Amit Topno, mwakilishi wa jumuiya ya hiari “inayopiga picha za video” aliripoti kwamba wakati wa kijiji cha Nichitpur katika Jimbo la Jharkhand hawana choo chochote cha umma kinachotumika. Wanavijiji wanaziomba mamlaka za serikali za mitaa kupitia video hii kuhakikisha kuwa vyoo vinavyostahili matumizi ya binadamu vinajengwa.
Video ya Kuomba Ujenzi wa Vyoo vya Umma huko Jharkhand, India
Makala hii inapatikana pia katika:
| বাংলা | · ঝাড়খণ্ডের গ্রামগুলোতে যথাযথ শৌচাগার ব্যবস্থার অভাব |
| Español | · Falta cuarto de baño adecuado en aldea de Jharkhand |
| English | · Video Plea for Public Toilet Facilities in Jharkhand, India |













































mambo vipi wanablog muko powa wote.kama mumenisoma nijibuni.
Asante. Nimepita hapa natafuta japan na china wamemalizaje ugomvi wao kuhusu visiwa,pia chanzo cha ugomvi...