Lebanoni: Wafanyakazi wa Ndani Wanaotoroka
Makala hii inapatikana pia katika:
| English | · Lebanon: Runaway Maids |
Lebanon
“Mfanyakazi wa ndani anapotoroka kutoka kwenye nyumba ya mwajiri wake, kituo cha polisi hakiwezi kufanya lolote kwa sababu hakuna sheria dhidi ya wafanyakazi wa ndani wanaotoroka. Kwa hiyo ofisa wa kituo cha polisi anamwambia mwajiri wa ki-Lebanoni aseme kuwa (mtoro huyo) aliiba pesa,” anaandika Ethiopian Suicides.







































Karibu sana Ephraim Bisimwa. Tunafurahi unafuatilia. Tafadhali waambie na wengine. Ukiwa na maoni zaidi, usisite...
Mimi EPHRAIM BISIMWA naufurahi mtandao huu asante.