Aprili 7, Niger ilizindua katika mji mkuu wa Niamey kituo chake cha kwanza cha treni kuwahi [fr]. Mamlaka tayari ilikuwa na makadirio ya ujenzi wa kituo cha treni miaka 80 iliyopita lakini mradi kamwe haukuanzishwa. Tukio hilo litaanzisha ujenzi wa reli kati ya Niger, Benin, Burkina Faso na Côte d'Ivoire. Mtumiaji Twita Tanoussou katika Niamey aliweka picha kwenye mtandao ya kituo hicho cha reli:
Si le ridicule tuais, ns #africains serions morts ts ! Regardez le train que l #niger s'est procuré o 21e siècle pic.twitter.com/wYTM5daPAU
— tanoussou (@ismaousmane) April 7, 2014
Photos postsVideo posts