Hadithi ya Wakimbizi wa Njaa kutoka Niger katika Algeria Mashariki

Katika wiki chache zilizopita, mamia ya wahamiaji mwa Jangwa la Sahara kutoka Mali au Niger wamehamia miji ya Algeria katika mpaka wa Mashariki. Liberté Algérie anasimulia hadithi ya wale ambao waliamua kuhama na kwa nini [fr]

Les conditions de vie au hangar de la cité Bourroh sont inhumaines. A l’intérieur du hangar, les Subsahariens ont dressé des tentes, une soixantaine environ. A l’intérieur de chaque tente, trop exiguë, vivent, serrés les uns contre les autres, tous les membres d’une même famille. [..] Meriem et Aïcha sont deux sœurs âgées respectivement de 10 et 12 ans. Avec leur mère, elles ont fui leur pays d’origine, le Niger, à cause de la pauvreté. “Nous avons quitté notre pays, parce que nous n’avions plus quoi manger. Meriem et Aïcha sont deux sœurs âgées respectivement de 10 et 12 ans. Egalement originaires du Niger, Sakina, sa fille Asma et ses deux petits-enfants s’étaient réfugiés à Aïn Guezzam, dans la wilaya de Tamanrasset, à l’extrême sud du Sahara. Dans un arabe approximatif, notre interlocutrice nous apprendra qu’ils font partie d’un groupe qui a fui la faim au Niger.

Hali ya maisha katika majengo ya mji wa Bourroh si ya kibinadamu. Ndani ya jengo, wahamiaji wa Jangwa la Sahara wameweka mahema karibu sitini. Ndani ya kila hema (ndogo sana), wao wote wanaishi pamoja, dhidi ya kila mmoja, washiriki wote wa familia moja. [..] Meriem na Aisha ni dada wawili wenye umri wa miaka 10 na 12. Na mama yao, walikimbia nchi yao ya asili, Niger, kwa sababu ya umaskini.. “Tulihama nchi yetu kwa sababu hatukuwa na chakula cha kutosha ‘Meriem anasema. Pia kutoka Niger, Sakina, binti yake Asma na wajukuu wake wawili ni wakimbizi katika Ain Guezzam katika Wilaya ya Tamanrasset, kusini mwa jangwa la Sahara. Akisita kwa lugha ya Kiarabu, Sakira alituambia kwamba wao ni sehemu ya kundi ambao walikimbia njaa kubwa nchini Niger.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.