Ufisadi: Tishio kubwa kwa uhuru wa kujieleza Barani Amerika ya Kusini

Katika miaka 20 iliyopita, waandishi wa habari 670 wameuawa katika Amerika ya Kusini na Caribbean,kwa mujibu wa wajumbe kutoka muungano wa IFEX-ACL, ambayo hivi karibuni iliwasilisha Ripoti ya Mwaka juu ya Ukatili 2013 iliyosema: “Nyuso na Mabaki ya Uhuru wa Kujieleza Amerika ya Kusini na Caribbean.” Uhalifu – ambao nyingi bado hazijatatuliwa – kufanya ukatili kuwa tishio kubwa kwa uhuru wa kujieleza katika kanda..

Silvia Higuera anatoa muhtasari wa ripoti katika Uandishi wa Habari wa Kituo cha Knight katika blogu ya Amerika. Anaongeza:

Kwa mujibu wa ripoti, Amerika ya Kusini iko katika wakati muhimu kwa uhuru wa kujieleza. Kulingana na mahali, waandishi wa habari wanapata vitisho kutoka kwa makundi ya uhalifu au udhaifu wa kitaasisi. Nchi nyingi pia zinapitia njia ya utata ya taratibu za kisheria ambayo inaweza kupunguza uhuru wa vyombo vya habari. Viongozi wa umma kuendelea kutumia kashfa za kesi za kisheria kunyamazisha vyombo vya habari, na sekta ya kihistoria yenye mazingira magumu — kama vikundi vya wenyeji — bado hawana uwezo wa kushiriki kwa uwazi katika masuala ya maslahi ya umma.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.