Kwa mujibu wa gazeti la Guardian, Jeshi Maalum la mapinduzi la Iran limesema kwa kupitia chombo cha habari cha taifa kwamba tovuti na wanablogu wote ni lazima waondoe makala zote zinazoweza ‘kusababisha hali mbaya’, la sivyo watachukuliwa hatua za kisheria.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.