Septemba, 2012

Habari kutoka Septemba, 2012

Kenya: Wito wa Mshikamano Baada ya Mashambulizi ya Kigaidi

  30 Septemba 2012

Siku chache kabla ya ufunguzi  wa GV2012 mjini nairobi, Kenya ilikumbwa na milipuko na utekaji nyara huko Mombasa na mjini Garissa. Mlipuko ulitokea katika sehemu ya burudani mnano Juni 24 na kuwauwa watu watatu siku moja baada ya ubalozi wa marekani kuonya mamlaka ya Kenya kuhusu mashambulizi hayo jijini. Umati huo ulikuwa umekusanyika katika kilabu kutazama robo fainali  kati ya Uingereza na Italia.

India: Waume Kuwalipa Wake Zao kwa Kufanya Kazi za Nyumbani

  30 Septemba 2012

Wizara ya Maendeleo ya Watoto na Wanawake nchini India inaandaa mswada ambao, kama utapitishwa na bunge, utawalazimisha waume kisheria kuwalipa wake zao wanaoshinda nyumbani mshahara wa mwezi, kwa kufanya shughuli za nyumbani. Wizara ya Maendeleo ya Watoto na Wanawake nchini India inaandaa mswada ambao, kama utapitishwa na bunge, utawalazimisha waume kisheria kuwalipa wake zao wanaoshinda nyumbani mshahara wa mwezi, kwa kufanya shughuli za nyumbani.

Global Voices Yashinda Tuzo Ya Highway Africa

Timu ya Global Voices inayoandika habari za Nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara imeshinda Tuzo ya Telekom Highway Africa katika kundi la “Blogu bora ya TEHAMA ya Kiafrika”. Mhariri wa Eneo hilo Ndesanjo Macha alikuwepo Afrika Kusini kuipokea tuzo hiyo (na kikombe cha ushindi!) tarehe 11 Sepetemba,...