Disemba, 2012

Habari kutoka Disemba, 2012

Kenya: Kufundisha Uvumilivu wa Kikabila Kupitia Hadithi za Sayansi

Watoto wa Kenya wanafundishwa uvumilivu wa kikabila kupitia hadithi za sayansi: “Kushambuliwa kwa akina Shida:Bunduki za AKA Zaokoa Sayari” ni hadithi inayozungumzia maisha ya jamii tatu zilizoishi katika jangwa katika mji fulani ambazo zilitegemea kisima kupata maji. Lakini wenyeji wanatishika pale wanapogundua kuwa maji wanayoyategemea yanamwagwa kimiujiza usiku.” “Watoto watatu...

Video ya Kuomba Ujenzi wa Vyoo vya Umma huko Jharkhand, India

  30 Disemba 2012

Amit Topno, mwakilishi wa jumuiya ya hiari “inayopiga picha za video” aliripoti kwamba wakati wa kijiji cha Nichitpur katika Jimbo la Jharkhand hawana choo chochote cha umma kinachotumika. Wanavijiji wanaziomba mamlaka za serikali za mitaa kupitia video hii kuhakikisha kuwa vyoo vinavyostahili matumizi ya binadamu vinajengwa.

China Inaelekea Wapi kwa Mwaka 2013?

  29 Disemba 2012

Kadri mwaka wa 2012 unavyosogea karibu, jarida la CHINA DIGITAL TIMES limetoa muhtasari wa mabadiliko na changamoto zinazoikabili China mwaka 2013 kwa kutumia taarifa na bashiri mbalimbali za vyombo vya habari.

Assad atumia Ndege ya Kivita Kuwaua Raia Wake

Serikali ya Syria imefanya shambulizi kubwa la angani dhidi ya raia wa nchi hiyo -waliokuwa wamesimama kwenye foleni waisubiri mikate kwenye kiwanda cha kuokea miakte huko Halfaya, Hama. Inakadiriwa kwamba watu waliouawa katika shambulio hilo mjini humo ni kati ya 90 na 300, waasi wakisema kuwa watu hao walikuwa wamejitenga na vikosi vya Assad. Mtandaoni, wanaharakati wanashangazwa inakuwaje dunia inaendelea kutazama tu maisha ya watu wasio na hatia wakiuawa kwa mamia.

Maisha Binafsi ya Watawala Wapya wa China

  27 Disemba 2012

Shirika la Habari la Xinhua lilichapisha[zh] mfululizo wa wasifu wa maisha binafsi ya watawala wa juu China, ikiwa ni pamoja na picha za familia zao, ambazo ni nadra sana katika vyombo vya habari vya China. Hatua hiyo imechukuliwa na wengi kama dalili nyingine kuwa utawala mpya wa China unaweza ukawa...

Kupigia Kura Maajabu Saba ya Dunia barani Afrika

Shindano la kila mwaka limezinduliwa kwa ajili ya watu kupiga kura kuchagua maajabu saba yaliyo bora zaidi barani Afrika. Na tayari upigaji kura umeshaanza. Baadhi ya maajabu ya asili yaliondolewa katika orodha ya mwisho ya kupigiwa kura na hivyo baadhi ya wanablogu waliongeza mapendekezo yao katika blogu zao. Tazama baadhi ya picha hapa:

Korea Kusini: Mpango wa Kuwakutanisha Wenzi Wakwama

  26 Disemba 2012

Mpango mpya kabisa wa kuwakutanisha wenzi kwa njia rahisi katika mkesha wa Krismas nchini Korea Kusini hatimaye ulijikuta ukishindwa kabisa baada ya waliojitokeza asilimia 90 kuwa ni wanaume. Inasemekana zaidi ya watu 20,000 walijiandikisha na hata polisi walikuwepo kufuatia uwezekano wa vitendo vya ngono za kulazimisha. Mtumiaji mmoja wa mtandaoalibainisha [ko]...