Kadri mwaka wa 2012 unavyosogea karibu, jarida la CHINA DIGITAL TIMES limetoa muhtasari [1] wa mabadiliko na changamoto zinazoikabili China mwaka 2013 kwa kutumia taarifa na bashiri mbalimbali za vyombo vya habari.
China Inaelekea Wapi kwa Mwaka 2013?
· Imeandikwa na Abby Liu Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Asia Mashariki, China, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uchumi na Biashara