Kampeni ya Facebook Yampa Mwandishi wa Iran Masih Alinejad Tuzo ya Haki za Wanawake

 

The cover photo from Masih Alinejad's Facebook page "My Stealthy Freedom"

Picha kuu kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa Masih Alinejad uitwao “My Stealthy Freedom”

Mwandishi raia wa Iran anayeishi London Masih Alinejad ameshinda Tuzo ya Haki za Wanawake kwa mwaka 2015 kwenye Mkutano wa Geneva wa Haki za Binadamu na Demokrasia kutokana na kampeni yake kwenye mtandao wa Facebook iitwayo “My Stealthy Freedom“juma lililopita. Ukurasa huo unawakaribisha wanawake wa ki-Iran kuweka picha zao humo wakiwa wamevalia Hijab, kupinga sheria ya ki-Islam ya Iran inayolazimisha mavazi hayo. Ukurasa huo wenye wafuasi 750, 000, umeonekana kuwa na sura ya harakati za mtandaoni kwa ajili ya wanawake.

Hapa chini kuna video iliyowekwa kwenye ukurasa wake kuonesha hotuba yake ya kupokea tuzo hiyo kwenye Mkutano huo siku ya Jumanne iliyopita: 

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.