Habari kuhusu Kiarabu kutoka Februari, 2014
Mchora Katuni wa Algeria Ahukumiwa Kifungo cha Miezi 18 Jela kwa Kumdhihaki Rais
Djamel Ghanem anakabiliwa na kifungo cha jela kwa kuchora katuni inayoufananisha mpango wa Rais wa Aljeria Abdelaziz Bouteflika wa awamu ya nne na nepi ya mtoto. Katuni hiyo, hata hivyo haikuwahi kuchapishwa
Misri: Kupandishwa cheo kwa Sissi ni ya Hutua ya Kuelekea URais?
Kupandishwa cheo kwa Abdel Fattah El Sissi hadi kuwa Jemadari Mkuu kumezua mjadala mkubwa katika mitandao ya intaneti, ambapo watu wengi wanawaza kuwa kama ndio njia yake ya kugombea Urais.