Mazungumzo ya GV: Moja kwa Moja kutoka Kombe la Dunia la Mtandaoni

Mazungumzo ya GV juma hili yanakujia moja kwa moja kutoka São Paulo, Brazil mahali ambapo wawakilishi wa serikali, vyama vya kiraia na mashirika wamekusanyika kutoka duniani kote wiki hii katika kituo cha mkutano cha NETMundial ili kutengeneza ‘mwongozo’ wa utawala wa kidunia wa mtandao wa intaneti katika kipindi hiki cha baada ya sakata la [Edward] Snowden.

Ellery Biddle wa Global Voices Utetezi anaungana na Marianne Diaz na Ben Wagner.

1 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.