VIDEO: “Wao Hufanya kazi na kufa”, Ugonjwa Usioeleweka Yawaua Wafanyakazi wa Miwa wa Amerika ya Kati

Wafanyakazi ambao hukata miwa na mazao mengine katika tambarare ya pwani ya Amerika ya Kati na wamekumbwa na ugonjwa wa ajabu:

Kutoka Panama hadi kusini mwa Mexico, wafanyakazi wamashikwa na na maradhi ya kushindwa kwa figo katika viwango vya ghaibu amabavyo havijaonekana mahali popote duniani. Familia na vijiji imekumbwa na hasara ya vizazi karibu yote ya watu.

Tangu mwaka 2000, ugonjwa sugu wa figo imeua zaidi ya watu 24,000 katika El Salvador na Nikaragua, nchi mbili ambazo zimeathirika zaidi na janga hilo.

Uchunguzi zaidi wa kisayansi umeanza tu katika jamii zilozo adthiriwa na ugonjwa, na ukweli mchache kuanzishwa, lakini wanasayansi nwamezindua kile wanachokiamini kuwa wazo la kuaminika. Wanasema kuwa chanzo cha ugonjwa kuonekana mdomoni asili kwa kazi inayofanywa na waathirika wake.

Esteban Félix, mpiga picha wa Peru kutoka Shirika la vyombo vya habari, anatoa kumbukumbu ya athari za janga katika Chichigalpa, Nicaragua, moja ya jamii kuathirika zaidi.

Shukrani kwa kazi yake, Félix alipokea tuzo la uandishi wa habari la Gabriel García Marquez  [es] mwaka huu katika uandishi wa habari kitengo cha picha.

Katika video hii, iliyo haririwa na (@albamoraroca) na muziki kwa niaba ya Dan Bality, Félix anaelezea hadithi nyuma ya picha ambazo yeye alichukua wakati wa kukaa kwake katika Chichigalpa. Kwa maneno yake mwenyewe, Félix anatoa muhtasari::

Uno trabaja para vivir, pero en realidad esta gente trabaja para morir.

Baadhi ya watu kufanya kazi kwa kuishi, lakini hapa, watu kufanya kazi kufa.

Sukari chungu: Ugonjwa wa ajabu kutokaAlba Mora kwenyeVimeo.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.