Umuhimu wa Hisabati katika Elimu

Carlos Thompson wa blogu ya Chlewey anaandika [es] juu ya umuhimu wa kufundisha Hesabu nchini Colombia kutokana na nchi hiyo kufanya vibaya kwenye vipimo ya kimataifa vya ubora wa elimu [es]:

Las matemáticas dan mucho más que la capacidad de contar las vueltas en una tienda; o las destrezas específicas para entrar a una facultad de ingeniería. Las matemáticas generan una estructura mental que benefician también al médico, al comunicador social o al sociólogo, no específicamente para tener éxito en su profesión sino cómo ciudadano en una democracia y como una persona que influye en una sociedad.

Hesabu huwezesha zaidi ya uwezo wa kutoa ‘chenji’ dukani, au uwezo maalum wa kuweza kuajiriwa katika Shule ya Uhandisi. Hesabu huzalisha muundo wa akili ambao pia humfaidisha daktari, mwasilianaji wa kijamii au mwanasosholojia, si kumfanya awe na mafanikio katika taaluma yake, lakini kuwa raia katika demokrasia na kama watu binafsi wenye ushawishi katika jamii.

Posti hii ilikuwa ni sehemu ya nne ya #LunesDeBlogsGV [Blogu za Jumatatu katika GV] mnamo Mei 26, 2014.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.