Habari kuhusu Kiarabu kutoka Machi, 2014
Mwanamke wa Misri: “Funga Mdomo Wako Obama!”
Tazama video hii ya mwanamke wa Kimisri akimwomba Rais wa marekani Barak Obama 'kufunga mdomo wake' ambayo inasambaa mtandaoni.
Walebanoni Wazindua Kampeni ya Kuwatetea Wasyria Dhidi ya Ubaguzi wa Rangi
Watu wa Lebanon wameshikamana kutoa mwito wa kumaliza ubaguzi wa rangi dhidi ya wakimbizi wa Wasyria wanaoishi nchini humo, anaandika Joey Ayoub. "Nyumbani kwetu, ni kwenu," wanasema.
Misri Yawahukumu Kifo Wafuasi 529 wa Muslim Brotherhood
Misri leo [Machi 24] imewahukumu kifo wafuasi 529 wa chama cha 529 Muslim Brotherhood kw akuhusiaka kwenye ghasia na vurugu zilizotolea Minya, kaskazini mwa Misri , mwezi Agosti mwaka jana.
Saudi Arabia Inadhibiti Majina ya Watoto
Huruhusiwi kumwita mwanao wa kike majina kama Eman, au Sandy, au Yara. Na kama ni mvulana, majina kama Abdelnasser, Amir au Abdulmoeen hayaruhisiwi. Lakini hiyo si Saudi Arabia pekee. Kwenye mtandao wa twita, Iyad El Baghdadi anaorodhesha majina ya watoto yaliyopigwa marufuku kabisa kwenye ufalme huo: Orodha ya majina yaliyopigwa...
Mwanablogu wa Misri Alaa Abdel Fattah Aachiwa kwa Dhamana
Furaha imeendelea kutawala wakati mwanablogu maarufu wa Misri Alaa Abdel Fattah ameachiwa kutoka jela. Kwenye twiti yake ya kwanzabaada ya kuachiliwa, mwanaharakati huyo anaapa 'kuendeleza' mapambano.
Siku 100 Gerezani Bila Mashitaka: Simulizi la Alaa Abd El Fattah
Mwanablogu mashuhuri wa Kimisri Alaa Abd El Fattah amemaliza siku yake ya 100 jela leo pasipo kufunguliwa mashitaka. Tazama video hii kufahamu kuhusu suala lake na mengine zaidi.
Kuchanwa kwa Korani Kwaleta Tafrani Nchini Mauritania
The Mauritanian capital Nouakchott witnessed violent clashes between security forces and an angry crowd after people tore up a copy of the Quran. One person was killed in the clashes.