1 Disemba 2012

Habari kutoka 1 Disemba 2012

Mwanablogu wa Iran Sattar Beheshti Ateswa hadi Kufa

Watumiaji wa mtandao wa intaneti nchini Iran wameanzisha vurugu kubwa mtandaoni mara baada ya kupata habari ya kusikitisha ya kifo cha mwanablogu aliyefia rumande iliyowekwa mtandaoni kwa mara ya kwanza katika tovuti za upinzani. Sattar Beheshti alikamatwa mnamo tarehe 28, Oktoba 2012 na ilitangazwa kuwa amefariki takribani siku kumi baadae.