Misri Inavyopoteza Miji ya Kihistoria

Cairo..The city of a thousand pillars? Photograph from CairoObserver Facebook page. The red lines show buildings which obscure the minerates of mosques which is a signature of the Cairo horizon being lost to new development

Cairo..Jiji la nguzo elfu? Picha kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa CairoObserver. Mistari myekundu ikionyesha majengo ambayo huziba minara ya misikiti ambayo ni alama muhimu ya jiji la Cairo inayopotea kwa ujenzi mpya unaondelea.

Cairoobserver atoa wito [ar] kwa wakaazi wa Misri kupitia mtandao wa Facebook na Twita [ar] kufanya maandamano mbele ya majengo ya serikali, yanayohusika na mipango miji, kote nchini Misri kudai kusitishwa kwa kuharibiwa na kupotezwa kwa sura halisi ya kihistoria katika miji.

Jiji lenye minara elfu sasa ni jiji lenye nguzo elfu! Mji wa kihistoria ambao uliorodheshwa kama urithi wa dunia katika miaka ya 70 sasa unakabiliwa na uharibifu na kubadilika kila sifa yake na viongozi wanaishughulikia hali hii kama jiji lisilo rasmi lisilodhibitika tena
[…]

Jiunge nasi Jumatano Juni 19, 2013, saa 05:00 ( Masaa ya Cairo) katika Maandamano mbele ya ofisi la Gavana wa Cairo

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.