Picha: Mwonekano wa Maroketi Yakiruka Kwenye Anga la Gaza Kutoka Angani

Kutoka kwenye anga la mbali, mwanaanga Alexander Gerst anatazama namna Gaza inavyowaka moto. Anatwiti:

Picha mbaya sana hii. Kutoka ISS tunaweza kuona milipuko na maroketi yakipaa gaza na Israel

Picha hii imechapishwa kwa mara nyingine kwa zaidi ya mara 33,000 mpaka sasa.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.