Amit Topno, mwakilishi wa jumuiya ya hiari “inayopiga picha za video” [1] aliripoti kwamba wakati wa kijiji cha Nichitpur katika Jimbo la Jharkhand hawana choo chochote cha umma kinachotumika. Wanavijiji wanaziomba mamlaka za serikali za mitaa kupitia video hii [2] kuhakikisha kuwa vyoo vinavyostahili matumizi ya binadamu vinajengwa.
Video ya Kuomba Ujenzi wa Vyoo vya Umma huko Jharkhand, India
· Imeandikwa na Rezwan Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Asia ya Kusini, India, Haki za Binadamu, Maandamano, Maendeleo, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala