Tafakuri Baada ya Kombe la Dunia la FIFA 2014 Nchini Brazili

14260796868_09f22f412d_c

Picha kutoka kwenye mtandao wa Flickr, yenye leseni ya CC.

Mwanafunzi wa Mexico Álvaro anablogu kuhusu hisia na maoni yake kuhusu Kombe la Dunia la FIFA 2014 nchini Brazil. Anatafakari kuhusu kufanya vibaya kwa timu za mataifa ya Mexico na Brazili, lakini anasaili kile anachokiita kushindwa kwa mkakati wa Rais wa Brazili Dilma Rouseff.

Días antes del comienzo del mundial, Dilma se imaginaba este lunes 14 de Julio como el día en que ganaría anticipadamente las elecciones presidenciales de octubre, un Brasil campeón en su tierra hubiera sido suficiente para sofocar las protestas civiles que se han alzado en contra de su gobierno, o al menos hubiera logrado distraerlas por un rato.[…] Sin embargo, es evidente que el plan no salió según lo esperado, sino todo lo contrario; de manera similar a lo ocurrido en Sochi, Rusia para las Olimpiadas de Invierno, el enfoque mundial sobre Brasil solo sirvió para exponer los graves problemas que enfrenta el país en todo ámbito. No hubo escasez de reportes de la prensa internacional sobre el mal estado de las calles, las acomodaciones, la gente y hasta los estadios, mismos que se derrumbaron o que ni siquiera pudieron terminarse antes del evento.

Siku chache kabla Kombe la Dunia halijaanza< Dilma alikuwa akidhani kwamba Jumatatu hii ya Julai 14 ingekuwa siku ambayo angeshinda kabla hata uchaguzi wa Rais haujafanyika Oktoba, kwamba kwa Brazil kuchukua ubingwa kwenye ardhi yao ingetosha kutulixa maandamano ya kiraia dhidi ya utawala wake, au basi hata angalau ingetosha kuwapotezea malengo kwa muda [...] Hata hivyo, ni wazi kwamba mambo hayakwenda kama yalivyotarajiwa, na yakawa kinyume chake; kama ilivyotokea Sochi, Urusi wakati wa Mashindano ya Olympiki ya majira ya maridi. Yaliyotokea Brazili yalianika matatizo makubwa ambayo nchi hiyo inakabiliana nayo. Kulikuwa na taarifa nyingi za vyombo vya habari vya kimataifa kuhusu barabara mbaya, malazi yasiyoridhisha, watu na hata viwanja ambavyo vilianguka au hata havikukaika kabla mashindano hayajaanza.

Unaweza kumfuatlia Álvaro kwenye akaunti yake ya Twita.

 Makala haya ni sehemu ya kumi na moja ya #LunesDeBlogsGV,(Jumatatu ya blogu kwenye GV) siku ya Julai 14, 2014. 

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.