13 Oktoba 2012

Habari kutoka 13 Oktoba 2012

Guatemala: Waandamanaji Wazawa 7 Wauawa Totonicapán

  13 Oktoba 2012

Raia wasiopungua 7 wameuawa, takribani watu 32 wamejeruhiwa na 35 walidhuriwa na sumu mnamo tarehe 4, Oktoba, 2012 wakati majeshi ya muungano yalipotumia nguvu kuwatawanya waandamanaji kutoka katika njia panda maarufu inayoeleka jiji la Guatemala City.