Palestina: IDF Yachoma Moto Magari Ya Wapalestina
Makala hii inapatikana pia katika:
| Español | · Palestina: IDF prende fuego a vehículos palestinos |
| English | · Palestine: IDF Torches Palestinian Vehicles |
Israel
Kwenye Do Unto Others, Samuel Nichols anaandika kuwa doria ya jeshi la Israel imeanza kuchoma moto magari ambayo yanakamatwa yakijaribu kuvuka mpaka kutoka Ukanda wa Magharibikuingia Israel. Ametundika video hapa.







































Karibu sana Ephraim Bisimwa. Tunafurahi unafuatilia. Tafadhali waambie na wengine. Ukiwa na maoni zaidi, usisite...
Mimi EPHRAIM BISIMWA naufurahi mtandao huu asante.