Mashindano ya Kublogu ya AFKInsider

AFKInsider imeandaa mashindano ya kublogu ambapo mwanablogu bora kila mwezi atahitajika kuandika hadithi ya kulipiwa kila wiki kwa AFKInsider mwezi ujao:

Mashindano ya wanablogu ya AFKInsider inanuia kugundua ubunifu wa wanablogu wa Biashara Afrika ambao huandika na wana nia ya teknolojia, kilimo, ujasiriamali, mali isiyohamishika, burudani, siasa, madini na habari nyingine za jumla ambazo hujumuisha bara la Afrika.

Ni aina gani ya wanablogu AFKInsider inatafuta na jinsi gani mtu anaweza kuchaguliwa?

AFKInsider inatafuta maudhui halisi ya kiasili ambayo imeripotiwa vizuri na yenye burudani kwa watazamaji wa Afrika. Sisi twatafuta mtu ambaye anaweza kujaza pengo katika nafasi ya vyombo vya habari Afrika kwa kuandika habari za kipekee ambazo vyanzo vingine vya vyombo vya habari havijaripoti. Kuchukuliwa kama mwanablogu mgeni katika AFKInsider unahitajika tu kuwasilisha blogu yako au hadithi kutoka blogu yako kwa mapitio na jopo letu la wahariri kupitia anwani ya barua pepe info@afkinsider.com.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.