Habari kutoka 8 Januari 2013
Kujitenga kwa Mtu wa Jamii ya Alawite: Jinsi Msichana wa Syria Alivyompoteza Mama Yake.
Loubna Mrie alipata pigo kubwa kutokana na msimamo wake kuhusiana na mapinduzi ya Syria. Kama mtu wa kikundi cha alawite aliyeamua kuwa na msimamo tofauti dhidi ya Rais Bshar Al Assad, aliamua kujitenga na jamii yake; watu
Mwaka Mpya na Mienendo ya Zamani Nchini Bahrain
Wakati nchi mbalimbali ulimwenguni kote zikiukaribisha mwaka mpya kwa fataki na shamrashamra, serikali ya Bahraini iliandaa utaratibu wa aina yake kwa waandamanaji nchini humo. kwa bahati, watumiaji wa mtandao wa intaneti walikuwa tayari, kuonesha na kuweka kumbukumbu ya baadhi ya matukio kwa ajili ya kushuhudiwa na sehemu nyingine yote ya ulimwengu.