Afrika: Chungu cha Kuiyeyusha Afrika
Makala hii inapatikana pia katika:
| English | · Africa: Africa's melting pot |
Kenya
Marvin anaandika kuhusu Afripot, tovuti ya habari inayotilia makini habari za Afrika: “Hivi sasa anatambulisha chungu cha kuyeyushia Afrika – Afripot. Tayari nimo ndani ninayeyuka na ninatumaini kukuona pale na wewe pia kwani mazungumzo kuhusu Afrika na Waafrika yanachukua kasi na kupamba moto. Ni nani ajuaye, inaweza kutengeneza joto la kutosha na kulazimisha mabadiliko tuayoyahitaji sana.”






































Karibu sana Ephraim Bisimwa. Tunafurahi unafuatilia. Tafadhali waambie na wengine. Ukiwa na maoni zaidi, usisite...
Mimi EPHRAIM BISIMWA naufurahi mtandao huu asante.