Dondoo 13 za Kulinda Taarifa zako Kwenye Kompyuta Zinazotumiwa na Watu Wengi

ordenadores-publicos-300x234

Picha kutoka blogu ya profesoradeinformatica.com, imetumiwa kwa ruhusa.

Kama uko mbioni kwenda kwenye mapumziko na unafikiri kuchukua kompyuta yako na kuiunganisha na mtandao wa intaneti wa Siwaya (Wi-Fi) au kutumia kompyuta ambazo zinapatikana kwenye hoteli au kwenye eneo lolote la umma, unahitaji kusoma makala hii yenye dondoo 13 za kulinda taarifa zako, kama ilivyochapishwa na Andrea kwenye blogu yake:

¿Conoces los riegos de utilizar ordenadores públicos?

Desconoces el “estado de salud” de estos ordenadores, es decir estos pueden tener virus o programas maliciosos instalados para robar tu información (malwares). Entonces si no quieres que el estrés post-vacacional sea más agudo por problemas con tu información, lee con atención.

Unajua hatari ya kutumia kompyuta za umma?

Unapuuza ‘hali ya usalama wa kiafya’ wa kompyuta, na zinaweza kuwa na virusi au hata programu maalumu za kuiba taarifa zako. Kwa hiyo kama kutaki kuja kuchanganyikiwa baada ya kumaliza likizo yako na unataka kuwa makini zaidi na taarifa zako, soma kwa makini.

Hakuna wasiwasi kuhusu suala hili, sasa, namba 13 itakuwa ndiyo namba ya bahati zaidi.

Makala hii ilikuwa sehemu yetu ya saba ya #LunesDeBlogsGV (Jumatatu ya Blogu kwenye GV) ya tarehe 16 Juni, 2014. 

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.