‘Sauti za Iran’ Mradi Unaowapa Sauti Raia Waishio Vijijini

Sauti za Iran ni mradi ulioundwa kwa kutumia mafanikio ya mradi wa Ushahidi.  Sauti za Iran inakusudia kuripoti habari kuhusu miji midogo na vijiji vya Iran na vile vile kukusanya maombi na matatizo ya wananchi na kuyatuma kwa serikali na wabunge.

1 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.