GlobalVoices katika

Ethiopia: Meles Zenawi aisaliti Afrika

TafsiriMakala hii inapatikana pia katika:

Français · Éthiopie : Le Président Meles Zenawi a-t-il trahi l'Afrique ?
English · Ethiopia: Meles Zenawi betrays Africa

Ethiopia

Lucas Liganga aandika kuhusu usaliti wa Waziri Mkuu wa Ethiopia: “kwa bahati mbaya, Waziri Mkuu wa Ethiopia meles Zenawi ambaye ni msemaji wa Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi amejiunga na Ufaransa na kubadili nakala ya Afrika, jambo ambalo limewastua wajumbe wa Afrika.”

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Taratibu

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.


Sehemu za Dunia

Nchi

Lugha