GlobalVoices katika

Rose Kahendi

Wasifu wa mwandishi · 5 jumbe · alijiunga 23 Februari 2012

Kiungo cha RSS kwa Rose Kahendi Kiungo cha RSS kwa Rose Kahendi

I am a writer, editor and translator of East African origin, and translate web content between English and Swahili and from French to English.

Anwani ya Barua Pepe Rose Kahendi

makala mpya zaidi ya Rose Kahendi

12 Machi 2013

Ramani za Mpaka wa Kikoloni wa Sudan Kusini Ziko Wapi?

Joseph Edward anazungumzia kupotea kwa ramani za mpaka wa Sudan Kusini za enzi za ukoloni: “Majadiliano yameibuka kuhusu ramani ambazo zilidaiwa kuchukuliwa na Waingereza baada ya Sudan kupata uhuru mnamo mwaka wa 1956. Huku baadhi a watu wanaamini kwamba nyaraka hizo za kihistoria zinaweza kupunguza migogoro ya mpaka inayoendelea, watafiti wanatilia shaka uwepo wa ramani hizo.

Umoja wa Afrika na “busara” ya mashaka kuhusu Kenya

Collins Mbalo anachambua kuona kama Umoja wa Afrika na COMESA/IGAD walikosa busara katika  kusaili utayari wa Kenya kufanya uchaguzi wa amani #choice2013.

12 Februari 2013

Photos jumbe
Costa Rica Yakumbwa na Tetemeko la Ardhi wa Ukubwa wa 7.6

Soma makala hii.

Wananchi wa Costa Rica wamekuwa wakitwiti kuhusiana na tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo tarehe 5 Septemba saa 2:42 asubuhi, kwa kutumia alama habari #temblorcr and #terremotocr kuhabarishana yanayoendelea.

18 Septemba 2012

Italia Yalaumiwa kwa Ukiukaji wa Haki za Wakimbizi wa Kiafrika

Soma makala hii.

Februari 23, Mahakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya huko Strasbourg ilikuja na hukumu ya kihistoria kwamba Italia imevujna Tamko la Ulaya la Haki za Binadamu kwa kuwazuia na kuwarudisha wakimbizi wa ki-Eritrea na Somalia kwenda Libya. Abdoulaye Bah anaripoti.

Afrika: Tuzo la Mbuyu wa Dhahabu

Wasilisha kisa chako upate fursa kushinda Tuzo ya Mbuyu wa Dhahabu: “Tuzo ya Mbuyu wa Dhahabu ilianzishwa mwaka 2008 kuwahamasisha waandishi wa ki-Afarika waliojikita katika vitabu vya watoto na vijana.”

 

Sehemu za Dunia

Nchi

Lugha