Ethiopia: Meles Zenawi aisaliti Afrika
Makala hii inapatikana pia katika:
| Français | · Éthiopie : Le Président Meles Zenawi a-t-il trahi l'Afrique ? |
| English | · Ethiopia: Meles Zenawi betrays Africa |
Ethiopia
Lucas Liganga aandika kuhusu usaliti wa Waziri Mkuu wa Ethiopia: “kwa bahati mbaya, Waziri Mkuu wa Ethiopia meles Zenawi ambaye ni msemaji wa Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi amejiunga na Ufaransa na kubadili nakala ya Afrika, jambo ambalo limewastua wajumbe wa Afrika.”




































Karibu sana Ephraim Bisimwa. Tunafurahi unafuatilia. Tafadhali waambie na wengine. Ukiwa na maoni zaidi, usisite...
Mimi EPHRAIM BISIMWA naufurahi mtandao huu asante.