Wanafunzi 3,000 Wafanya Maandamano dhidi ya Mageuzi ya Elimu Nchini Gabon

Mageuzi ya mfumo wa elimu yaliahirishwa [fr] nchini Gabon baada ya walimu na wanafunzi kuandamana pamoja kwa maandamano. Katika mapendekezo ya mageuzi, mitihani ya mwisho ili kupata diploma ya shule ya sekondari itafanyika katika duru moja badala ya mbili na kuingia katika shule ya sekondari zitafanyiwa mtihani wa mwisho badala ya kupita daraja mwishoni mwa mwaka wa mwisho wa katikati ya shule ya sekondari. Charlie M. anaelezea nini kilichoko hatarini :

Kwa kutenda papo hapo bila ya kusubiri ushauri wa namna bora ya kwenda mbele kutoka kwa mtu yeyote, wanafunzi walionyesha kwamba walikuwa na uwezo wao wenyewe, kwa kutambua kwamba ili kukabiliana na hali hiyo, ilikuwa ni muhimu kwao kuingilia kati na kuhamasisha. Hakuna mtu angefanya hivyo katika nafasi yao, hasa si wazee wao ambao hawana uwezo wa hayo. Vijana, tofauti na wazee wao, wanaelewa vizuri kwamba wanademokrasia, bila kujali maoni yao, hawezi kukubali kwamba haki zao zimekiukwa, na kwa hiyo hawawezi kunufaika linapokuja kwa masuala haya msingi kama vile haki ya elimu bora

A young student n in defiance of the security forces in the streets of Libreville, Gabon via le Gabon qui dit non

Mwanafunzi bila kujali vikosi vya usalama katika mitaa ya Libreville, Gabon kupitia le Gabon qui dit non

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.