Maandamano ya Kudai Uchaguzi nchini Madagaska Yasababisha Vurugu

Protests in Antananarivo, Madagascar on July 22, 2013 photo via MaTV

Maandamano jijini Antananarivo, Madagaska tarehe 22 Julai, 2013. Picha kupitia MaTV

Blogu ya Vola R ya Ma-Laza inaandika kwamba watu 7 walijeruhiwa [fr] kufuatia matumizi ya nguvu yaliyofanywa na polisi dhidi ya waandamanaji waliokuwa wanadai kufanyika kwa uchaguzi mjini Antananarivo, Madagaska. Chama kinachoongoza maandamano kinasema kwamba utawala uliopo hauna dhamira ya kuitisha uchaguzi mwaka huu na kwamba serikali imeng'ang'ania madarakani. Kiongozi wa chama hiko alidaiwa kukamatwa kufuatia maandamano hayo.

1 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.