Timu ya wanawake ya Mpira wa Kikapu ya Msumbiji Yafika Mbali

Kufuatia ushindi wa kishindo kwenye mashindano ya robo fainali (tazama habari zetu ), yaliyofanyika usiku wa jana timu ya mpira wa kikapu ya Msumbiji, wanawake, ilishinda nafasi ya kuingia kwenye Fainali za Mashindano ya Afrobasket usiku wa leo dhidi ya washindi watetezi Angola. Kwa staili nyingine ya kurudi kwa ushindi dhidi ya Kameruni kwenye hatua ya nusu fainali, waliweza kujihakikishia nafasi kwenye Mashindano ya Dunia, na kuandika historia mpya ya michezo nchini humo.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.