Uchaguzi Mkuu wa India 2014: Kampeni Kwenye Mitandao ya Kijamii

Mitandao ya kijamii imekuwa ni sehemu ya ugunduzi na ubunifu. Milind Deora [Waziri wa Muungano na Mbunge wa Mumbai Kusini] anatamba kuwa mgombea wa kwanza kupatikana kwa wapiga kura wake kwenye mtandao wa WhatsApp na BBM, na huko anajadili mpango kazi wake ikiwa ni pamoja na shughuli zake na mipango yake. Kama ilivyo kwa Poonam Mahajan, Deora vile vile ana ukurasa wa Facebook na Twita zikiwa zimeunganishwa kutoa taarifa zake.

Social Samosa anapitia kwa kina namna wanasiasa wa Kihindi mjini Mumbai waliamua kuingia kwenye mitandao ya kijamii kufanya kampeni zao.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.