Ghana: Fikra Juu ya Mkosi Unaoyanyemelea Mafuta
Makala hii inapatikana pia katika:
| Español | · Ghana: Opiniones sobre inminente problema de petróleo en Ghana |
| English | · Ghana: Thoughts on Ghana's looming oil woes |
Ghana
Fikra Juu ya Mkosi Unaoyanyemelea Mafuta: “kwa dibaji, Ninasema kuwa ninaamini katika haki za mali (ardhi na majengo), serikali yenye mipaka pamoja na mipango huru, japokuwa ni lazima niseme kuwa si rahisi kuidhibiti mikataba ya mafuta, hasa pale haki za mali (ardhi na majengo) zinapohusika.”






































Karibu sana Ephraim Bisimwa. Tunafurahi unafuatilia. Tafadhali waambie na wengine. Ukiwa na maoni zaidi, usisite...
Mimi EPHRAIM BISIMWA naufurahi mtandao huu asante.