Kwa nini Indonesia Haitakiwi Kupandisha Kima cha Chini cha Mshahara

Rocky Intan aneleza kwa nini kupandishwa kwa kima cha chini cha mshahara nchini Indonesia kutaathiri uchumi wa nchi hiyo:

Viongozi wa kitaifa na wale wa ngazi za chini lazima wapambane na shinikizo la baadhi ya viongozi wa vyama vya wafanyakzi wanaodai kupandishwa kwa kima cha chini cha mshahara. Ongezeko la kima cha chini limekuwa halihusiani na mfumuko wa bei, kinyume na madai ya waandamanaji. Zaidi, ongezeko hilo litasababisha matatizo zaidi ya wafanyakazi na hivyo kuathiri ushindani wetu katika uzalishaji unaotegemea nguvu kazi.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.