="http://arabasta1.blogspot.com/2009/10/blog-post_26.html">Arabasta</a></em> anasema kwa kejeli:</p>
<blockquote><p>مبروك عليكم ما عملتو<br />
نتوجه بالشكر أولا إلى الشعب التونسي اللي قام بواجبو الإنتخابي في كنف الديموقراطية و الشفافية و الروح الرياضية البارح و إنتخب رئيس جديد للبلاد و مجلس نواب أخر لمدة خمسة سنين. الإختيار هذا كان محكم و مدروس و حتى واحد ما حاول يأثر على العباد و حتى من التلفزة و الصحافة كانو في المستوى و عطاو وقت متساوي لكل المترشحين و الأنصار متاعهم بقطع النظر عن<br />
قربهم أو بعدهم عن السلطة<br />
نتوجه بالشكر زادة لسيادة رئيس الجمهورية (لمدة 5 سنوات أخرى) و نعتذر عن عدم الدعوة و التصويت ليه و نستنكر و نشجب<br />
التصرفات المشينة هذي أما نذكر أنو عمري ما شككت في نزاهة الإنتخابات و حريتها، فمن المعروف أنو في حالة تزوير الإنتخابات النتائج تكون من نوع 99،98% لكن الملاحظ النزيه يعرف أنو نتيجة 2009 ما تبعدش برشة على النسبة اللي ربح بيها شيراك في 2002 في فرنسا و لذا فالإنتخابات هذي إرتقت بينا إلى مصاف الدول العظمى و المتقدمة </p></blockquote>
<div class="translation">Hongera kwa ulichofanya!<br />
Shukrani nyingi ziwafikie kwanza raia wa Tunisia ambao walitimiza wajibu wao jana katika uchaguzi ndani ya muundo wa demokrasia na usawa. Walimchagua rais mpya wa nchi na bunge jipya kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Chaguo lilikuwa la busara na lililotafakariwa vyema. Hakuna aliyejaribu kuwashawishi watu na hata idhaa za televisheni na vyombo vya habari vya maandishi havikufungamana na upande wowote na vilihakikisha kuwa wagombea na wafuasi wao wanapata nafasi sawa bila kujali uhusiano wao na serikali.<br />
Shukrani zangu pia zimfikie rais (kwa miaka mingine mitano) na naomba radhi kwa kutomuunga mkono na kutokumpigia kura. Ninailaani tabia hii ya aibu japokuwa ninakumbuka ukweli kuwa sijawahi kutilia shaka kutofungamana kwenu na upande wowote wakati wa uchaguzi. Kama inavyoeleweka kuwa kama pangetokea udanganyifu basi matokeo yangekuwa asilimia 98.99. Lakini msimamizi asiyefungamana na upande wowote anafahamu kwamba matokeo ya 2009 hayana tofauti sana na yale ya 2002 nchini Ufaransa wakati Chirac aliposhinda uchaguzi. Na hiyo ndio sababu inayotufanya tuweze kusema kuwa uchaguzi huu umetupandisha na kufikia daraja la nchi zilizoendelea na mataifa makubwa.</div>
<p><em><a href="http://nakhlat.blogspot.com/2009/10/blog-post_26.html">Nakhlet Wed El Bey</a> </em>(Mtende wa mto Bey) anaandika katika lugha ya Kitunisia:</p>
<blockquote><p>
أنا لا أشكك في نزاهة التمثيلية الإنتخابية<br />
…<br />
آش كان عليه لو كان حلّينا اللعب شويّة<br />
و نزعنا الأكمام من أفوه المعارضة الحقيقية<br />
لإنتصر الرئيس بسبعة و سبعين في المية<br />
و انتزعنا من قلوب الرعايا النفاق و السكيزوفرينية </p></blockquote>
<div class="translation">Sihoji haki na kutopendelea kwenye maigizo ya uchaguzi wa Tunisia.<br />
Je ingekuwaje kama tungelikuwa na <em>uwezo</em> zaidi<br />
Na kuondoa viziba midomo kutoka kwenye mdomo wa upinzani wa kweli<br />
Hapo rais angelishinda kwa asilimia 77.7<br />
Na tungeondoa unafiki na wehu kutoka kwenye mioyo ya watu</div>
<p>Mwanablogu <em><a href="http://a-free-tn.blogspot.com/2009/10/blog-post.html">Some Thoughts from Tunisia</a>,</em> kwa upande wake, alielezea kilichomtokea wakati alipokwenda kupiga kura katika masaa ya mwisho wa siku hiyo:</p>
<blockquote><p>
كيما قلت سبقني مرافقي للقاعة متاع الانتخاب وكيف دخلت انا نلقا الدنيا داخلة بعضها والجماعة يتغامزو عليه ويتلفوا في الجرّة (ما فاقوش اللي احنا مع بعضنا). اكهو فهمت آش صار: ضهر السيّد مازال في دارو وهوما ريڨلولو اموروا وانتخبوا في بلاصتوا وصححوا في الدفتر في بلاصتوا… آيا قالولو ما صار شيء برّا للخلوة اختار وموش لازم تصحح (الورقة كلها مصححة وماعادش فمة بلايص)… هاذا كلّو صاير وانا واقف نتفرّج!! السيّد مشى للخلوة وانا نسمع فيهم يْوَشْوْشُو ويحكيو بالسرقة بالحرف الواحد:<br />
“هذا العمدة انتخب في بلاصتوا…!!!!”</p></blockquote>
<div class="translation">Kama nilivyosema, mwenzangu alikwenda kwenye kituo cha kupigia kura kabla yangu. Wakati nilipoingia chumbani, niliwaona wale waliokuwepo wamechanganyikiwa na wangine walikuwa wakipepeseana macho wakijidai kana kwamba hakuna lolote lililotokea (hawakugundua kwamba tulikuwa pamoja). Haraka nikaelewa kila kitu: wakati bado yule bwana akiwa nyumbani kwake, walikwishapiga kura na kusaini badala yake.<br />
Halafu wakamwambia: “hakuna kilichotokea Unaweza kuchagua wagombea wako na hauhitajiki kusaini. (Karatasi lote lilikuwa limesainiwa na hapakuwa na nafasi kwa saini nyingine).<br />
Haya yote yalitokea wakati nikiwa nimesimama pale. Mwenzangu alikwenda kupiga kura na nikawasikia wananong’ona:<br />
“Omda” (chifu wa jamii) alipiga kura badala yake.</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/uchaguzi-tunisia-haki-bila-ya-upendeleo/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Syria: Mwanaharakati wa Haki Za Binaadamu Mwenye Umri wa Miaka 80 Akamatwa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/syria-mwanaharakati-wa-haki-za-binaadamu-mwenye-umri-wa-miaka-80-akamatwa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/syria-mwanaharakati-wa-haki-za-binaadamu-mwenye-umri-wa-miaka-80-akamatwa/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 25 Oct 2009 05:03:11 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Syria]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=453</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naAnas Qtiesh  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Omar Mushawah ameripoti [ar] kukamatwa kwa Haytham al-Maleh, mwanasheria wa Ki-Syria na mtetezi wa haki za binaadamu ambaye pia alitumia muda wa miaka 6 jela kati ya 1980 na 1986 kwa kudai mabadiliko ya kikatiba. Al-Maleh pia ni mwanzilishi [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/anas-qtiesh/">Anas Qtiesh</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/24/syria-80-year-old-human-rights-activist-arrested/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><em>Omar Mushawah</em> <a href="http://www.almarfaa.net/?p=662">ameripoti</a> [ar] kukamatwa kwa Haytham al-Maleh, mwanasheria wa Ki-Syria na mtetezi wa haki za binaadamu ambaye pia alitumia muda wa miaka 6 jela kati ya 1980 na 1986 kwa kudai mabadiliko ya kikatiba. Al-Maleh pia ni mwanzilishi mwenza wa Jumuiya ya  Haki za Binaadamu ya Syria.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/syria-mwanaharakati-wa-haki-za-binaadamu-mwenye-umri-wa-miaka-80-akamatwa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Tajiri Wa Kimisri Ahukumiwa Kifo</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/05/tajiri-wa-kimisri-ahukumiwa-kifo/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/05/tajiri-wa-kimisri-ahukumiwa-kifo/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 27 May 2009 13:56:23 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Economics]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Lebanon]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=164</guid>
		<description><![CDATA[Wamisri walishuhudia hukumu isiyotarajiwa katika historia ya vyombo vya sheria nchini humo: Bilionea Hesham Talaat Moustafa, pamoja na mamluki wake (mpiga risasi wa kukodi) Mohsen El Sokari wamehukumiwa adhabu ya kifo kutokana na kuhusika kwao katika mauaji ya mwimbaji wa Kilebanoni Suzanne Tameem. Mauaji hayo ya kinyama yalitokea huko Dubai, UAE, na hukumu iliyotolewa Alhamisi imesababisha mshtuko na mshangao wakati wanablogu walipojaribu kukubaliana na yaliyotukia.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/nermeen-edress/">Nermeen Edrees</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/05/23/egyptian-tycoon-sentenced-to-death/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wamisri walishuhudia hukumu isiyotarajiwa katika historia ya vyombo vya sheria nchini humo: Bilionea <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Hisham_Talaat_Moustafa">Hesham Talaat Moustafa</a>, pamoja na mamluki wake (mpiga risasi wa kukodi) Mohsen El Sokari <a href="http://www.time.com/time/world/article/0,8599,1900311,00.html">wamehukumiwa</a> adhabu ya kifo kutokana na kuhusika kwao katika mauaji ya mwimbaji wa Kilebanoni <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Suzanne_Tamim">Suzanne Tameem</a>. Mauaji hayo ya kinyama yalitokea huko Dubai, UAE, na hukumu iliyotolewa Alhamisi imesababisha mshtuko na mshangao wakati wanablogu walipojaribu kukubaliana na yaliyotukia.</p>
<p>Mwanablogu anayeandika sana wa Kimisri, <em><a href="http://egyptianchronicles.blogspot.com/2009/05/after-verdict.html">Zeinobia</a> </em>alitangaza habari:</p>
<blockquote><p>Mnamo tarehe 21 Mei, Hakimu Muhammadi Qunsuwa alitangaza kuwa kesi hiyo itapelekwa kwa Mufti Mkuu Ali Gomaa, Kiongozi wa juu zaidi wa Kidini nchini humo, ambaye angetoa hukumu ya kifo kwa Moustafa siku ya tarehe 25 Juni.</p></blockquote>
<p>Kama ilivyomstaajabisha kila mmoja, hukumu hiyo pia ilimuacha mshtakiwa akiwa na mshangao. <a href="http://">Mwanahabari <em>Ahmed El Desouky</em></a> alikuwa ni mmojawapo wa watu wa kwanza kuandika maoni ya watu mahakamani kwa ajili ya jamii ya Wamisri katika mtandao wa intaneti, alisema:</p>
<blockquote><p>Kulikuwa na ulalamishi mahakamani baada ya sentesi kusomwa na wale waliohusika walionyesha hasira kali na mshangao wakieleza kuwa hukumu ile ilikuwa ni kali kupita kiasi. Maoni yalitofautiana nje ya jumba la mahakama, ambapo watu wengi waliiona ile adhabu ni stahiki kwa mtu ambaye aliyatumia mamlaka, ushawishi na pesa zake  vibaya, akifikiri kwamba alikuwa yuko juu ya sheria.</p></blockquote>
<p>Maoni yalikuwa yakipishana, kati ya kukubali na kuiunga mkono ile hukumu na huruma pamoja na huzuni. Katika makala yake, <a href="http://catofdesert.blogspot.com/2009/05/blog-post_21.html"><em>Desert Cat</em></a> alishangazwa na ukweli kwamba Moustafa na El Sokary walipewa hukumu inayofanana:</p>
<blockquote><p>Kwa masikitiko hukumu imetolewa leo kinyume na vile kila mmoja alivyokuwa akitarajia na kesi hiyo hivi sasa inapelekwa kwa Mufti Mkuu. Baada ya kusomwa kwa hukumu, mushkeli ulizuka mahakamani, huku wanafamilia wa Mohsen na Hesham wakipiga mayowe kadhalika wafanyakazi wa kundi la Talaat Moustafa, ambao hawakuamini kile walichokisikia. Wakati huo huo Hesham na Mohsen walikuwa kimya kabisa. Binafsi, sikuamini kwa sababu kosa la Hisham lilikuwa ni kuchochea mauaji wakati Mohsen ndiye aliyeua. Iweje adhabu zao ziwe sawasawa?</p></blockquote>
<p><em>Ahmed Shokeir</em> alijibu swali hilo katika sehemu ya maoni ya ujumbe ule kwa kusema:</p>
<blockquote><p>Katika sheria nyingi, adhabu ya wale waliotoa wazo la jinai ni sawasawa na ile ya watekelezaji. Katika baadhi ya sheria, adhabu huwa kali zaidi kwa mchochezi kuliko kwa mtekelezaji.</p></blockquote>
<p>Wanaomuunga mkono mfanyabiashara huyu tajiri wa majengo nchini Misri kwenye huduma ya <em>Facebook</em>, waliijibu hukumu ile kwa kuanzisha kundi la <a href="http://www.facebook.com/pages/Free-Hisham-Talaat-Mostafa/36546446359#/album.php?aid=58513&#038;id=36546446359&#038;comments"><em>“Muachieni Heshaam Talaat Moustafa</em></a>.”</p>
<p><em>Ashraf Elmanwaty</em> alisema:</p>
<p>Bado nina matumaini kuwa HTM ataachiwa huru… Hii ni hukumu iliyovuka mipaka</p>
<p>Wakati <em>Miral El Ramlawy</em> aliandika:</p>
<blockquote><p>Asilimia 90 ya Wamisri hawaamini kuwa alifanya na mahakama inapaswa kuwaeleza Wamisri msingi wa hukumu hii!!! Simu ambazo hazionyeshi ujumbe ulio wazi siyo USHAHIDI… tunasubiri ufafanuzi!</p></blockquote>
<p>Baada ya mshtuko, uchambuzi ulianza kuchukua nafasi. <a href="http://egyptianchronicles.blogspot.com/2009/05/after-verdict.html"><em>Zeinobia</em> </a>alifafanua:</p>
<blockquote><p>Ikiwa Hakimu anasema kuwa mafaili ya mkosefu yatapelekwa kwa Mufti Mkuu kwa ajili ya ushauri inamaanisha katika mazingira mengi kwamba mkosefu atakutana na adhabu ya kifo. Adhabu ya kifo inahitaji maoni ya Mufti Mkuu ili kuiunga mkono kutokana na mtazamo wa kidini, mtazamo wa Sharia ili kuitimiza hukumu. Siyo kila siku watu hutoa adhabu ya kifo kwa yeyote.<br />
	Katika kesi nyingi, kama siyo zote Mufti Mkuu hukubali na kuunga mkono hukumu ya hakimu.</p></blockquote>
<p>Na anaendelea:</p>
<blockquote><p>	Pili katika kesi ya Hisham na Sokary, hakimu atatangaza hukumu ya mwisho tarehe 25 Juni 2009, karibu mwezi mmoja na siku 5, naamini ni muda mrefu kusubiri adhabu ya kifo.<br />
	Tatu, wakati ambapo hakimu atatangaza hukumu ya mwisho, mawakili wa mtuhumiwa watakuwa na haki ya kukata rufaa.</p></blockquote>
<p>Kwa hiyo panaweza kuwa na duru la pili, jambo ambalo tutalifahamu siku ya tarehe 25 Juni.</p>
<p>Wakati huo huo, kuna maswali na mashaka juu ya biashara ya majengo ya Hisham. Blogu ya <a href="http://mideasti.blogspot.com/2009/05/talaat-mustafa-group-investors-neednt.html"><em>Middle East Intitute</em> inaripot</a>i:</p>
<blockquote><p>Kundi la Talaat Mustafa (TMG), ubia mkubwa wa biashara ya majengo ambao Mustafa alitengeneza mabilioni, hautaki wadau wahofu kwa sababu tu mwenye kampuni amehukumiwa adhabu ya kifo. <a href="http://www.thedailynewsegypt.com/article.aspx?ArticleID=21880">Kundi la TMG limewahakikishia wawekezaj</a>i:<br />
Sawaftah alisema kwamba muundo wa kiufanisi wa TMG utakinga athari zitakazotokana na ‘kutokuwepo kwa mtu mmoja’. </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/05/tajiri-wa-kimisri-ahukumiwa-kifo/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Bahrain: Mabloga Waungana Kupinga Uamuzi wa Kufungwa Kwa Tovuti</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/bahrain-mabloga-waungana-kupinga-uamuzi-wa-kufungwa-kwa-tovuti/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/bahrain-mabloga-waungana-kupinga-uamuzi-wa-kufungwa-kwa-tovuti/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 02 Feb 2009 13:01:33 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Bahrain]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=54</guid>
		<description><![CDATA[Wanablogu wa Bahrain wameujia juu uamuzi wa Waziri wa Habari wa nchi hiyo wa kuzuia upatikanaji wa tovuti mbalimbali, kadhalika kuzuia matumizi ya tovuti vivuli [proxy sites] zinazoruhusu watumiaji kuperuzi tovuti nyingine zilizozuiwa na zana za kuchuja habari. Ayesha Saldanha anaangalia maoni kutoka Bahrain.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ayesha-saldanha/">Ayesha Saldanha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/01/28/bahrain-bloggers-unite-against-decision-to-block-websites/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wanablogu wa Bahrain wanaujia juu uamuzi wa Waziri wa habari wa nchi hiyo wa <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/01/21/bahrain-scores-of-websites-blocked/">kuzuia</a> upatikanaji wa <a href="http://alsingace.blogspot.com/2009/01/bahrainminister-calls-for-ban-on.html">tovuti mbalimbali</a>, kadhalika kuzuia matumizi ya tovuti vivuli [proxy sites] zinazoruhusu watumiaji kuperuzi tovuti nyingine zilizozuiwa na zana za kuchuja habari. Ayesha Saldanha anaangalia maoni kutoka Bahrain.</p>
<p>Bloga <em>Ammaro</em> anaandika kwa <a href="http://www.ammaro.com/2009/01/cant-hold-us-down.html">jeuri</a>:</p>
<blockquote><p>WAZIRI; HUU NI UJUMBE MAALUM KWAKO. UNAWEZA KUFUNGA MLANGO, UNAWEZA KUFUNGA MILANGO MIWILI, LAKINI HAUTAWEZA KUUCHUJA MTANDAO WA INTANETI, UPENDE USIPENDE. KUNA NJIA MILIONI MOJA NA MOJA ZA KUVIZUNGUKA VIZINGITI VYAKO, NA HAUTAWEZA KUKABILIANA NAVYO VYOTE.</p></blockquote>
<p>Bloga <em>Rayyash</em> <a href="http://rayyash.com/?p=537">anasema</a>:</p>
<blockquote><p>Nilistuka wakati nilipoisoma amri iliyotolewa na Waziri wa Habari wa kuzuia tovuti kwenye matandao wa intaneti. Sababu iliyonifanya nishangae haikuwa ile inayohusiana na uamuzi wa kuzuia tovuti za ngono, ambao nakubaliana nao na kuwataka wazifunge, lakini ni kwa ile sehemu inayosema kuwa tovuti yoyote ile inaweza kuzuiliwa. Sababu ni kwamba siamini kuwa serikali za Kiarabu zina nia njema.</p></blockquote>
<p><em>Hussein Marhoon </em>ana <a href="http://marhoon.wordpress.com/2009/01/26/???-?????/">mtazamo</a> tofauti kidogo:</p>
<blockquote><p>Kimsimamo, ninapinga kufungwa kwa tovuti zikijumuishwa zile za ngono hata kama sifahamu thamani ya &#8220;kupinga&#8221;. Ninajua kwamba kuna wimbi la kidini linaloanza kuathiri kila sehemu ya maisha yetu.</p></blockquote>
<p><em>Jenan</em> <a href="http://malth.jeeran.com/archive/2009/1/788427.html">anauliza</a>:</p>
<blockquote><p>Kwa nini hatufaidi uhuru wa kujieleza na tuko wapi kwenye suala la kuruhusu uhuru wa kujieleza?</p></blockquote>
<p><em>Mohammed Marhoon</em> pia <a href="http://marhoons.com/blog/archives/50">anauliza</a>:</p>
<blockquote><p>Je hatumo kwenye zama za mageuzi na uwazi? Hakuna kisingizio cha kumuweka mlinzi kwa mtumaji na mpokeaji! </p></blockquote>
<p>Bloga <em>The Redbelt</em> <a href="http://theredbelt.com/2009/01/liberating-speech.html">anasema</a>:</p>
<blockquote><p>Ngoja nijaribu kukuchorea picha:<br />
Ni katika miaka ya 1980. Hakuna intaneti wala setilaiti za idhaa za televisheni. Mawasiliani pekee tuliyonayo na dunia ni kwa kupitia mikanda ya video, kanda, vitabu na majarida. Katika wakati huu, kufungiwa kwa kitu kuliweza kufanya kazi. Kama serikali ikisema kutokana na sababu moja au nyingine kwamba filamu kwa mfano, haikubaliki na haitakiwi, wengi wa watu, kama sio wote, wasingeweza kuiona. Kanda zingeweza kufikiwa na kupokonywa kwa urahisi. Halafu nini? Kufungia vyombo vya habari katika zama zile kuliweza kufanya kazi. Lakini hiyo ilikuwa zamani sana, ZAMANI sana. Hebu muangalie kaka yangu, alikuwa ni ndoto tu mwaka &#8216;86 na akazaliwa mwaka &#8216;87. Hivi sasa ni mrefu wa sentimita 186, ana ndevu za beberu, ana leseni ya gari na shahada ya chuo. Vyombo vya habari vimekua vivyo hivyo.</p></blockquote>
<p><em>Eyad</em> <a href="http://eyadone.blogspot.com/2009/01/interet-cesorship-until-when.html">anajiuliza</a> kuhusu mantiki ya biashara:</p>
<blockquote><p>Tusiangalie intaneti kama tu njia kuu ya mawasiliano bali pia kama bidhaa, watu majumbani wanalipia kiwango kizuri cha pesa kila mwezi ili kuweza kutumia intaneti, na wanaridhia kufanya hivyo, kwa kuzingatia ukweli kwamba [makampuni ya mawasiliano] yanawekeza vikubwa kwenye mitandao na teknolojia ili kuweza kufikisha huduma zao majumbani na kwenye biashara mbalimbali nchini, je itakuwaje, katika mazingira haya,  kama watu wataacha kulipia huduma za intaneti au wakichukua hatua nyingine kama vile kuchangia malipo, watoa huduma za kuunganisha intaneti watawezaje kutetea uwekezaji na juhudi zao za kuboresha huduma wakati serikali haisaidii lolote. </p></blockquote>
<p><em>Funaki</em> <a href="http://mylifemyview.wordpress.com/2009/01/25/wtf-are-you-kidding-me/">anasema</a>:</p>
<blockquote><p>Tumebarikiwa na akili za kuweza kufanya maamuzi na kutofautisha kati ya mema na mabaya. Sihitaji mtu wa nje aje kuniambia ni lipi jema na lipi baya.</p></blockquote>
<p><em>Yagoob </em>anasisitiza jambo hilo hilo - na ana ombi kwa <a href="http://elzeeyed.com/ydome/?p=359">Waziri</a>:</p>
<blockquote><p>Watu lazima wawe huru kufanya watakalo mtandaoni, ikiwa ni jambo salama au ikiwa ni dhambi hiyo si biashara ya serikali… Sisi siyo ng&#39;ombe ambao wanahitaji kuswagwa na kuonyeshwa njia ya &#8216;za haki&#39; au njia &#8216;za serikali&#39;. […] Mheshimiwa, kuzuia tovuti hizi kutaendelea kudhalilisha uhuru waliopewa watu wa Bahrain kupitia katiba, kadhalika kuwanyima watu wa Bahrain tovuti za maana bila sababu yoyote. Tafadhali fikiri tena na uondoe vizuizi vilivyowekwa kwenye tovuti hizo na uturuhusu sisi kama wananchi kuongeza maarifa, elimu na kuhamasishwa…</p></blockquote>
<p><em>Hussain Yousif </em><a href="http://hussainyousif.wordpress.com/2009/01/24/due-to-the-publication-of-prohibited-content/">anasema</a>:</p>
<blockquote><p>Ninapenda kuishukuru serikali kwa kutukumbusha kwamba Bahrain ni toleo jipya la nchi za dunia ya tatu ambako uhuru ni jambo linaloongelewa tu lakini halipo.</p></blockquote>
<p>Bloga <em>Silly Bahraini Girl</em> <a href="http://sillybahrainigirl.blogspot.com/2009/01/shituation-in-wonderland_24.html">anachachafya</a>:</p>
<blockquote><p>Hii siyo hatua nyingine ya kukinza uhuru wangu wa kujieleza kwani niko huru kusema na kuandika ninachotaka, hata yeyote hatanisikiliza. Kitu ambacho niko huru kufanya ni kuperuzi mtandao wa intaneti kama ninavyotaka, kwa kuwa mimi ni mtoto kwenye macho ya mamlaka - mtoto ambaye lazima aambiwe anachoruhusiwa na asichoruhusiwa kusoma. Na kwa kuwa hakuna anayenisikiliza, ningependa kuwashukuru watawala kwa kuzizuia tovuti zote hizo na ningependa kuwaomba waufunge mtandao mzima wa intaneti, kwani hatuna manufaa nao.</p></blockquote>
<p><em>Sous</em>, mwanamke wa Kiswidi anayeishi Bahrain, <a href="http://sasinsaudi.com/2009/01/25/what-the-hell/">ana hasira</a>:</p>
<blockquote><p>HUU NI WEHU! WEHU MKUBWA!! SIWEZI KUPUMUA! HUU NI WEHU!</p></blockquote>
<p><em>Suad </em><a href="http://suad.me/blog/2009/01/26/Ø§Ø³Ù?Ø­Ù?Ø§-Ù?Ù?/">anajiuliza</a>:</p>
<blockquote><p>Je maofisa hawafikirii madhara hasi yatakayotokana na uamuzi wao na umuhimu wanaozipa tovuti ambazo hazina thamani wala nafasi katika jamii. Je hawafikirii kwamba watu wengi zaidi watataka kuzifikia tovuti hizo hivi sasa kwani vyote ambavyo ni haramu hutamaniwa zaidi? Wananchi na taifa wamefaidika vipi na kufungwa kwa tovuti hizo isipokuwa kutia doa sifa ya Bahrain kwenye maendeleo ya mageuzi, kutokuwa kwake na uwazi, mabavu yake dhidi ya uhuru wa kujieleza na kurejea kwenye enzi za giza?</p></blockquote>
<p><em>Mohammed Zainal</em> yuko katika hali ya <a href="http://www.zainals.com/blog/2009/bahrain-internet-censorship/">kutoamini</a>:</p>
<blockquote><p>Inasikitisha, na haichekeshi, makala yangu iliyopita ilihusu jinsi gani teknolojia inavyoendelea na jinsi watu wanavyoitumia ili kuendeleza matumizi mapya kila siku, wanavyobadilisha namna za kupashana habari, wakiwahamasisha watu kwa kutumia zana za mtandao [web 2.0 ++]<br />
Je hii ndio &#8220;zama yetu ya kukutana&#8221; inavyopaswa kuwa?</p></blockquote>
<p><em>MuJtAbA AlMoAmEn</em> anafikiri kuwa kuzuiwa kwa tovuti siyo <a href="http://bolafee.jeeran.com/archive/2009/1/787484.html">suluhisho</a>:</p>
<blockquote><p>Ni kweli kuwa kuna majukwaa ya kikabila mtandaoni ambayo yanapaswa kufungwa lakini ni lazima nikubali kwamba majukwaa ya kwenye mtandao yaliyo kwenye upande mwingine wa kisiasa/kidini hayakufungwa na yanaendelea kufanya kazi usiku na mchana yakirusha matusi na kutishia machafuko. Sioni manufaa yoyote ya kitaktiki yatakayotokana na kufungwa, na wakati sikubaliani na cheche za kikabila, ninakubali kwamba kinachoendela ni matokeo ya watu wa kweli walio kwenye matatizo na waliotitia kwenye ukabila. Kinachoendelea katika majukwaa ya kwenye mtandao kinaonyesha, kwa kiwango kikubwa, maoni ya walio wengi katika jamii yetu. Na suluhisho la kisiasa halipo katika mikono ya Waziri wa habari au mwingine yeyote</p></blockquote>
<p><em>Hayat</em> anahoji jinsi ya uamuzi <a href="http://hayatblog.blogspot.com/2009/01/blog-post.html">ulivyofanywa</a>:</p>
<blockquote><p>Ninaamini kuwa kuzuiwa kwa tovuti ni uamuzi duni na unavunja haki ya uhuru wa kujieleza na kupata habari. Hakuna demokrasi bila ya uhuru wa kujieleza… na hakuna demokrasi ya kikatiba inayozuia tovuti… na si haki kufunga tovuti kupitia amri za kiholela za serikali ambazo hupitishwa na mamlaka ya serikali, mamlaka ya sheria na usalama wa taifa… si sahihi kwa mamlaka haya kuingiliana na kufanya kazi pamoja kama wanavyofanya… kuna utofautishaji upi kati ya matawi ya mamlaka haya?</p></blockquote>
<p><em>Khalid</em> <a href="http://www.khalidbahrain.com/blog/?p=544">anasema</a>:</p>
<blockquote><p>Ninaamini kwamba mamlaka ya sheria ndiyo mamlaka pekee yanayoweza kufanya uamuzi ama wa kufunga au kutofunga tovuti </p></blockquote>
<p><em>Qassim Ahmed </em>ana <a href="http://qasimey.at/">fikira</a>:</p>
<blockquote><p>… mamlaka ya bahrain yanataka kuzuia mtandao wa intaneti ili watu walilie kile walichozuiwa, ili kwamba wakiruhusu tena tovuti za ngono, unyama na za kuangalia filamu na tovuti vivuli pamoja na nyinginezo… watu watasema: &#8220;Uhuru umerejea tena!&#8221;</p></blockquote>
<p>Katika ujumbe mwingine, <em>Ammaro</em> ameng&#39;amua ni nini hasa <a href="http://www.ammaro.com/2009/01/real-reason-behind-website-ban.html">kinachoendelea</a>:</p>
<blockquote><p>Je unakumbuka [filamu ya] matrix? Unakumbuka jinsi katika dunia yote unamoishi, ambayo uliamini ni ya kweli, ilikuwa katika ukweli halisi, ni ya kutengenezwa? Ni mauzauza tu?  Hivyo ndivyo pengine mtandao wa intaneti ulivyo nchini Bahrain. Intaneti ilikuwa ni mauzauza yaliyotengenezwa na serikali ya Bahrain, ili kukufanya ufikirie kuwa ulikuwa unawasiliana na dunia iliyoko nje, wakati katika ukweli halisi ulikuwa umetengwa na kila kitu, na watu wengine wote. Kila tovuti uliyoitembelea ilitengenezwa na watu wa Wizara ya Habari; kila moja. Kuna jamaa anayeandika kwenye tovuti ya CNN, anayetunga habari za ulimwengu, na kuna jamaa mwingine anayeandika tovuti ya BBC. Ni dhahiri kuwa wanakaa pamoja wakati wanafanya hivyo; habari zinafanana sana katika tovuti hizi mbili… […] Tumekuwa tukiishi katika uongo. Tovuti za habari zinazofungwa si tovuti za kweli na &#8216;hazifungwi&#8221;. Ukweli ni kwamba haya ni madhara ya hali mbaya ya kiuchumi ulimwenguni, na wizara imelazimika kuwafukuza kazi idadi kubwa ya wafanyakazi kwa sababu ya upungufu wa fedha, haikuweza kuhudumia tovuti nyingi kama ilivyokuwa awali. Kwa hiyo, zimefungwa.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/bahrain-mabloga-waungana-kupinga-uamuzi-wa-kufungwa-kwa-tovuti/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Mashariki ya Kati: Vikwazo kama Silaha ya Kisiasa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/mashariki-ya-kati-vikwazo-kama-silaha-ya-kisiasa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/mashariki-ya-kati-vikwazo-kama-silaha-ya-kisiasa/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 02 Feb 2009 12:06:40 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Business]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Economics]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Israel]]></category>
		<category><![CDATA[Jordan]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Saudi Arabia]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=53</guid>
		<description><![CDATA[Watu wengi wa Mashariki ya Kati wamesusia bidhaa za Israeli na Marekani kama jibu la mashambulizi ya Israeli huko Gaza. Tarek Amr anapitia yale wanablogu wanayosema kuhusu suala hili.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/tarek-amr/">Tarek Amr</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/01/22/middle-east-boycott-as-a-political-weapon/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Watu wengi Mashariki ya Kati wamesusia bidhaa za Israeli na Marekani kama jibu la mashambulizi ya Israeli huko Gaza.</p>
<p>Bloga anayejiita <a href="http://angryarab.blogspot.com/2009/01/to-samah-and-kirsten.html">Shirika la Habari la Kiarabu Lenye Hasira </a>anaandika:</p>
<blockquote><p>Katika nchi tano za Kiarabu kampeni mpya na nyeti iliyoratibiwa ili kususia bidhaa za Kimarekani imezinduliwa, na migahawa ya kahawa ya Starbucks ndio shabaha yake ya kwanza, ikifuatiwa kwenye orodha hiyo na maduka ya Nestlè, Coca-Cola, Johnson &#038; Johnson pamoja na Burger King.</p></blockquote>
<p>Miongoni mwa maduka yote yenye chapa ya Marekani, Starbucks ndio iliyokuwa inalengwa zaidi na kampeni hizo za kususia. Bloga <a href="http://egyptianchronicles.blogspot.com/2009/01/starbucks-in-beirut-is-closed-for-day.html">Zeinobia</a> wa Misri, anaandika:</p>
<blockquote><p>Starbucks, tawi maarufu la Starbucks mjini Beirut lilifungwa kwa siku moja kufuatia maandamano ya kulipinga. Kuna wito umetolewa na kuitikiwa katika ulimwengu wa Waarabu kususia bidhaa za Marekani hasa 84268245 bidhaa ambazo zinazohusishwa na Israeli kwa njia moja au nyingine.</p></blockquote>
<p>Halafu anaendelea:</p>
<blockquote><p>Umma wa Waarabu unaamini kwamba Starbucks ya Marekani hulipatia Jeshi la Israeli, IDF mchango wa mwaka kutokana na ukweli kwamba mwanzilishi wa Starbucks ni Myahudi, na nikitaka kuwa mkweli, ukweli huo hautoshi kufikia hitimisho kwamba kampuni hiyo hutoa michango kwa jeshi la Israeli, lakini habari kama hizi zinaufanya umma wa Waarabu kufikiri mara mbili.<br />
Uvumi wa Starbucks-Jeshi la Israeli ni uvumi wa siku nyingi hata kabla ya kufungua tawi lake nchini Misri, kampuni hiyo ilipingwa na ulimwengu wa Waarabu.<br />
Nakumbuka siku moja nilipokea barua pepe inayohusu nembo ya Starbucks na historia yake, ikisema kwamba nembo hiyo ni alama ya binti mfalme wa Kiebrania aliyewakomboa Wayahudi waliokuwa Babeli wakati wa zamani ilhali hilo ni jambo jingine kabisa.</p></blockquote>
<p>Kampeni hizo za kususia hazipo tu huko Uarabuni, kundi la wanablogu wa Kimarekani na Kipalestina <a href="http://www.kabobfest.com/2009/01/malaysia-boycotts-coke.html">KABOBfest</a> linaripoti jinsi watu huko Malaysia wanavyoshiriki katika kampeni hizo: </p>
<blockquote><p>Zaidi ya migahawa 2,000 inayomilikiwa na Waislamu nchini Malaysia imeondoa Coca-Cola kwenye orodha za vyakula katika jitihada za kuunga mkono migomo dhidi ya Israeli. Mashirika ya kizawa yanawashawishi wafanyakazi wa Coca-Cola, kadhalika na wale wa Starbucks na makampuni mengine, waziachee ajira zao.</p></blockquote>
<p>Kutokea Jordan, <a href="http://khobbeizeh.blogspot.com/2006/04/starsucks.html">Khobbeizeh</a> pia anaandika kuhusu ususiaji wa Starbucks:</p>
<blockquote><p>Howard Schultz ni Mzayonisti mwenye siasa kali zinzounga mkono jeshi la Israeli. Anawaunga mkono na mamia ya mamilioni kila mwaka kutoka katika kipato cha Starbucks, ni mmoja wa wadhamini wakubwa wa silaha.</p></blockquote>
<p>Kwa hakika, bidhaa za Israeli zimegomewa na watu wengi, haya ndiyo alioandika bloga <a href="http://bodyontheline.wordpress.com/2009/01/17/on-solidarity-not-forgetting-gaza/">Body on the Line </a>katika blogu yake:</p>
<blockquote><p>Wakulima wanasema kwamba mazao yao mengi yamezuiliwa kwenye maghala kutokana na kusitishwa kwa ununuzi, na kuna hofu ya kupungua kwa uuzwaji wa matunda kuelekea nchi kama vile Jordan, Uingereza na nchi za Skandinavia.<br />
&#8230;<br />
Ilan Eshel, mkurugenzi wa shirika la wakulima wa matunda nchini Israeli, alisema kuwa nchi za Kiskandinavia pia zimekuwa zikisitisha uagizaji.</p></blockquote>
<p>Bloga wa Kimarekani anayeishi Palestina, anaandika yale wasomi wa Uingereza wanayosema kuhusu mashambulizi ya Israeli huko Gaza:</p>
<blockquote><p>Wasomi wa Uingereza wameandika barua ya wazi, iliyochapwa  kwenye gazeti la Guardian, inayoitisha ususiaji, kuondoa vitega uchumi, na migomo:<br />
&#8220;Ni lazima tufanye tunaloweza ili kuizua Israeli kushinda vita hivi. Israeli ni lazima ikubali kuwa usalama wake unategemea haki na kuishi salama pamoja na majirani zake, na siyo kwa kutegemea matumizi maovu ya nguvu.<br />
&#8220;Tunaamini israeli lazima isitishe mara moja bila masharti mashambulizi yake huko gaza, isitishe ukaliaji wa mabavu kwenye Ukingo wa Magharibi, waache madai ya kumiliki au kuendesha himaya inayovuka mipaka yake ya 1967. Tuanitaka serikali ya Uingereza na watu wa Uingereza kuchukua hatua zote zinazowezekana za kuitaka Israeli ikubaliane na madai haya, kwa kuanza na programuya ususiaji, kuondoa vitega uchumi, na vikwazo.&#8221;<br />
Mjini London wanafunzi pia walichukua hatua ya mshikamano na Gaza katika chuo cha Uchumi cha London:</p>
<p>Zaidi ya wanafunzi 40 waliendela na kampeni yao ya kukaa chini katika Chuo Cha Uchumi cha London leo hii ili kupinga machafuko huko Gaza.</p></blockquote>
<p>Pia kuna asasi na tovuti ambazo zinalenga tu kusambaza habari juu ya kampeni kama <a href="http://www.pacbi.org/">hii</a>, <a href="http://www.bigcampaign.org/">hii</a> na <a href="http://www.bdsmovement.net/">hii</a>.</p>
<p>Lakini kwa upande mwingine, wengine, kama vile bloga <a href="http://xrdarabia.org/2009/01/13/saudis-boycotting-american-goods/">Crossroads Arabia </a>hawakutilia mkazo sana kwenye kususia bidhaa:</p>
<blockquote><p>Gazeti la Saudi liliripoti kwamba kususia bidhaa za Marekani ili kuwaunga mkono watu wa Gaza kumeanza kumea nchini Saudi Arabia. Kama ilivyowahi kutokea awali, ususiaji huu unaweza a) kupunguza hisia za kutokuwa na nguvu [za Waarabu] na b) kuumiza wamiliki wa Kiarabu pamoja na wafanyakazi wao, bila ya kuathiri uchumi wa Marekani, kinyume na vile anavyodai profesa wa Chuo Kikuu cha Abdulaziz.<br />
Hata hivyo, ni wazi kwamba dhana ya kususa inaungwa mkono na wengi.</p></blockquote>
<p>Kadhalika, bloga <a href="http://www.jewlicious.com/2006/04/starbucks-one-of-the-most-dangerous-zionist-terrorism-tools-in-the-world/">Jewlicious</a> ameandika makala kumjibu Khobbeizeh:</p>
<blockquote><p>Mimi si mshabiki wa Starbucks, au kahawa, lakini suala la Starbucks kuunga mkono Jeshi la Israeli kwa kiasi cha &#8220;mamia ya mamilioni kila mwaka&#8221; ni jambo ambalo ni vigumu kuaminika. Rafiki yangu Khobbeizeh, tukiweka pembeni ufundi wako wa kutumia Photoshop, wewe ni mbumbumbu.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/mashariki-ya-kati-vikwazo-kama-silaha-ya-kisiasa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Palestina: Gaza Haitafuti Aspirini Kwa Ajili Ya Kidonda Chake</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/01/palestina-gaza-haitafuti-aspirini-kwa-ajili-ya-kidonda-chake/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/01/palestina-gaza-haitafuti-aspirini-kwa-ajili-ya-kidonda-chake/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 07 Jan 2009 10:56:07 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Humanitarian]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Israel]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Relief & Rescue]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=41</guid>
		<description><![CDATA[Wapalestina wachache na wanaharakati wageni bado wanaweza kutuma ripoti za kile kinachoendelea kwenye ukanda wa Gaza kwa kutumia umeme wa jenereta pale inapobidi. Zifuatazo ni jumbe za blogu katika masaa 24 yaliyopita. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ayesha-saldanha/">Ayesha Saldanha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/01/05/palestine-gaza-is-not-searching-for-an-aspirin-for-its-bloody-wound/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wapalestina wachache na wanaharakati wakigeni bado wanaweza kutuma ripoti za kile kinachoendelea kwenye ukanda wa Gaza kwa kutumia umeme wa jenereta inapobidi. Zifuatazo ni jumbe za blogu katika masaa 24 yaliyopita. </p>
<p>Profesa Abdelwahed, ambaye anafundisha Kiingereza Chuo Kikuu cha Al-Azhar anaandika katika <a href="http://gaza08.blogspot.com/2009/01/gaza-now-january-5-600-pm.html"><em>Moments of Gaza</em></a>:</p>
<blockquote><p>Leo yalikuwa mashambulizi ya nchi kavu. […] Raia wengi walifariki kwenye mashambulizi ya mabomu katika maeneo ya ukingoni mwa mji wa Gaza. Umeme na maji bado ni matatizo makubwa kwa wakazi wote wa Gaza. Bado ninatumia jenereta kuweza kuandika jumbe hizi! Simu za mikononi zimezimika na zile za majumbani zimeganda au hazisikiki vyema na wakati mwingine, husikika! Shambulio la anga karibu na hapa dakika chache zilizopita; hatujui lilitokea wapi lakini lilitisha. Walipiga jengo lililo karibu! Ni majengo matatu kutoka hapa nilipo; kuna majeruhi! Ndege za Israeli zinatupa mabomu ya radi au pengine ni miangaza inayotumiwa kwa madhumuni ya kijeshi. Israeli iliingilia idhaa ya setilaiti ya Al-Aqsa kwa mara kadhaa. Walitangaza habari zinazoipinga Hamas. Nitarejea tena kama nitaweza!</p></blockquote>
<p>Natalie Abu Shakra, mwanaharakati wa Kilebanoni, ambaye pia anablogu katika <a href="http://gaza08.blogspot.com/2009/01/natalie-abou-shakra-its-terror-we-are.html"><em>Moments of Gaza</em></a>:</p>
<blockquote><p>Wanatumia silaha mpya… zinatisha sana… wakati zikipita angani… utazisikia ziko karibu sana na wewe… <em>zinakuja, zinakuja kuniua, sasa hivi</em>… hivi ndivyo unavyofikiri… inatisha mno… nakubali kwamba sijali tena… nimeshazoea zile silaha za zamani… na sasa inanibidi nizizowee na hizi pia… siwezi kukuelezea kwa maneno ukali wa vitisho hivi… ni kama kombora linaloelekezwa kwako… na mlio wake… mlio wa ndege angani ikikuelekea… ikiongeza sauti kadri inavyokukaribia zaidi… ikesha inapita juu ya vichwa vyetu… sote tumelala chini…</p></blockquote>
<p>Laila El-Haddad, ambaye wazazi wake wako mjini Gaza, anablogu katika <a href="http://a-mother-from-gaza.blogspot.com/2009/01/israeli-terrorizing-civlians-with.html"><em>Raising Yousuf and Noor</em></a>:</p>
<blockquote><p>Tumesikia kuhusi vipeperushi ambavyo majeshi ya Israeli yanauchafua mji wa Gaza navyo - wakiwaambia watu kuwa Hamas ndio wa kulaumiwa kwa matatizo yao, na sio ndege za kijeshi za F-16 na mabomu mengine. Na hivi sasa wameanza kuwapigia watu simu kwa kutumia mashine za sauti kana kwamba ni Hilary Clinton, kwa muda wa masaa yote usiku na mchana. Baba yangu kapokea simu kadhaa - pamoja na ile wakati tulipokwa tunamaliza mahojiano na CNN, tulikuwa tukitumia Skype. Alijaribu kuiweka simu kwenye kipaza sauti ili nami niisikie. Tafasiri ya haraka haraka ni kuwa: &#8220;Ujumbe wa dharura: Onyo kwa raia wote wa Gaza. Hamas inawatumieni kama ngao. Msiwasikilize. Hamas wamewakimbia na wamejificha kwenye maficho yao. Achaneni nao…&#8221;</p>
<p>Aliweka simu chini kwa hasira, hakutaka kusikiliza ujumbe wote. Jeshi pia limekuwa likiwapigia simu watu kuwafahamisha kuwa nyumba zao zitashambuliwa. Watu wameacha kupokea simu zao, na hawapokei simu zenye namba wasizozifahamu kutokana na kuogopa. </p></blockquote>
<p>Sharon ni mwanaharakati anayeblogu katika blogu ya <em>Tales to Tell</em>, na kama wanaharakati wengine wa kimataifa mjini Gaza, anafanya awezalo ili kuwasaidia <a href="http://talestotell.wordpress.com/2009/01/04/jabalia-6pm-sat-til-sun-midday/">wafanyakazi wa afya wa dharura</a>:   </p>
<blockquote><p>1.30: Magari ya wagonjwa yameitwa. Tunashindwa kulipita shimo kubwa barabarani ambamo kuna gari lilikwishanasa ndani yake. Tulichukua njia ndefu ya mzunguko, tukamuokota mtu aliyevalia mavazi ya kitamaduni, wa makamo ndani ya miaka ya 60 hivi, kutoka katika linaloonekana ni shamba lake la ukoo. Anatokwa damu usoni na mwenye hofu kubwa. Njiani kuelekea hospitali ya Karmel Adwan mlipuko mmoja karibu kabisa na gari la wagonjwa ukalitetemesha gari. Lazima nilishtuka kiasi, kwa sababu dereva aliniuliza &#8220;je umesikia?&#8221;. Ninaanza kufahamu kuwa Wapalestina hupendelea sana kuuliza maswali yenye majibu yaliyo wazi, kama vile &#8220;unauonaje mji Gaza hivi sasa?&#8221;<br />
[…]<br />
4.55:  Tunaondoka Al Shifa kurejea kwenye kituo cha Jabalia. Kuna kahawa. Mo anatengeza kahawa na mkate ambavyo si kawaida. Kuna ahueni kwenye idadi ya simu. Hassan ananiuliza kuhusu kitabu changu, &#8220;Tiba Asilia&#8221;; Ninamueleza kuwa ni kitabu kinachohusu safari ya mtaalamu wa mahusiano ya viumbe na mazingira kutoka kwenye ugonjwa wa mawazo. &#8220;watu huugua ugonjwa wa mawazo kwenye nchi za magharibi?&#8221; Aliuliza kwa mshangao. Ninaelewa isivyoweza kuyumkinika kusikika hivi sasa, nasema watu wengi hujikuta  wamejitega katika maisha ya kazi na ununuaji wa vitu tu,  bila ya kuwa na maana katika maisha yao - dini, au ndoto ya ukombozi wa nchi yako, au jambo kama hilo, watu wengi hupotea. &#8220;Kwa kweli Israeli inataka kutufanya tuwe hivyo hivi sasa&#8221;, alisema. &#8220;kwa mfano, saa nyingine jambo kubwa ambalo hulifikiria ni jinsi ya kupata kilo ya gesi, nilijenga jiko kwa ajili ya familia yangu na nilijisikia kana kwamba nilifanya jambo la kustaajabisha.&#8221;</p></blockquote>
<p>Katika ujumbe mwingine <a href="http://talestotell.wordpress.com/2009/01/05/sun-4-jan-6pm-mon-5-jan-5pm/">anatuambia</a>:</p>
<blockquote><p>Tulimuuliza mtumishi  wa mapokezi wa shirika la Hilali Nyekundu la Jabalia ni simu ngapi za dharura wanazozipokea kutoka sehemu ambazo Waisraeli hawawaruhusu kwenda. Maeneo hayo ni yale ambayo uratibu wake lazima ufanywe na majeshi ya uvamizi kupitia shirika la Msalaba Mwekundu. Alisema kuwa hawaruhusiwi kuhudumia asilimia takriban 80 ya simu zote zinazotokea kaskazini, amabpo ni sehemu za Beit Lahia, Beit Hanoun, na Jabalia. Naweza kurudia tena? Asilia 80. Wanane kati ya watu kumi wanaoomba msaada huzuiliwa kupokea msaada huo.</p></blockquote>
<p>Mwanaharakati kutoka Kanada, Eva Bartlet, anblogu katika <a href="http://ingaza.wordpress.com/2009/01/05/its-really-hard-to-post-from-here/"><em>In Gaza</em></a>:</p>
<blockquote><p>Idadi ya walioteketezwa na kujeruhiwa ni kubwa mno hivi sasa – 521 na 3,000 kufikia asbuhi hii, kwa saa za Gaza – kuketi pembeni ya maiti au mtu anayefariki inakuwa ni jambo la kawaida. Doa la damu kwenye machela ya gari la wagonjwa linasogeea karibu ya koti langu, na mganga ananionya kwamba koti langu linaweza kuchafuka. Kwani ninajali?Doa lile haliwezi kunikera kama ambavyo ningekereka, au ambavyo nilikereka wiki moja iliyopita. Mauti yamejaa hewani, kwenye mitaa ya Gaza, na siwezi kusisitiza zaidi kwamba siongei kwa kutia chumvi. Nimerudi mjini Gaza kwa muda mchache, baada ya mchana na usiku wa kazi na wauguzi, nitajaribu kutoa muhtasari, ingawa kuna mengi ya kueleza, habari nyingi zinazojitokeza, na ni vigumu kuwafikia wananchi, hata wale walioko kilometa moja tu kutoka hapa. Kabla ya kunishusha wauguzi walikwenda kwenye vituo mbalimbali vya mafuta, wakitafuta mafuta kwa ajili ya gari la wagonjwa. Walipita vituo viwili bila kubahatika. Na wengine walipofika kwenye kituo cha mwisho walibahatika kujaza mafuta. Uhaba wa mafuta umefikia hali mbaya. Kadhalika uhaba wa mikate, ambao unaendelea, na foleni ni ndefu kuliko. Ujumbe wa maandishi kwenye simu ya mkononi unaniambia ( katika kipindi hiki inanibidi nitegemee habari kutoka kwenye simu ya mkononi kama inawezekana kupokea) kwamba Umoja wa Mataifa unasema kuwa watu 13,000wamepoteza makazi yao, na kwamba asilimia 20 ya waliokufa ni wanawake na watoto, asilimia 70 hawana maji salama ya kunywa. Kuna taarifa nyingi zinazoweza kumlevya mtu na ugonjwa wa kutojali, lakini siwezi kuwaambia yote hivi sasa.</p></blockquote>
<p>Safa Joudeh anaandika kwenye blogu ya <a href="http://lamentations-gaza.blogspot.com/2009/01/catastrophe-in-gaza-live-report.html"><em>Lamentations – Gaza</em></a>:</p>
<blockquote><p>Israeli imetuingilia majumbani, inapigana katika mitaa yetu na unaonyesha unyama wake dhidi kwa nguvu zote. Je tujibu vipi? Makundi yote ya Wapalestinayameungana na yanampinga adui, kwa kutumia nguvu zao zote za kijeshi kwa pamoja. Japokuwa nguvu hizohaziwezi kulingana na nguvu zilizoshinikizwa na Israeli, zimetufanya tuwe na hakika zaidi kwamba Wapalestina watapigana mpaka mwisho kulinda kile kilicho chao. Imetuonyesha kwamba mapambano ya upinzani, kujitoa muhanga na mapenzi ni sehemu ya Wapalestina ambayo haitaweza kubadilika pamoja na dhiki zote zinazotusibu. Imetutia mwamko adili katika hisia zetu, mwamko ambao umetufikia katika wakati tunaouhitaji zaidi. […] Ni vigumu kukumbukawakati ambapo mahitaji ya msingi kama vile chakula, maji, vuguvugu la mapendo na mwanga wa juahavikuwa anasa. Katika kipindi hiki ni haja za kibinaadamu opekee ambazo zinafanya kazi, haja ya kuwalinda wale uwapendao, haja ya kuhakikisha unayo malazi na maamuzi ya haraka ya aidha kukimbia au kupigana. Tumekuwa tukikimbia kwa muda mrefu sana, Gaza ndiyo kwetu na ndiyo ngome yetu ya mwisho baada ya kupoteza makazi yetu kule panapoitwa Israeli hivi sasa. Haya yote yalitokea miaka 60 tu iliyopita. Jingine lipi wanalolitaka? Hatuna pengine pa kwenda. Huu ndio wakati ambao kila mbinu ya upinzani ni ruksa kutumika. Wamepuuza kila kila sheria ya kimataifa iliyopo. Kwa hiyo huu ndio wakati wa kupigana.</p></blockquote>
<p><em>Rafah Kid</em> anatoa <a href="http://rafahkid.blogspot.com/2009/01/is-real-target-hamas-rule.html">rai</a>:</p>
<blockquote><p>Tafadhali… kabla ya kila mmoja kufa mjini Gaza… labda jaribuni kuelewa kuwa Hamas ni dalili… na sio chanzo… chanzo ni kukaliwa kimabavu… uhaba wa makazi uliotokana na watu kuhamishwa kwa nguvu kutoka kwenye ardhi yao… hicho ndio chanzo… Hamas ni dalili… na Marekani haizipendi serikali ambazo haikuziteua. Hakuna umeme… hakuna mawasiliano ya simu kwenda nje. Giza na mvua ya moto inanyesha. Watoto wanapiga mayowe.</p></blockquote>
<p><em>Mutasharrid</em> (mtu asiye na makazi) yupo huko Khan Younis, na ana <a href="http://motshard.blogspot.com/2009/01/13.html">hasira</a>:</p>
<blockquote><p>Niliulizwa jana kama misaada inafika Gaza au ni &#8220;habari tu ya kwenye magazeti&#8221;. Nilikataa kujibu kwani jawabu liko wazi, liko wazi kama ngurumo ya ndege za kijeshi za F-16 zinavyonguruma hivi sasa;usijali, misaada inayoingia Gaza, labda kwa kiwango kikubwa wakati wa siku zile za mwanzo, lakini ilisitishwa siku mbili zilizopita kwa madai ya operesheni ya kijeshi ya nchi kavu, hata hivyo, hilo halikubadili chochote! Yaani, ni vipi vyombo vya habari vimefanikiwa kuwasilisha shauri hili kama shauri moja la mtu mwenye njaa aliyezingirwa, anayetafuta misaada ya kibinaadamu na chakula kisichomfaa hata mbwa?! Nilipomuuliza raki yangu alinijibu &#8220;Waarabu ni mfano wa watu wanaompiga mbwa huku wakimrushia mnofu wa nyama!&#8221;</p>
<p>Gaza haitafuti aspirini kutibu jeraha lake, rafiki zangu, Gaza haitafuti bandeji kwa ajili kuziba mtiririko wa damu. Kitu kinachoiumiza Gaza, na hasa kitu kinachoiua Gaza zaidi ya makombora ni sauti yake: sauti ya kila mtu anayevalia suti na tai anayeizungumzia Gaza. Utatatamani uwapayukie kwenye nyuso zao, kabla ya ndege, &#8220;Nyamaza! Sauti yako inajeruhi na ina makali zaidi ya ukimya wako, kwa hivyo kaa kimya… Tuonee huruma, kaa kimya kwa kitambo kidogo…&#8221; </p></blockquote>
<p>Mwanablogu <em>Exiled</em> <a href="http://nostaliga.blogspot.com/2009/01/off.html">anasema kwa ufupi</a>:</p>
<blockquote><p>Nakwenda mapumzikoni mpaka mwisho wa mauaji haya ya kinyama<br />
Tuombeeni</p></blockquote>
<p>Blogu yenye jina la <a href="http://gazaeng.blogspot.com/"><em>Madhara kwa raia wakati wa mapambano mjini Gaza na Kusini mwa Israeli</em></a> imetengenezwa na asaasi za haki za kibinaadamu za Kiisraeli ili kuorodhesha matukio ambayo hayaandikwi na vyombo vikubwa vya habari.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/01/palestina-gaza-haitafuti-aspirini-kwa-ajili-ya-kidonda-chake/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Bahrain: Raha na Karaha za Kusoma Ng&#039;ambo</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/bahrain-raha-na-karaha-za-kusoma-ngambo/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/bahrain-raha-na-karaha-za-kusoma-ngambo/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 26 Oct 2008 12:14:50 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Bahrain]]></category>
		<category><![CDATA[Education]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Japan]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Travel]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>
		<category><![CDATA[United Kingdom]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=31</guid>
		<description><![CDATA[Ingawa Bahrain ina idadi kadhaa ya vyuo vikuu, vya umma na binafsi, raia wengi wa nchi hiyo hupata fursa ya kwenda ng'ambo kwa masomo ya shahada ya kwanza na hata zile za juu, mara nyingi kwa kutegemea ufadhili. Moja ya matatizo ya kwanza wanayokumbana nayo huko ughaibuni ni kwamba watu wachache tu hufahamu ni wapi  Bahrain ilipo.  Katika makala hii tunafuatilia uzoefu wa wanablogu watatu ambao ndiyo kwanza wamekwenda ng'ambo kwa masomo: kule Japan, Uingereza na Marekani na mwanablogu wa nne ambaye anasoma India kwa kipindi fulani hivi sasa.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ayesha-saldanha/">Ayesha Saldanha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2008/10/11/bahrain-the-pleasures-and-perils-of-studying-abroad/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Ingawa Bahrain ina idadi kadhaa ya vyuo vikuu, vya umma na binafsi, raia wengi wa nchi hiyo hupata fursa ya kwenda ng&#39;ambo kwa masomo ya shahada ya kwanza na hata zile za juu, mara nyingi kwa kutegemea ufadhili. Moja ya matatizo ya kwanza wanayokumbana nayo huko ughaibuni ni kwamba watu wachache tu hufahamu ni wapi  Bahrain ilipo.  Katika makala hii tunafuatilia uzoefu wa wanablogu watatu ambao ndiyo kwanza wamekwenda ng&#39;ambo kwa masomo: kule Japan, Uingereza na Marekani na mwanablogu wa nne ambaye anasoma India kwa kipindi fulani hivi sasa.</p>
<p><em>Cradle of Humanity</em> amekwenda masomoni huko Cleveland, Ohio (Moja ya jimbo la Marekani, na anajihisi <a href="http://www.cradleofhumanity.com/index.php?option=com_content&#038;task=view&#038;id=32&#038;Itemid=27">kukanganyikiwa</a> na hali ya mambo huko:</p>
<blockquote><p>Mara nyingine huogopa pale watu wanaponiuliza juu ya kule ninakotoka. Si zaidi ya asilimia 10 ya wale wanaosikia nikitamka &#8220;Bahrain&#8221; kama jibu la kule nitokako wanaelewa au kuwa na picha kichwani juu ya mahali nchi hii ilipo, lakini hicho siyo hasa kinachonisababishia simanzi. Kwa wale wanaofahamu kwamba Bahrain ipo katika Ghuba ya Ajemi, kuna kitu ambacho huwaingia vichwani - utajiri. Mara nyingine baadhi yao huuliza, lakini hawa ni wale ambao nadhani hunitia simanzi zaidi. Ndani ya miezi miwili iliyopita nimepata marafiki wengi sana, hasa Wahindi kwa kuzingatia idadi ya wanafunzi walio katika Kozi ninayochukua. Licha ya ukweli kwamba wengi wao katika hawa ni Wahindi wa hali ya juu, wanaomiliki biashara nyingi na wao wenyewe ni matajiri - wanapenda sana kunieleza kwamba kwa vyovyote mimi pia lazima niwe mtu tajiri. Mara nyingine nilipoeleza kuhusu ninakotoka wapo wanaoamini kwamba sisi ni matajiri kupita kiasi, lakini utajiri ambao hatukuustahili; wakati ambapo wao waliufanyia kazi utajiri wao. Zaidi sana ni kwamba mara nyingi wanachanganya kati ya Bahrain na Dubai.</p>
<p>- Usafiri wa umma hapa si mzuri sana, lakini kumiliki gari pia ni ghali mno, vinginevyo ningekuwa nimeshajipatia moja<br />
- La mtumba au jipya?<br />
- La mtumba, mie nipo hapa kwa kipindi kifupi tu.<br />
- Si afadhali ununue jipya, hilo ni bora zaidi.<br />
- Lakini hilo litakuwa ghali sana.<br />
- Wewe si unatoka Bahrain, unaweza kununua gari!</p>
<p>- Unamaanisha wewe si tajiri?<br />
- Kwa kusema ukweli mimi si tajiri.<br />
- Haiwezekani, kule Dubai kila mmoja ni tajiri.<br />
- Kuhusu Dubai, sijui, lakini kule Bahrain si kila mtu ni tajiri.</p></blockquote>
<p><em>Yagoob,</em> ambaye amewasili huko Nagoya, yeye anakabiliana na tatizo la msingi zaidi - <a href="http://elzeeyed.com/ydome/?p=317">lugha</a>:</p>
<blockquote><p>Kwa kusema ukweli, tofauti ya tamaduni imenistusha mno! Yaani nimekutana na watu wachache mno wanaozungumza Kiingereza. Najihisi kama mtu wa zama za mawe aliye katika karne ya 21, maana natumia njia za kijima kabisa ili kuwasiliana, huku nikitumia ishara za mikono na kuzungumza taratibu kwa sauti ya juu katika Kiingereza. […] Chumba changu cha kulala bwenini ama kwa hakika ni cha Kijapani, ni kidogo na kila kitu kimewekwa tayari kukabili matetemeko ya ardhi, yaani ni kama kuishi katika kopo la dagaa wa kusindika. Karibu kila kitu kilicho chumbani mwangu kimewekewa maelekezo, lakini yote kwa Kijapani kwa hiyo sijui yanatumikaje mpaka sasa! […] Njia ya treni za chini kwa chini inanikumbusha ile ya kule Landani tofauti tu ni kwamba hii ni safi zaidi na mtu kama mimi nakuwa nimejitokeza mno kama dole gumba lililovimba (bila shaka mahali popote mwarabu mrefu, mnene mwenye vinyweleo na jasho jingi angeonekana zaidi). […] Yaelekea watu wa hapa Nagoya hawajawahi kukutana na yeyote kutoka Bahrain, walau hicho ndicho wanachonieleza watu wanaofanya kazi katika bweni langu, hata hivyo nashangazwa na ukweli kwamba wanajua kule ilipo nchi hiyo (pengine ni kwa sababu ya mapambano makali katika viwanja vya kandanda miaka ya hivi karibuni) na nilipozungumza na mmoja wa majirani zangu wa Kichina, &#8216;Andy&#39;, alisema, &#8220;Ooh, kumbe wewe unatoka Asia Magharibi!&#8221; na nafikiri yuko sahihi &#8230; hasa ukizingatia kwamba sasa nipo huku Mashariki ya Mbali. </p></blockquote>
<p><em>MuJtAbA AlMoAmEn</em> anasoma kule India, na anatuambia ni nini kinachomfanya apende <a href="http://bolafee.jeeran.com/archive/2008/10/690659.html">kuwa huko</a>: </p>
<blockquote><p>Inawezekana kwamba kuwa mbali na nyumbani kuna ubaya wake, lakini hakuna shaka kwamba kuna upande mzuri pia. Nimewahi hapo kabla kujadili faida na hasara za kuwa mbali na nyumbani; sina lengo la kujirudia, na kwa hiyo leo nitaandika kuhusu kitu tofauti. Nataka kuandika kuhusu tafakari, utulivu, uwezo wa kusoma na muda wangu huru ninaoweza kuutumia kwa malengo mazuri.<br />
Niwapo Bahrain, kati ya ndugu na marafiki, huwa sipati muda wa kusoma magazeti, yawe ya palepale nchini, ya Kiarabu au hata ya kimataifa. Pia sipati muda wa kusoma vitabu kama vile kuhusu maisha ya watu binafsi, hadithi, au hata kuhusu mada za kujiendeleza kiakili.<br />
Hapa India, kuna muda tele wa kujitafakari. Najisikia kuwa na utulivu wa kiakili na kwa hiyo naweza kufikiri sana - najikuta naweza kupata suluhu kwa karibu kila tatizo au kikwazo kinachonikabili, na kitamu zaidi ni kwamba napata suluhisho zaidi ya moja kwa tatizo fulani. Nakuwa sitegemei suluhisho moja tu, kwa hiyon naweza kupima masuluhisho<br />
mbalimbali niliyo nayo, na kama hii ina maana yoyote, basi walau ni ushahidi wa utulivu wa kiakili na kiroho nilio nao kwa sasa.</p></blockquote>
<p><em>Bride Zone</em> ndiyo kwanza amewasili Uingereza, na tayari mwanadada huyu <a href="http://bride-zone.blogspot.com/2008/10/blog-post.html">anakumbuka nyumbani</a>:</p>
<blockquote><p>Nashindwa kukana jinsi gani ilivyo vigumu kuwa mbali na nyumbani. Dunia ni Dunia, sayari ya tatu kutoka kwenye jua katika mfumo huu wa jua. Sote tulijifunza jambo hilo na tunalichukulia kuwa ni ukweli wa kisayansi. Lakini ukweli ni kwamba Dunia yetu siyo ileile endapo utaondoka na kwenda mahali pengine. Nchi ile nilikokulia na kuishi maisha yangu<br />
yote, pamoja na uzuri na ubaya wake, na ambayo imewabeba ndugu na marafiki zangu kwa kweli ni kipenzi changu kuliko nchi na ardhi nyingine zote Duniani. Licha ya uzuri wa nchi ninayoishi hivi sasa - haina thamani hata ya chembe ya mchanga ikilinganishwa na nchi yangu ninayoipenda sana. </p>
<p>Hapa Uingereza, hali ya hewa ni ya kupendeza mno. Nimeyaona majira ya mapukutiko ambayo sikuwahi kamwe kuyaona maishani mwangu. Tulipokuwa shule tulijifunza kwamba kuna majira fulani ya mapukutiko ambapo miti ilipukutisha majani, nilikuwa sijawahi kuliona jambo hilo isipokuwa hapa. Na wakati ambapo sisi kule nyumbani tuna uhaba wa<br />
mvua, hapa inanyesha sana na kunifanya kutamani maisha zaidi, maisha yanayohuishwa na mvua, na kufanya chemchem ambayo bado inaendelea kuwepo. </p>
<p>Hivi ninapata maruweruwe? Sioni uhusiano wowote uliopo kati ya maneno niliyoandika kwenye kurasa hizi zaidi ya maneno ambayo yamekuwa yakiisongasonga akili yangu na ambayo nimeyefasiri katika kidirisha hiki kidogo ninachotumia kuitazama dunia. Tafadhali nisameheni rafiki zangu. Sitaki kuzungumzia kingine chochote kile isipokuwa upendo na hamu ya kuwa katika ardhi na taifa langu. </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/bahrain-raha-na-karaha-za-kusoma-ngambo/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
