Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter anapokea maswali kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook na Twita (#CarterQA) kama sehemu ya kuadhimisha miaka 30 ya Kituo cha Carter (Carter Center) kinachojishughulisha na “kupigania masuala ya amani na kupambana na magonjwa duniani kote”. Rais Carter atakuwa anayajibu maswali hayo kwa njia ya video tarehe 19 Oktoba, 2012.
Je, Una Swali Lolote kwa Jimmy Carter?
Makala hii inapatikana pia katika:
| Ελληνικά | · ΗΠΑ: Θέλετε να ρωτήσετε κάτι τον Τζίμι Κάρτερ; |
| فارسی | · یک سوال از جیمی کارتر |
| Español | · ¿Tiene una pregunta para Jimmy Carter? |
| English | · Got a Question for Jimmy Carter? |












































1 oni