<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; Egidio Ndabagoye</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/author/egidio-ndabagoye/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Gumzo la moja kwa moja kuhusu Virusi vya ukimwi na Ukimwi mtandaoni Tarehe 6 machi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/03/gumzo-la-moja-kwa-moja-kuhusu-virusi-vya-ukimwi-na-ukimwi-mtandaoni-tarehe-6-machi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/03/gumzo-la-moja-kwa-moja-kuhusu-virusi-vya-ukimwi-na-ukimwi-mtandaoni-tarehe-6-machi/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 06 Mar 2009 12:49:45 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Egidio Ndabagoye</dc:creator>
				<category><![CDATA[Announcements]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Development]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Health]]></category>
		<category><![CDATA[Rising Voices]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=95</guid>
		<description><![CDATA[Mradi wa <a href="http://rising.globalvoicesonline.org/">Rising Voices</a> na <a href="http://globalvoicesonline.org/">Global Voices</a> wanaandaa gumzo la moja kwa moja mtandaoni kwa wanablogu na wanaharakati siku ya Ijumaa mwezi wa tatu mwaka huu(saa 11 jioni kwa saa za Nairobi) mada kuu ikiwa jinsi ya kublogu na kuongeza uelewa na habari kuhusu virusi vya ukimwi na Ukimwi.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juhie-bhatia/">Juhie Bhatia</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/egidio-ndabagoye/'>Egidio Ndabagoye</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/03/04/blogging-positively-live-chat-about-hivaids-on-march-6/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/02/blogging-positively-banner-800.gif" class="aligncenter" width="800" height="196" /><br />
Mradi wa <a href="http://rising.globalvoicesonline.org/">Rising Voices</a> na <a href="http://globalvoicesonline.org/">Global Voices</a> wanaandaa gumzo la moja kwa moja mtandaoni kwa wanablogu na wanaharakati siku ya Ijumaa mwezi wa tatu mwaka huu(saa 11 jioni kwa saa za Nairobi) mada kuu ikiwa jinsi ya kublogu na kuongeza uelewa na habari kuhusu virusi vya ukimwi na Ukimwi.</p>
<p>Kila mmoja anakaribishwa</p>
<p><strong>Muda</strong>:New York 3 asubuhi | Buenos Aires 6mchana | London 8mchana | Johannesburg,Beirut 10jioni | Nairobi, Moscow 11 jioni | New Delhi 1:30 usiku | Hong Kong 4usiku | Tokyo 5 usiku</p>
<p><strong>Chumba cha gumzo</strong>:http://www.worknets.org/chat/</p>
<blockquote><p><strong>Jinsi ya kujiunga</strong>:Bonyeza kingo hapo juu tumia jina lako.Kisha chagua chumba utakacho kujiunga kwa kubonyeza ingia.Baada ya kuingia chagua ukubwa wa maandishi upande  wa kushoto wa kiwambo cha tarakishi yako, jiunge katika gumzo</p></blockquote>
<p>Gumzo la tarehe 6 mwezi wa 3 litajenga mada iliyoletwa  katika majadiliano yaliofanikiwa wiki iliyopita. Gumzo la tarehe 27 mwezi wa  pili lilitoa tamko kama vile umuhimu wa kublogu kwa watu walioathirika na virusi vya ukimwi na jukumu  katika upelekaji na ushawishi wa maarifa,lakini kikubwa lililenga kwenye <strong>muongozo wa  kublogu vyema </strong>,muongozo ulitengenezwa na Global Voices kutoa ushauri tunu jinsi ya kublogu kuhusu masuala ya Virusi vya Ukimwi na Ukimwi. Muongozo huo bado ni kazi inayooendelea, kwa hiyo tunatafuta msaada kutengeneza na kutoa matokeo. Kwa wale waliokuwa na nia au waliokwisha blogu kuhusu maafa wanahimizwa kushiriki katika  gumzo wiki hii, hasa wale wanaoishi au walioathirika na virusi vya ukimwi.  Gumzo la Ijumaa litalenga masuala kama vile uanzishwaji makundi maalum ya kazi au vitengo kwa ajili ya mchakato wa kutengeneza muongozo wa kublogu vyema kadhalika gumzo hilo litajadili kuhusu aya na  na mada zipi zijumuishwe kwenye muongozo. </p>
<p>Pia kuna mada nyingine ambazo utataka kujadili wakati wa gumzo,tafadhali weka maoni chini.Natumaini mtashirikiana nasi tarehe 6 mwezi wa tatu</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/03/gumzo-la-moja-kwa-moja-kuhusu-virusi-vya-ukimwi-na-ukimwi-mtandaoni-tarehe-6-machi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>1</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Iraki:OBAMAAAAA!!! Huraaah Oyee!!</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/11/irakiobamaaaaa-huraaah-oyee/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/11/irakiobamaaaaa-huraaah-oyee/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 09 Nov 2008 05:52:33 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Egidio Ndabagoye</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Iraq]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=37</guid>
		<description><![CDATA[Hivyo ndivyo asemavyo <em>Neurotic Iraqi Wife</em>. Kwa ujumla blogu nyingi za Iraki zimemchukulia vyema rais mteule Obama, lakini sio wanablogu wote waliofurahia. Salam Adil anaorodhesha maoni baada ya Uchaguzi wa rais huko Marekani. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/salam-adil/">Salam Adil</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/egidio-ndabagoye/'>Egidio Ndabagoye</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2008/11/05/iraq-obamaaaaaaa-woooohooooo-wow/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Hivyo ndivyo asemavyo <em>Neurotic Iraqi Wife</em>. Kwa ujumla blogu nyingi za Iraki zimemchukulia vyema rais mteule Obama, lakini sio wanablogu wote waliofurahia. </p>
<p><em>Layla Anwar</em> <a href="http://arabwomanblues.blogspot.com/2008/11/so-obama-booma-won.html">anabashiri jambo baya </a>kwa Iraki wakati wa uraisi wa Obama:</p>
<blockquote><p>Kwa hiyo Obama, booma[Booma ni bundi lakini katika lugha mojawapo ya Kiiraki neno hilo linamaanisha mtu mjinga ]…</p>
<p>Makamu wa raisi wa booma si mwingine zaidi ya J.Biden. J.Biden, Mzayonisti, muungaji mkono ngangari wa kuigawa Iraki katika majimbo matatu. Si ajabu Maliki na washirika wake wanamuunga mkono booma ubavuni na Irani….Nina furaha kwamba muovu, mwanaharamu Bush anaondoka. Sina shaka kwa hili. Lakini sitawapongeza kwa raisi wenu wa 44. Atakacho fanya ni kumalizia yale mazayonisti wenzake waliyoyaanza- Kuigawanya nchi yangu. </p>
<p>Ishieni jahanamu nyote pamoja na maraisi wenu</p></blockquote>
<p>Kusema kwamba <em>Neurotic Wife</em> <a href="http://neurotic-iraqi-wife.blogspot.com/2008/11/obama-era.html">anafurahishwa na uchaguzi wa Marekani</a> ni sawa kupunguza makali ya matamshi yake. Anaandika:</p>
<blockquote><p>Mabadiliko, mabadiliko, mabadiliko. Mabadiliko yako njiani. Mabadiliko kwa utawala wa kidhalimu wa Bush. Utawala wa Bush uliodanganya,uliolaghai, uliodhulumu dunia, na zaidi ya yote uliowadhulumu Wairaki&#8230; Kwangu mimi, hili si jambo linalohusu historia tu, hii inahusu mtu aliyeweza kuwashusha watu walioivunja nchi yangu. Ni konde kubwa kwa kila mtu alieangamiza Wairaki. Na kwangu mimi ni ushindi wa kutosha.</p>
<p>Nitapenda tu kumwambia Bwana Obama, usituangushe. Umetoka mbali, na kama Muiraki ninakutegemea. Usiziruhusu siasa chafu kukuvunjia ahadi zako… Nimejifunza mambo kadhaa katika maisha yangu, nayo ni katu kamwe usitegemee sana mambo kutoka kwa watu, lakini kwa hili nina matumaini. Nategemea mambo mengi toka kwa Obama. Na la kuangushwa SI mojawapo. Kwa wale wafuasi wenye siasa kali wa mlengo wa kulia, na kwenu nyote ambao hamtaki kukubali kuelewa Mmarekani mweusi anaweza kuwa raisi wenu, bahati mbaya. Ishi nalo…</p>
<p>Ni anga ya kupendeza leo. Anga ya KIBULUU. Mwanzo wa zama mpya. Zama za Obama… </p></blockquote>
<p>Na <em>Fatima</em> Mmarekani mwenye asili ya Iraki <a href="http://thoughtsfrombaghdad.blogspot.com/2008/11/now-for-some-deeper-thought.html">hatimaye anajivunia</a>. Anatanabaisha:</p>
<blockquote><p>Kwangu mimi, najivunia Marekani sasa hivi. Najivunia kwa kuyashinda mengi, kwa kutuonyesha yale ambayo inweza kuyafanya.<br />
Na kwangu mimi, nina matumaini kuwa Obama hatatuangusha. Nina matumaini ataliongoza taifa hili kufikia misingi ya sheria na usawa kwa wote, na kwamba atakaa mbali na vitendo vya kibabe, popote itakapokuwa. Natumaini hatakuwa mmoja wa wale maraisi.<br />
Na mwisho nampongeza John McCain kwa kazi yake na hotuba yake usiku wa jana. Ilikuwa ya kuiungwana, ninatumaini atapumzika baada ya miaka mingi ya utumishi. </p>
<p>GOOOBAMA! Idumu Haki, Usawa na haya yote mazuri katika katika hii dunia </p></blockquote>
<p><strong>Na mwisho</strong></p>
<p>Namalizia na ujumbe huu wa pongezi kutoka kwa Wairaki kwenda kwa wamarekani</p>
<p><a href="http://iraqimojo.blogspot.com/2008/11/guess-whos-coming-to-dinner.html"><em>Iraqi Mojo:</em></a></p>
<blockquote><p>Wamarekani wamechagua Muamerika mwenye asili ya Kiafrika aitwaye Barack Hussein Obama kuwa raisi wao. Mungu ibariki Marekani! </p></blockquote>
<p><a href="http://washingtonbureau.typepad.com/iraq/2008/11/obama.html"><em>Sahar:</em></a></p>
<blockquote><p>Nina furaha kwa Iraki? Sijui. Sijui nini kitatokea na ninaogopa.</p>
<p>Je ataondoa majeshi?<br />
Je atajali vilivyo na kufikia makubaliano mazuri - yaliyo sawa kwa watu wa Iraki?</p>
<p>Lakini pamoja na mashaka yangu yote, naionea raha Marekani - Mmetoka mbali. Mmlikuwa na ujasiri, na nia ya kumchagua mtu wa mabadiliko. Na kwa moyo wangu wote natumaini ataiweka marekani katika njia ya kupona.</p>
<p>Kuiona Marekani upya katika misingi ya uhuru na demokrasia, nguvu pole ambayo inapoza badala ya kuumiza, inaunganisha badala ya kugawanya - punde inshalla.<br />
Napenda kuwapongeza nyote. </p></blockquote>
<p><a href="http://iraqpundit.blogspot.com/2008/11/congratulations-to-obama.html"><em>Iraq Pundit:</em></a></p>
<blockquote><p>Kwa miaka kadhaa mara kwa mara nimejikuta nawatetea Wamarekani wanapokosolewa na wapinzani wao kama vile Wafaransa na Waarabu,ambao wanadai kuwa watu wa Marekani ni mazuzu wabaguzi hayawani. Nimejaribu kuongea na wakosoaji hao, lakini sikufika popote. Pengine kuchaguliwa kwa Baraka Obama kama raisi wa Marekani kutawafumbua jinsi gani walikosea… Ni wale tu wasio na mioyo ambao hawakusisimuka jana usiku wakati Obama alipotangazwa mshindi wa kiti cha urais… Kwa hiyo hongera kwa Barack Obama. Asitokee mtu na kusema hii sio nchi ya kustaajabisha.</p></blockquote>
<p>Na kutoka Baghdad, <a href="http://iraqi-roses.blogspot.com/2008/11/d-up-r-down.html"><em>Marshmallow26</em></a>:</p>
<blockquote><p>Hongereni wapendwa Wamarekani katika uchaguzi na kwa raisi mpya. Haijalishi matokeo yalivyokuja mna matumaini nasi tunatumaini raisi mpya ataleta mustakabali wenye mwangaza kwa Marekani na kwa Iraki.<br />
Zaidi ya Wamarekani milioni 130 wamepiga kura. Hii ni idadi kubwa.<br />
Kitu nilichokipenda kwa wamarekani ni kuwa hawakulipa kipaumbele suala la rangi katika kupiga kura, wengi wa watu weupe walimpigia kura Obama ambae ana nasaba ya Kiafrika, kwa sababu hawaamini katika rangi au dini lakini kanuni za nchi na watu wake…</p>
<p>kwa mara nyingine tena Mabrook :)</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/11/irakiobamaaaaa-huraaah-oyee/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Marekani ya Kusini:Taarifa,Twita kwa Waandishi wa Habari Yapata Umaarufu</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/marekani-ya-kusinitaarifatwita-kwa-waandishi-wa-habari-yapata-umaarufu/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/marekani-ya-kusinitaarifatwita-kwa-waandishi-wa-habari-yapata-umaarufu/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 14 Oct 2008 12:04:52 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Egidio Ndabagoye</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Spanish]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=29</guid>
		<description><![CDATA["Reporting On" ni zana mpya ya kublogu kwa kifupi na inachukua umaarufu mkubwa katika kundi la wanahabari wa Marekani ya Kusini (Walatino) ambao wanatumia zana hii ili kupashana habari na wengine kuhusu yale wanayoyaandika. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jorge-gobbi/">Jorge Gobbi</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/egidio-ndabagoye/'>Egidio Ndabagoye</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2008/10/10/latin-america-reporting-on-twitter-for-journalists-gets-popular/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mafanikio ya huduma ya <a href="http://twitter.com/">twitter</a> (twita)yameweza kuleta mvuto mkubwa katika tovuti nyingi za habari,zinazotaka kuiga kanuni hii:<strong>taarifa fupi fupi, kutoka katika kila aina ya zana, kwa ajili ya kadamnasi fulani teule</strong>.Tovuti moja ambayo inafuata mfano huu ni <a href="http://reportingon.com/"><strong>Reporting on</strong></a>, <strong>aina ya Twita kwa wanahabari</strong>,ambayo umekuwa ikifanya  kazi katika majaribio tangu mwaka jana. Kama ukijisajili utaona ni jinsi gani tovuti inavyofanikiwa miongoni mwa waandishi wa habari wa Kilatino.</p>
<p>Muundo au utaratibu wake ni sawa na ule wa Twita; tunaweza kuandika herufi zisizozidi 140, na watumiaji wengi wanautumia utaratibu huo ipasavyo kwa kuandika habari katika mtindo wa vichwa vya habari. Kila kipande cha habari kinaweza kuunganishwa katika maneno mengi. Katika upande kushoto tunaweza kupata viunganisho maarufu.Tunaweza kutoa maoni katika kila bandiko pia kujibu maoni hayo,lakini hatuwezi kumfuatilia mtumiaji au kuchuja habari isipokuwa katika viunganisho.</p>
<p>Pablo Mancini <a href="http://www.amphibia.com.ar/hablamos-con-ryan-sholin-de-reportingon/">alifanya mahojiano na Ryan Sholin </a>ambaye yupo nyuma ya mradi huu, anabainisha kuwa Reporting On &#8220;ni mradi usiolenga katika faida unaofadhiliwa na <a href="http://www.newschallenge.org/">Knight News Challenge</a> ili kuimarisha habari za ndani, kuunganisha watu ambao huwa hawasemezani vya kutosha na wengine&#8221;.  Anaongeza zaidi kuwa: “pindi tovuti ikianza kufanya kazi na kwa kutumia idadi nzuri ya zana au miundo, nitaufanya msimbo kuwa wa wazi kwa kila mtu na kuwakaribisha waendelezaji na waandishi wa habari kuuimarisha ili waweze kutengeneza matoleo yao ya  tovuti hii. </p>
<p>Pia kuongelea kuhusu Reporting on:<a href="http://blocdeperiodista.com/2008/10/twitter-para-periodistas.html">Block de periodista</a>(kihispania);<a href="http://www.theexplodingnewsroom.com/2008/10/02/a-great-new-tool-for-reporters-reportingon/">The Exploding News room</a>;Random Mumblings; na <a href="http://www.greglinch.com/2008/01/reporting-on-reportingon-concept.html">Linchepen</a> At <a href="http://www.digidave.org/adventures_in_freelancing/2008/05/interview---r-1.html">Digidaye</a> unaweza kupata mahojiano mengine kwa Sholin</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/marekani-ya-kusinitaarifatwita-kwa-waandishi-wa-habari-yapata-umaarufu/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
