Anne Morin na Awa Traoré wanabadilishana mawazo kuhusiana na maisha ya kila siku mjini Bamako, ujira usiokidhi mahitaji [2], gharama za maisha na hali ya kisiasa isiyotabirika [3] wakati huu ambapo vita vinanukia nchini humo.
“Wanasemaje Bamako?” Mazungumzo na Awa anayeishi Mali
· Imeandikwa na Lova Rakotomalala Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Mali, Ufaransa, Filamu, Harakati za Mtandaoni, Uandishi wa Habari za Kiraia, Vita na Migogoro, Wanawake na Jinsia