China: Jukumu la Baba

Mtandao wa Offbeat China umeanzisha kipindi kipya na maarufu cha televisheni kinachojulikana kwa jina la “Baba, tunaelekea wapi?”. Kipindi hicho kinawakutanisha akina baba watano maarufu pamoja na watoto wao kwa ajili ya kufanya kazi mbalimbali za nje kwa lengo la kushindana na bila ya uwepo wa wake zao. Hapa chini, ni maoni ya raia, mtumiaji wa mtandao wa intaneti yaliyonukuliwa na mwanablogu mmoja:

‘Baba, tunaelekea wapi?’ kimekuwa kipindi kilichojizolea umaarufu sana, siyo tu kwa kuwa kimekuwa cha kuvutia na chenye kuleta mtazamo mpya, jambo la muhimu kabisa ni kuwa kinatupa taswira ya kiu na mategemeo ya kuenedelea kupendwa na kujaliwa zaidi na baba zetu.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.