Trinidad na Tobago : Kutoka Serikali Moja hadi Nyingine

Nchi yetu haiwezi kuendelea kuuza nje ya nchi kazi zetu, rasilimali yetu, na watu wetu wenye ujuzi kuzifadhili sera za kigeni ambazo hazijachunguzwa wala kuwekwa wazi…

Afra Raymond anasema kwamba mipango ya sasa ya serikali kwa serikali ni tisho la moja kwa moja kwa masilahi ya msingi ya Trinidad na Tobago.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.