Theluthi ya Mimba Nchi Burkina Faso Hutungwa Bila Kutarajiwa

Watafiti wa Masuala ya Kijamii wa L’Institut supérieur des sciences de la population (Taasisi ya Sayansi ya Idadi ya Watu) mjini Ouagadougou, Burkina Faso ilichapisha ripoti yenye kichwa cha habari “Grossesses non désirées et avortements au Burkina : causes et conséquences” (Sababu na matokeo ya Mimba zisizotarajiwa na utoaji wa mimba nchini Burkina Faso). Ripoti hiyo inaangazia takwimu chache muhimu [fr]: 

  •  Un tiers de toutes les grossesses ne sont pas intentionnelles, et un tiers de ces grossesses non intentionnelles se terminent par un avortement.
  •  La taille de la famille désirée est en moyenne, de 6 enfants dans les zones rurales, contre 3 à Ouagadougou. 
  • Entre la moitié et les deux tiers de l’ensemble des femmes qui avortent sollicitent des praticiens traditionnels sans compétence particulière

-Theluthi ya mimba zote hazikutarajiwa, na theluthi ya mimba hizi husababisha utoaji wa mimba.
-Ukubwa wa familia inayotakiwa ni wastani wa watoto sita vijijini, ukifananisha na watatu jijini Ouagadougou.
-Kati ya nusu na theluthi mbili ya wanawake wanaotafuta huduma za kutoa mbimba huenda kwa waganga wa kienyeji wasio na ujuzi wa kitabibu unaotakikana. 

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.